Hutaki kugawana Mali zako halafu unafunga ndoa, una akili sawasawa KWELI? Ni Bora usioe tuu!

Hutaki kugawana Mali zako halafu unafunga ndoa, una akili sawasawa KWELI? Ni Bora usioe tuu!

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Wazima wote!

Hukumkuta Bikra!
Huna uhakika watoto ni wako!
Unajua Kabisa Mfumo wa Sheria za sasa katika Masuala ya ndoa unamgeuza mwanaume Msukule wa kuzalisha Mali na kunyonywa.
Unajua Kabisa, hata mkiachana watoto wanaweza kuchukuliwa na Mkeo na hao watoto wakapewa mwanaume mwingine na usiwe na lakufanya.

Unajua Kabisa siku mkiachana, kwa vyovyote iwavyo mtagawana Mali ambazo wewe ndiye umezitolea jasho. Na wewe hautaki Jambo Hilo litokee. Hata kama ni asilimia 30 au 40 za Mali atakazopewa Mkeo. Unajua Kabisa itakuuma.

Sasa nini kinachokufanya UOE?

Vijana wangu, najua hamwezi kunielewa.
Zama zimebadilika Sana.
Siku hizi sio zamani kwamba watu Wana Ile kuoneana haya/aibu kwamba jamii itanionaje. Mambo yapo tofauti Sana.

Usijedanganywa na mtu yeyote. Kama hutaki jasho lako liende Bure. Kama hutaki kutapeliwa, kama hutaki kuingizwa mkenge. Na unajijua wewe ni mtafutaji ninkushauri USIOE.
NI Ushauri sio lazima maana najua wpo wenye Akili ndogo watasema nimewalazimisha.

Zaa watoto Basi! Hakikisha ni watoto wako. Achana na mambo ya kusema mtoto ni Mtoto. Wewe sio Serikali. Kwa serikali mtoto ni Mtoto. Ila kwenye mambo ya Vinasaba sio kila mtoto ni Mtoto wako.
Ndio maana wewe huwezi kuwa mchina, na mchina hawezi kuwa wewe. Ila kiserikali na kisiasa unaweza ukawa mchina na mchina anaweza kuwa Mtanzania.

Upo kwenye Zama ambazo wanawake wanatazama pesa kuliko kitu chochote. Na sio pesa walizozizalisha, nope! Pesa za wanaume, misukule Yao.

Wanapokuambia utafute pesa wanamaanisha wewe ni Msukule wa kuhangaika kwaajili Yao na huwezi Kupata malipo yoyote zaidi ya kukudharau ukishaishiwa nguvu.

Mtu yeyote ambaye yupo after money huyo usitafute upendo Wala heshima yake. Hawezi kukupenda Wala kukuheshimu.

Wanawake wengi Sana ni material orientated, huelewi nini kujua watu wa aina hiyo hupaswi kuwazingatia Wala kuwapa umuhimu Mkubwa katika maisha yako. Tena kuwa muhimu kwa kiwango cha juu kabisa cha kuwa MKE wako.

Tafuta pesa ndio lakini sio kwaajili ya wanawake. Tafuta pesa kwaajili yako MWENYEWE na watoto uliowathibitisha ni wako.

Mtu yeyote anayetafuta pesa kwaajili ya wanawake wa zama hizi ni Msukule Fulani hivi. Mtumwa Fulani hivi.

Alafu ulivyomjinga mwisho wa siku unapiga kelele oooh wanawake hawana Shukrani, oooh! Nimemfanyia ABC, ulifanya kwa Usukule wako. Hukujua unayemfanyia ni nani.

Kama utapata mwanamke ambaye sio materialistic ambao ni Wachache Sana, Watibeli huyo Muoe.
Mwanamke ambaye mtakuwa mwili Mmoja. Mtakayeunda familia Moja.
Mwanamke ambaye akitoa anafurahi na sio hayo majizi mnayookota huko barabarani, ambayo akitoa kidogo analalamika ana anataka umrudishie.

Mimi nimeshamaliza.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Russian President Vladimir Putin said that “it’s best not to argue with women”
Wanawake tunazaliwa nao na ni watoto wetu pia but wengi wao ni watu wa hovyo sana.

Na mbaya zaidi siku hizi sheria zinamkandamiza Mwanaume kuliko Mwanamke.Ukipata mwanamke wa maana utakuwa mwenye furaha Daima,shida ni kumpa sasa huyo Mwanamke.
 
