Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Pumzika kidogo utatoa boko, naona unataka kujifanya lamine yamal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yohana...hayupo🤣🤣Ali...nipo mwalimu
Juma...nipo mwalimu
Hussein...nipo mwalimu
Shabani...nipo mwalimu
.
.
.
Achana naye huyo. Sisi tunao kufuatilia tunaelewa wewe ni mtu ulio mbele yetu kwa mambo mengiRudia nyuzi zangu za toka Mwaka 2015 hakuna Boko hata moja
Pumzika kidogo utatoa boko, naona unataka kujifanya lamine yamal
Na mama Hana bahati au ana bahati !!?migomo Kila kona!!Mimi kwa sasa nipo makini sana na taarifa zako maana wewe siyo mtu wa kawaida .View attachment 3039752
Nimejaribu kupitia baadhi ya threads zake aisee🙌🙌huyu yupo kitengo nyetiMkuu hupoi, huboi... twende kazi. Najua na siku ya bibi yangu aki... utatutonya kabla!!!
Huyu maza ni yule anarely na theory kwamba Rais ni Taasisi, kaachia taasisi zifanye vile anavyodhania itakuwa kitu ambacho sio kweli. Lakini pia ni mwanamke zile field works za JPM haziwez hata nusu, zinataka pumzi, ari, ukweli, uelewa wa maeneo, maamuzi magumu n.kLakini huyu mother tumechoka na teuzi zake uchwara Kila kukicha.hakustahili kabisa kurithishwa hii nchi.kila siku kuvurunda tu.r.i.p jpm umetuachia mrithi wa kuteua na siyo kufanya kazi tunayoitaka watanzania.
Umeshaelewa eeh. Wa muda ila sikuwa nafatilia sana, kwasasa nitamfatilia. Nina jambo langu nataka kulisikia 😃😃😃😃😃Nimejaribu kupitia baadhi ya threads zake aisee🙌🙌huyu yupo kitengo nyeti
Huenda akamrithi January Marope kwenye mambo ya njeAtateuliwa mbunge kisha Waziri wa Maokoto
Here we go
Wale wataaalamu wa hesabu walikua wanasolve kwa kutumia elimination method, substitution method au graphical method..... Elimination method tayar ishatumika Kwa saiv jambo lako litasolviwa Kwa substitution methodUmeshaelewa eeh. Wa muda ila sikuwa nafatilia sana, kwasasa nitamfatilia. Nina jambo langu nataka kulisikia 😃😃😃😃😃
Ni balozi wetu nchi fulaniNimejaribu kupitia baadhi ya threads zake aisee[emoji119][emoji119]huyu yupo kitengo nyeti
Bora arudi huyu yupo vizuri...Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca
Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.
Nadhani sasa unaona ilivyo heshima ya Jf! Uliharibu sana hili jukwaa Kwa sifa na mapambio ya kijinga.Mimi kwa sasa nipo makini sana na taarifa zako maana wewe siyo mtu wa kawaida .View attachment 3039752
Safi sana atupe update kimtindoNi balozi wetu nchi fulani
Hapo hata wavaa kobaz wengi tu wanalizwa na huyo tapeli.Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.
Labda ndiyo dhamira yakeMkuu angalia usiwaharibie kwa kuwa habari zimevuja kabla ya kutolewa rasmi.
Au wakuu hawajali hili siku hizi?
Hujabubujikwa na machozi Bado? 😂😂😂Mimi kwa sasa nipo makini sana na taarifa zako maana wewe siyo mtu wa kawaida .View attachment 3039752
Hao ndiyo anawachuna kweli kweli.Mbona kwenye shuhuda zake ni wakina Mwajuma,Mariamu,Shida,Juma,Selemani, Abubakar,Aziza!!!???