Tetesi: Hussein Katanga, Katibu Mkuu wa zamani kurejea kivingine

Tetesi: Hussein Katanga, Katibu Mkuu wa zamani kurejea kivingine

!
Nyie wenyewe mbele ya Mwarabu ni makafiri .

Unaonaga unyanyasaji wa wazi hata muendapo hija jinsi wanavyowanyanyapaa?
Who is mwarabu??kuwa kwake muarabu mimi kunanihusu nini??waarabu wengi pia wapo makafiri na washenzi kama race zingine,kuwa muarabu siyo justification ya kuwa muislam
 
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito

Keep waiting….View attachment 3039747

Britanicca
Kwa katiba mtu akishakua Katibu Mkuu Kiongozi hali teuzi tena labda, wenyeviti wa Time, Kamati au Bodi za Taasisi..Ambazo haingii tena kwenye Payroll ni sawa na CAG akishastaafu au kuacha madaraka yake hali tena teuzi isipokua labda Mjumbe flan wa kamati flan, au Mwenyekiti wa Bodi, Tume au kazi maalum
 
Back
Top Bottom