Ninaona hapa Ofisini wanawake za watu,they just good economically but wanafanya mamb ya hovyo sana-hawana misimamo.Wa
Mwanamke aliyesoma na ambaye hajasomo wote wanafanana,mwanamke mwenye pesa na asiye na pesa wote tamaa mbele.

Yani jamani career women ni wazuri kusaidiana majukumu but jua fika ukimuoa huku Maofiisini wana wame zao tena,anayebisha abishe but huo ndio ukweli.
 
Russian President Vladimir Putin said that “it’s best not to argue with women”
Wanawake tunazaliwa nao na ni watoto wetu pia but wengi wao ni watu wa hovyo sana.

Na mbaya zaidi siku hizi sheria zinamkandamiza Mwanaume kuliko Mwanamke.Ukipata mwanamke wa maana utakuwa mwenye furaha Daima,shida ni kumpa sasa huyo Mwanamke.

Sheria zimevuruga kila kitu.
Mbaya zaidi wanawake wengi siku hizi ni Mapaka shume, majizi

Unafikiri umeoa Mke kumbe mwenzako amekuja Kupata unafuu wa maisha na anaweza Mali zako

Wenyewe wanakuambia ukifanikiwa wao ndio wamekufanikisha😂😂
 
Ninaona hapa Ofisini wanawake za watu,they just good economically but wanafanya mamb ya hovyo sana-hawana misimamo.Wa
Mwanamke aliyesoma na ambaye hajasomo wote wanafanana,mwanamke mwenye pesa na asiye na pesa wote tamaa mbele.

Yani jamani career women ni wazuri kusaidiana majukumu but jua fika ukimuoa huku Maofiisini wana wame zao tena,anayebisha abishe but huo ndio ukweli.

Mwanamke awe anafanya Kazi awe hafanyi mwanamke ni yuleyule tuu.

Sisi tuliochagua wafanye Kazi sio wajinga, ni Kwa sababu hatutaki kuwa misukule, na Watumwa.
 
Ni wakati muafaka sheria zibadilishwe kukomesha ujambazi ndani ya ndao, mke anaweza ingia tamaa mda wowote akaifilisi familia kwa kutumia sheria ya ndoa

Sheria ziwekwe kwa HAKI
Kile anachochuma mtu ndicho atoke nacho.
Yule atakayesababisha ndoa kutaka kuvunjika atoe fidia angalau robo au nusu ya alichozalisha.
 
Wazima wote!

Hukumkuta Bikra!
Huna uhakika watoto ni wako!
Unajua Kabisa Mfumo wa Sheria za sasa katika Masuala ya ndoa unamgeuza mwanaume Msukule wa kuzalisha Mali na kunyonywa.
Unajua Kabisa, hata mkiachana watoto wanaweza kuchukuliwa na Mkeo na hao watoto wakapewa mwanaume mwingine na usiwe na lakufanya.

Unajua Kabisa siku mkiachana, kwa vyovyote iwavyo mtagawana Mali ambazo wewe ndiye umezitolea jasho. Na wewe hautaki Jambo Hilo litokee. Hata kama ni asilimia 30 au 40 za Mali atakazopewa Mkeo. Unajua Kabisa itakuuma.

Sasa nini kinachokufanya UOE?

Vijana wangu, najua hamwezi kunielewa.
Zama zimebadilika Sana.
Siku hizi sio zamani kwamba watu Wana Ile kuoneana haya/aibu kwamba jamii itanionaje. Mambo yapo tofauti Sana.

Usijedanganywa na mtu yeyote. Kama hutaki jasho lako liende Bure. Kama hutaki kutapeliwa, kama hutaki kuingizwa mkenge. Na unajijua wewe ni mtafutaji ninkushauri USIOE.
NI Ushauri sio lazima maana najua wpo wenye Akili ndogo watasema nimewalazimisha.

Zaa watoto Basi! Hakikisha ni watoto wako. Achana na mambo ya kusema mtoto ni Mtoto. Wewe sio Serikali. Kwa serikali mtoto ni Mtoto. Ila kwenye mambo ya Vinasaba sio kila mtoto ni Mtoto wako.
Ndio maana wewe huwezi kuwa mchina, na mchina hawezi kuwa wewe. Ila kiserikali na kisiasa unaweza ukawa mchina na mchina anaweza kuwa Mtanzania.

Upo kwenye Zama ambazo wanawake wanatazama pesa kuliko kitu chochote. Na sio pesa walizozizalisha, nope! Pesa za wanaume, misukule Yao.

Wanapokuambia utafute pesa wanamaanisha wewe ni Msukule wa kuhangaika kwaajili Yao na huwezi Kupata malipo yoyote zaidi ya kukudharau ukishaishiwa nguvu.

Mtu yeyote ambaye yupo after money huyo usitafute upendo Wala heshima yake. Hawezi kukupenda Wala kukuheshimu.

Wanawake wengi Sana ni material orientated, huelewi nini kujua watu wa aina hiyo hupaswi kuwazingatia Wala kuwapa umuhimu Mkubwa katika maisha yako. Tena kuwa muhimu kwa kiwango cha juu kabisa cha kuwa MKE wako.

Tafuta pesa ndio lakini sio kwaajili ya wanawake. Tafuta pesa kwaajili yako MWENYEWE na watoto uliowathibitisha ni wako.

Mtu yeyote anayetafuta pesa kwaajili ya wanawake wa zama hizi ni Msukule Fulani hivi. Mtumwa Fulani hivi.

Alafu ulivyomjinga mwisho wa siku unapiga kelele oooh wanawake hawana Shukrani, oooh! Nimemfanyia ABC, ulifanya kwa Usukule wako. Hukujua unayemfanyia ni nani.

Kama utapata mwanamke ambaye sio materialistic ambao ni Wachache Sana, Watibeli huyo Muoe.
Mwanamke ambaye mtakuwa mwili Mmoja. Mtakayeunda familia Moja.
Mwanamke ambaye akitoa anafurahi na sio hayo majizi mnayookota huko barabarani, ambayo akitoa kidogo analalamika ana anataka umrudishie.

Mimi nimeshamaliza.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa wanawake wa sasa,kama unampenda kweli,lipia mahali tu kisha zalisha watoto na mtengeneza familia usithubutu kuingia naye mkataba wa ndoa,vile vyeti vya ndoa kwa mwanamke ni silaha kubwa sana ya kukuangamiza.
 
Kwa wanawake wa sasa,kama unampenda kweli,lipia mahali tu kisha zalisha watoto na mtengeneza familia usithubutu kuingia naye mkataba wa ndoa,vile vyeti vya ndoa kwa mwanamke ni silaha kubwa sana ya kukuangamiza.

Utapeli unaanzia hapo kwenye mahari.
Ukishalipa mahari kiutamaduni hiyo ni ndoa na inatambulika
 
Wazima wote!

Hukumkuta Bikra!
Huna uhakika watoto ni wako!
Unajua Kabisa Mfumo wa Sheria za sasa katika Masuala ya ndoa unamgeuza mwanaume Msukule wa kuzalisha Mali na kunyonywa.
Unajua Kabisa, hata mkiachana watoto wanaweza kuchukuliwa na Mkeo na hao watoto wakapewa mwanaume mwingine na usiwe na lakufanya.

Unajua Kabisa siku mkiachana, kwa vyovyote iwavyo mtagawana Mali ambazo wewe ndiye umezitolea jasho. Na wewe hautaki Jambo Hilo litokee. Hata kama ni asilimia 30 au 40 za Mali atakazopewa Mkeo. Unajua Kabisa itakuuma.

Sasa nini kinachokufanya UOE?

Vijana wangu, najua hamwezi kunielewa.
Zama zimebadilika Sana.
Siku hizi sio zamani kwamba watu Wana Ile kuoneana haya/aibu kwamba jamii itanionaje. Mambo yapo tofauti Sana.

Usijedanganywa na mtu yeyote. Kama hutaki jasho lako liende Bure. Kama hutaki kutapeliwa, kama hutaki kuingizwa mkenge. Na unajijua wewe ni mtafutaji ninkushauri USIOE.
NI Ushauri sio lazima maana najua wpo wenye Akili ndogo watasema nimewalazimisha.

Zaa watoto Basi! Hakikisha ni watoto wako. Achana na mambo ya kusema mtoto ni Mtoto. Wewe sio Serikali. Kwa serikali mtoto ni Mtoto. Ila kwenye mambo ya Vinasaba sio kila mtoto ni Mtoto wako.
Ndio maana wewe huwezi kuwa mchina, na mchina hawezi kuwa wewe. Ila kiserikali na kisiasa unaweza ukawa mchina na mchina anaweza kuwa Mtanzania.

Upo kwenye Zama ambazo wanawake wanatazama pesa kuliko kitu chochote. Na sio pesa walizozizalisha, nope! Pesa za wanaume, misukule Yao.

Wanapokuambia utafute pesa wanamaanisha wewe ni Msukule wa kuhangaika kwaajili Yao na huwezi Kupata malipo yoyote zaidi ya kukudharau ukishaishiwa nguvu.

