ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kirusi Kiko kichwani mwakoWewe pia utakufa kifo kibaya.. Amewekeza au ana takatisha fedha...usikimbie mada ya soka kuwa massanza ni kirusi!
Wewe unataka watu wafanye vile unataka wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kirusi Kiko kichwani mwakoWewe pia utakufa kifo kibaya.. Amewekeza au ana takatisha fedha...usikimbie mada ya soka kuwa massanza ni kirusi!
Wacha nikuache nafikiri haupo sawa kichwani ila wana michezo wanahitaji mpira fair kama wa miaka ya nyuma mto singida ana mfunga pamba yanga anafungwa na reli,simba anafungwa na mecco kanywe maji upunguze kisukari na mahaba!Kirusi Kiko kichwani mwako
Wewe unataka watu wafanye vile unataka wewe
We hujui mpiraWacha nikuache nafikiri haupo sawa kichwani ila wana michezo wanahitaji mpira fair kama wa miaka ya nyuma mto singida ana mfunga pamba yanga anafungwa na reli,simba anafungwa na mecco kanywe maji upunguze kisukari na mahaba!
Unakumbuka siku ntbaznkza anafunga bao kutafta ufungaj bora?Kusema kweli mechi ya mchongo ya jana imeunajisi sana mpira wa Tanzania. Kilichofanyika jana ni match fixing ya wazi kabisa, GSM ameibaka ligi yetu hadharani
Sawa mpira sijui ila matokeo yakipangwa nayajua na hatutowacha kupiga kelele ndio starehe yetu hatupo kufagilia mbuzi makende hakujawahi kutokea timu moja kuinunulia timu nyingine wachezaji na makocha...wacha nikuache kichwa chako kinapata moto mapema unataka tuamini unachoamini wewe .Alamsiki bin nuur...We hujui mpira
Unataka muwapangie makocha vikosi
Enzi hizi hutaki kuheshimu taaluma za makocha
Unataka kocha apange kikosi unachotaka wewe
Leta viashiria vya upangaji matokeo tuoneSawa mpira sijui ila matokeo yakipangwa nayajua na hatutowacha kupiga kelele ndio starehe yetu hatupo kufagilia mbuzi makende hakujawahi kutokea timu moja kuinunulia timu nyingine wachezaji na makocha...wacha nikuache kichwa chako kinapata moto mapema unataka tuamini unachoamini wewe .Alamsiki bin nuur...
Namungo alishawahi kumfunga Simba lini ?Hicho ulicho post ni kutokua na ufahamu niulize historia ya coastal union na simba nitakupa....coastal alifungwa kiuwezo...sio hii kabla ya mechi ukisikiliza vituo vyote vya redio watangazaji walijua nini kinakwenda kutokea hata msemaji anamshukuru GSM badala ya mwigulu mwenye timu!
Leta viashiria vya upangaji matokeo tuone
Ameshamkosesha ubingwa mara mbili!Namungo alishawahi kumfunga Simba lini ?
Pole sanaHawa masindano FC na ndugu zao Gsm Family vitawatokea puani...