Hussein Massanza ni kirusi katika soka bongo na ni msemaji wa ovyo kupata kutokea Tz, anatumika...

Hussein Massanza ni kirusi katika soka bongo na ni msemaji wa ovyo kupata kutokea Tz, anatumika...

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Huwa sijui klabu zetu huwa zinatumia vigezo gani kuwapata wasemaji wao wa klabu, nafikiri hizi klabu huwa zinajiokotea tu wahuni bar au vijiwe vya kahawa wale wenye kusema sana kwa mihemko ndio wanawachukua.

Mpaka sasa msemaji wa klabu bora kwa muda wote ni Thobiasi Kifaru wa Mtibwa, huwezi sikia akizungumza pumba.

Hawa kizazi cha role model wao Haji Manara ni wa ovyo kuliko ovyo yenyewe. Msemaji wa Singida Black Stars Hussein Massanza ni wa ovyo kabisa kupata kutokea, yupo yupo tu hajui anachokiongea. Huyu kirusi mbaya zaidi ya covid19 na hata ukimwi katika soka la bongo.

Msemaji anapongeza upuuzi eti GSM kuifanya ligi kuwa kama EPL kwa lipi GSM anadhamini timu saba kwanini hajaipongeza Azam inayorusha matangazo na kulipa udhamini. Kuna muda ilidhamini timu zote ligi kuu hatukusikia akiipongeza. Hawa ndio wanaramba makalio ya matajiri.

Jana baada ya mechi ya mipango eti ana furaha timu yake kufungwa kisa tu Yanga amepata point tatu za kuiacha Simba. Huyo huyo bado anazungumza mambo ya ufundi kama yeye ni mmoja wapo wa benchi la ufundi anatupa wasiwasi na hujuma kutoka kumsifia GSM mpaka kuzungumzia upangaji wa kikosi

Hapa Massanza ni kirusi cha kuogopwa Massalanga anayejulikana si wa kufungwa magoli ya kiboya vile bado msemaji anakenua kenua tu.

Huyu ni kirusi mbaya na wa kuogopwa yupo pale kwa ajenda moja tu saidia GSM awe bingwa akapigwe Caf.

Inasikitisha msemaji kufurahia kufungwa.!
 
Huwa sijui klabu zetu huwa zinatumia vigezo gani kuwapata wasemaji wao wa klabu....nafikiri hizi klabu huwa zinajiokotea tu wahuni bar au vijiwe vya kahawa wale wenye kusema sana kwa mihemko ndio wanawachukua....mpaka sasa msemaji wa klabu bora kwa muda wote ni thobiasi kifaru wa mtibwa huwezi sikia akizungumza pumba.....hawa kizazi cha role model wao haji manara ni wa hovyo kuliko hovyo yenyewe....msremaji wa singida black stars hussein massanza ni wa hovyo kabisa kupata kutokea yupo yupo tu hajui anachokiongea huyu kirusi mbaya zaidi ya covid19 na hata ukimwi katika soka la bongo....msemaji anapongeza upuuzi eti GSM kuifanya ligi kuwa kama Epl kwa lipi GSM anadhamini timu saba kwanini hajaiponheza azam inayorusha matangazo na kulipa udhamini kuna muda ilidhamini timu zote ligi kuu hatukusikia akiipongeza hawa ndio wanaramba makalio ya matajiti..jana baada ya mechi ya mipango eti anafuraha timu yake kufungwa kisa tu yanga amepata point tatu za kuiwacha simba huyo huyo bado anazungumza mambo ya ufundi kama yeye ni mmoja wapo wa benchi la ufundi anatupa wasi wasi na hujuma kutoka kumsifia GSM mpaka kuzungumzia upangaji wa kikosi hapa Massanza ni kirusi cha kuogopwa Massalanga anaye julikana si wa kufungwa magoli ya kiboya vile bado msemaji anakenua kenua tu...huyu ni kirusi mbaya na wa kuogopwa yupo pale kwa ajend moja tu saidia GSM awe bingwa akapigwe Caf...inasikitisha msemaji kufurahia kufungwa.!
Leo tu umepandisha nyuzi si chini ya kumi,,ubaya ubwela mliokuwa mnatamba nao kubebwa na marefa sasa umekuwa mkuki kwa nguruwe? Kipindi mnapoka point za wenzenu mnadhani awakuumia? Milio itaendelea sana na kilichobaki utakunywa sumu akuna kucheka na kima kwasasa!
 
Coast union
 

Attachments

  • markup_1000103433.png
    markup_1000103433.png
    1.3 MB · Views: 2
Leo tu umepandisha nyuzi si chini ya kumi,,ubaya ubwela mliokuwa mnatamba nao kubebwa na marefa sasa umekuwa mkuki kwa nguruwe? Kipindi mnapoka point za wenzenu mnadhani awakuumia? Milio itaendelea sana na kilichobaki utakunywa sumu akuna kucheka na kima kwasasa!
Hamna hadhi ya kucheza ligi kuu
 
Leo tu umepandisha nyuzi si chini ya kumi,,ubaya ubwela mliokuwa mnatamba nao kubebwa na marefa sasa umekuwa mkuki kwa nguruwe? Kipindi mnapoka point za wenzenu mnadhani awakuumia? Milio itaendelea sana na kilichobaki utakunywa sumu akuna kucheka na kima kwasasa!
Watu wote ulimwenguni tayari wanajua mechi ilipangwa hata wenyewe wanajitoa tu ufahamu lakini wanapigiana simu kulaumiana ila msemaji wa SBS ni kirusi!
 
