Tetesi: Hussein Katanga, Katibu Mkuu wa zamani kurejea kivingine

Tetesi: Hussein Katanga, Katibu Mkuu wa zamani kurejea kivingine

Pumzika kidogo utatoa boko, naona unataka kujifanya lamine yamal

Soma Tena nadhani hapa MAFIGA MATATU ANAKUMBUKA JAMBO KULEE KWENYE MTI

 
Lakini huyu mother tumechoka na teuzi zake uchwara Kila kukicha.hakustahili kabisa kurithishwa hii nchi.kila siku kuvurunda tu.r.i.p jpm umetuachia mrithi wa kuteua na siyo kufanya kazi tunayoitaka watanzania.
Huyu maza ni yule anarely na theory kwamba Rais ni Taasisi, kaachia taasisi zifanye vile anavyodhania itakuwa kitu ambacho sio kweli. Lakini pia ni mwanamke zile field works za JPM haziwez hata nusu, zinataka pumzi, ari, ukweli, uelewa wa maeneo, maamuzi magumu n.k
 
Umeshaelewa eeh. Wa muda ila sikuwa nafatilia sana, kwasasa nitamfatilia. Nina jambo langu nataka kulisikia 😃😃😃😃😃
Wale wataaalamu wa hesabu walikua wanasolve kwa kutumia elimination method, substitution method au graphical method..... Elimination method tayar ishatumika Kwa saiv jambo lako litasolviwa Kwa substitution method
 
Back
Top Bottom