Mtu yeyote ambaye yupo after money huyo usitafute upendo Wala heshima yake. Hawezi kukupenda Wala kukuheshimu.

Wanawake wengi Sana ni material orientated, huelewi nini kujua watu wa aina hiyo hupaswi kuwazingatia Wala kuwapa umuhimu Mkubwa katika maisha yako. Tena kuwa muhimu kwa kiwango cha juu kabisa cha kuwa MKE wako.

Tafuta pesa ndio lakini sio kwaajili ya wanawake. Tafuta pesa kwaajili yako MWENYEWE na watoto uliowathibitisha ni wako.

Mtu yeyote anayetafuta pesa kwaajili ya wanawake wa zama hizi ni Msukule Fulani hivi. Mtumwa Fulani hivi.

Alafu ulivyomjinga mwisho wa siku unapiga kelele oooh wanawake hawana Shukrani, oooh! Nimemfanyia ABC, ulifanya kwa Usukule wako. Hukujua unayemfanyia ni nani.

Kama utapata mwanamke ambaye sio materialistic ambao ni Wachache Sana, Watibeli huyo Muoe.
Mwanamke ambaye mtakuwa mwili Mmoja. Mtakayeunda familia Moja.
Mwanamke ambaye akitoa anafurahi na sio hayo majizi mnayookota huko barabarani, ambayo akitoa kidogo analalamika ana anataka umrudishie.

Mimi nimeshamaliza.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Familiar mimi nimekuelewa sana sana sana, ndio maana tunarudi palepale kwenye ile kanuni yetu ya MWANAUME KATAA NDOA,
NDOA NI UTAPELI.

Nikifikiriaga maswala ya kugawana Mali, hali ya kuwa hizo Mali umezipambania wewe mwenyewe, hamu ya ndoa inaisha kabisa kaka brother.

kingine mwanamke anaingia kwenye ndoa kwa maslahi yake yeye mwenyewe apo utakuta mwanamke anakuvutia upepo tu mvurugane, achukue watoto aendelee kupiga pesa za matunzo na anaenda mahakamani kudai Talaka agombee mgawanyo wa Mali, shenzi kabisa wanawake.
 
Familiar mimi nimekuelewa sana sana sana, ndio maana tunarudi palepale kwenye ile kanuni yetu ya MWANAUME KATAA NDOA,
NDOA NI UTAPELI.

Nikifikiriaga maswala ya kugawana Mali, hali ya kuwa hizo Mali umezipambania wewe mwenyewe, hamu ya ndoa inaisha kabisa kaka brother.

kingine mwanamke anaingia kwenye ndoa kwa maslahi yake yeye mwenyewe apo utakuta mwanamke anakuvutia upepo tu mvurugane, achukue watoto aendelee kupiga pesa za matunzo na anaenda mahakamani kudai Talaka agombee mgawanyo wa Mali, shenzi kabisa wanawake.
Unachoongea hapa kina ukweli mwingi sana,nature ya mwanamke hata kama hakuna mgogoro,anapozaa tu mapenzi yake na akili zake zote huwa zinahamia kwa watoto,sasa ukikumbana na jambazi baada tu ya kuzaa linageukia kwenye kuanzisha mzozo ili lizoe mali,na mbinu anayoitumia ni kutumia mzozo wenu kuharibu akili za watoto,kwamba wewe ndio matatizo,na watoto nao kwa udogo wao na kuwa kwao karibu sana na mama wanabeba ile chuki na kumuona baba kama adui yao,kinachofuata hapo ni talaka,watoto ataondoka nao na mali itakwenda......
 
Sheria zimevuruga kila kitu.
Mbaya zaidi wanawake wengi siku hizi ni Mapaka shume, majizi

Unafikiri umeoa Mke kumbe mwenzako amekuja Kupata unafuu wa maisha na anaweza Mali zako

Wenyewe wanakuambia ukifanikiwa wao ndio wamekufanikisha😂😂
mwanamke yeyote aliyekubali kuolewa ni kwa sababu ameona retiremet plann yake ipo bright.... akiona your future ni isiyoeleweka na retirement yake iliyo na jasho anakuacha anabeba na watoto unakua total losser...nguvu zote umezipotezea kwake...anakuja kwakoa akifikiria atapata watoto ambao watamsaidia uzeeni utakufa utamwachia nyumba aishi na wanae au mali ale na wanae na wanaumezake...
 
Back
Top Bottom