permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Sharif Majini nae anapiga za kwake.Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sharif Majini nae anapiga za kwake.Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.
Mkuu usibishe wapo nduguzo kibao tapeli Mwamposa anawachuna, kama wewe mjanja huendi wapo mapoyoyo wanakwenda tena kwa maelfu.THUBUTU yako,muislam Gani amuache Muhammad amfuate Mtume wa kinyakyusa??
Toka lini messenger of god akawa mnyakyusa,teh teh teh...
Pambaneni na Hali zenu.
Hivi nyie matahira wa dini huwa mnapata Faida gani mtu wa dini yenu akiteuliwa?Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.
Alikua Paul kimitiJohn Samwel Malecela aliwahi kuambiwa anateuliwa kuwa Waziri Mkuu.
Akafanya tafrija ya kujipongeza.
Rais akaghairi uamuzi ule kwa kuona mtu anaanza kufurahia uteuzi kabla haujawa rasmi.
Kukaa Karibu na mahakama sio kujua sheria! Tafakari, itakusaidia!
Sizani !
Mbona niliwahi sikia aliwahifanya kazi kwenye mahakama Sijui mambo ya sheria?!
Sasa hayo na maokoto wapi na wapi ?!
Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa kweli.Mama Samia anaupiga mwingi kwa kweliMimi kwa sasa nipo makini sana na taarifa zako maana wewe siyo mtu wa kawaida .View attachment 3039752
Check ulivyo jinga unaleta udini kwenye maada si ya kidniMakafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.
Hata ingekuwa wewe mkuu unamuapicha mtu na kitabu usicho kiamini! hata imani na huyo muapaji uatakuwa nayo kweli?Ali...nipo mwalimu
Juma...nipo mwalimu
Hussein...nipo mwalimu
Shabani...nipo mwalimu
.
.
.
Ila mwarabu haidhuru sio.THUBUTU yako,muislam Gani amuache Muhammad amfuate Mtume wa kinyakyusa??
Toka lini messenger of god akawa mnyakyusa,teh teh teh...
Pambaneni na Hali zenu.
Mama Abdul hana uwezo wa kumtoa Dr. Mwigulu, Nape pamoja na January kwani wanamtisha yule mmama.Atateuliwa mbunge kisha Waziri wa Maokoto
Here we go
Britanicca tokea enzi anatupa za ndani sana ila angeboresha kidogo aweke code kidogo.Mkuu hupoi, huboi... twende kazi. Najua na siku ya bibi yangu aki... utatutonya kabla!!!
Kumbe ndiyo maana anasema watu wa dini zote wanakaribishwa.?basi hao watakuwa siyo waislam, sababu muislam akiamini tuh kuwa yesu ni Mungu basi ameshakufuru na anakuwa kafiri na anakosa sifa ya kuwa muislam hapo hapo,toka Lin yesu akawa Mungu?we umeona wapi Mungu anaenda chooni kunya mavi?Mkuu usibishe wapo nduguzo kibao tapeli Mwamposa anawachuna, kama wewe mjanja huendi wapo mapoyoyo wanakwenda tena kwa maelfu.
Huyo Mwamposa hahubiri habari za Yesu wala wokovu yeye anatangaza biashara yake ya kutapeli watu wajinga na katika hao wajinga na Waislam wapo.Kumbe ndiyo maana anasema watu wa dini zote wanakaribishwa.?basi hao watakuwa siyo waislam, sababu muislam akiamini tuh kuwa yesu ni Mungu basi ameshakufuru na anakuwa kafiri na anakosa sifa ya kuwa muislam hapo hapo,toka Lin yesu akawa Mungu?we umeona wapi Mungu anaenda chooni kunya mavi?
Hawatumii hata akili ya kawaida tuh?na toka lini mwaisa mnyakyusa akawa Mtume??jinga kbs hao.
Wajinga ndiyo waliwao,dini Gani ibada zao kila siku ni kuombewa kupata watoto, kutolewa majini,kupinga roho ya kifo na kuachana na MADENI na kadhalika??Kwa Posaman wanaenda hadi watoto wa mama mdogo kutolewa kina maimuna, makata, mahaba...
Hahubiri habari ya Yesu ili Hali anatumia Jina la yesu??Huyo Mwamposa hahubiri habari za Yesu wala wokovu yeye anatangaza biashara yake ya kutapeli watu wajinga na katika hao wajinga na Waislam wapo.
We fala Nini,Sasa swali Hilo unaniuliza Mimi??Hivi nyie matahira wa dini huwa mnapata Faida gani mtu wa dini yenu akiteuliwa?
Hao wanaokwenda huko ni wajinga wacha wapigwe kwani huku kwenye nyumba za ibada wanaonywa sana kujiepusha na hao wapigaji na hawasikii . Ila ndugu zako wapo wengi sana nao wanapigwa hela na mimi nasema wacha wapigwe tu kwani hawataki kuwasikia viongozi wao wa kidini maana hapo kwa Mwaposa hakuna dini bali ni kilinge tu cha uganga.Hahubiri habari ya Yesu ili Hali anatumia Jina la yesu??
Ungefanya jambo zuri kama ungekuwa unawaokoa wanakondoo watoke Kwa huyo mshirikina mwamposa kuliko kuwaacha waangamie.
Muislam anaeenda Kwa mwamposa ni kafiri,amekufuru kuamini kuwa Yesu ni Mungu,Mungu haendi toilet kukata gogo acheni ujinga makafiri.
Huoni siku hizi ugaidi umepungua sana? Ni kuwa mujaheedin wengi wamechotwa na Mwamposa na ndio waliojaa KaweMbona kwenye shuhuda zake ni wakina Mwajuma,Mariamu,Shida,Juma,Selemani, Abubakar,Aziza!!!???
Unachojua wewe ni tofauti na ninachojua mimi, usilazimishe kiwe kimoja.Alikua Paul kimiti
Siyo malechela
Kwa taarifa yako Mwamposa ni nabii wa serikali ya ccm. Kazi kubwa anayofanya ni ya kupumbaza watu kwa manufaa ya watawala. Isitoshe Mwamposa tunamfuata wenyewe na tunampelekea fedha zetu. Lakini sasa kuna fedha hazijulikani hata zimetoka wapi lakini zinaonekena zikimnunua kila mtu kwenye nchi yetu! Zinanunua pikipiki 20,000 zenye nembo ya ccm na rais SSH! Zinawanunua wanasiasa wapinzani; zibagharamia uchawa mitandaoni, zinanunua viongozi wa dini, zinajenga makanisa na misikiti, zinawatibu wahanga wa utekaji, zinagharamia kambi za kisanii za matibabu, zinavinunulia mafuta vyombo vya nchi vya ulinzi na usalama, nk, nk!!!!Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.