Coast union
Hicho ulicho post ni kutokua na ufahamu niulize historia ya coastal union na simba nitakupa....coastal alifungwa kiuwezo...sio hii kabla ya mechi ukisikiliza vituo vyote vya redio watangazaji walijua nini kinakwenda kutokea hata msemaji anamshukuru GSM badala ya mwigulu mwenye timu!
 
Hicho ulicho post ni kutokua na ufahamu niulize historia ya coastal union na simba nitakupa....coastal alifungwa kiuwezo...sio hii kabla ya mechi ukisikiliza vituo vyote vya redio watangazaji walijua nini kinakwenda kutokea hata msemaji anamshukuru GSM badala ya mwigulu mwenye timu!
Gboost ni ya mwigulu!?
Jamaa sijaona shida yake na ukweli ni anajitahidi tena hana dharau
 
Huwa sijui klabu zetu huwa zinatumia vigezo gani kuwapata wasemaji wao wa klabu, nafikiri hizi klabu huwa zinajiokotea tu wahuni bar au vijiwe vya kahawa wale wenye kusema sana kwa mihemko ndio wanawachukua.

Mpaka sasa msemaji wa klabu bora kwa muda wote ni Thobiasi Kifaru wa Mtibwa, huwezi sikia akizungumza pumba.

Hawa kizazi cha role model wao Haji Manara ni wa ovyo kuliko ovyo yenyewe. Msemaji wa Singida Black Stars Hussein Massanza ni wa ovyo kabisa kupata kutokea, yupo yupo tu hajui anachokiongea. Huyu kirusi mbaya zaidi ya covid19 na hata ukimwi katika soka la bongo.

Msemaji anapongeza upuuzi eti GSM kuifanya ligi kuwa kama EPL kwa lipi GSM anadhamini timu saba kwanini hajaipongeza Azam inayorusha matangazo na kulipa udhamini. Kuna muda ilidhamini timu zote ligi kuu hatukusikia akiipongeza. Hawa ndio wanaramba makalio ya matajiri.

Jana baada ya mechi ya mipango eti ana furaha timu yake kufungwa kisa tu Yanga amepata point tatu za kuiacha Simba. Huyo huyo bado anazungumza mambo ya ufundi kama yeye ni mmoja wapo wa benchi la ufundi anatupa wasiwasi na hujuma kutoka kumsifia GSM mpaka kuzungumzia upangaji wa kikosi

Hapa Massanza ni kirusi cha kuogopwa Massalanga anayejulikana si wa kufungwa magoli ya kiboya vile bado msemaji anakenua kenua tu.

Huyu ni kirusi mbaya na wa kuogopwa yupo pale kwa ajenda moja tu saidia GSM awe bingwa akapigwe Caf.

Inasikitisha msemaji kufurahia kufungwa.!
Mkuu pole kwa kuumia sana. Mpira ndio ulivyo. Shabikia Hata Karata!!
 
Huwa sijui klabu zetu huwa zinatumia vigezo gani kuwapata wasemaji wao wa klabu, nafikiri hizi klabu huwa zinajiokotea tu wahuni bar au vijiwe vya kahawa wale wenye kusema sana kwa mihemko ndio wanawachukua.

Mpaka sasa msemaji wa klabu bora kwa muda wote ni Thobiasi Kifaru wa Mtibwa, huwezi sikia akizungumza pumba.

Hawa kizazi cha role model wao Haji Manara ni wa ovyo kuliko ovyo yenyewe. Msemaji wa Singida Black Stars Hussein Massanza ni wa ovyo kabisa kupata kutokea, yupo yupo tu hajui anachokiongea. Huyu kirusi mbaya zaidi ya covid19 na hata ukimwi katika soka la bongo.

Msemaji anapongeza upuuzi eti GSM kuifanya ligi kuwa kama EPL kwa lipi GSM anadhamini timu saba kwanini hajaipongeza Azam inayorusha matangazo na kulipa udhamini. Kuna muda ilidhamini timu zote ligi kuu hatukusikia akiipongeza. Hawa ndio wanaramba makalio ya matajiri.

Jana baada ya mechi ya mipango eti ana furaha timu yake kufungwa kisa tu Yanga amepata point tatu za kuiacha Simba. Huyo huyo bado anazungumza mambo ya ufundi kama yeye ni mmoja wapo wa benchi la ufundi anatupa wasiwasi na hujuma kutoka kumsifia GSM mpaka kuzungumzia upangaji wa kikosi

Hapa Massanza ni kirusi cha kuogopwa Massalanga anayejulikana si wa kufungwa magoli ya kiboya vile bado msemaji anakenua kenua tu.

Huyu ni kirusi mbaya na wa kuogopwa yupo pale kwa ajenda moja tu saidia GSM awe bingwa akapigwe Caf.

Inasikitisha msemaji kufurahia kufungwa.!
Vilio vimekuwa kero sasa, shushiia na glass 1 ya GSM water mkuu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom