Hutaki kugawana Mali zako halafu unafunga ndoa, una akili sawasawa KWELI? Ni Bora usioe tuu!

Hutaki kugawana Mali zako halafu unafunga ndoa, una akili sawasawa KWELI? Ni Bora usioe tuu!

Unachoongea hapa kina ukweli mwingi sana,nature ya mwanamke hata kama hakuna mgogoro,anapozaa tu mapenzi yake na akili zake zote huwa zinahamia kwa watoto,sasa ukikumbana na jambazi baada tu ya kuzaa linageukia kwenye kuanzisha mzozo ili lizoe mali,na mbinu anayoitumia ni kutumia mzozo wenu kuharibu akili za watoto kuwa wewe ndio matatizo,na watoto kwa udogo wao na kuwa kwao karibu sana na mama wanabeba ilie chuki na kumuona baba kama adui yao,kinachofuata hapo ni talaka,watoto ataondoka nao na mali itakwenda......
Sure kabisa Familiar, oy mimi sioi nitakuwa na ishi tu na mwanamke ili asipate nguvuu ya kunitapeli. kuoa nitaoa nikiwa uzeeni tena kwenye miaka 70 najua katika huu umri wazee wanajikatiaga tamaa ya kuishi kwasabb ya umri kusonga, najua hatokuwa na nguvuu ya kufanya huo upuuzi.
 
mwanamke yeyote aliyekubali kuolewa ni kwa sababu ameona retiremet plann yake ipo bright.... akiona your future ni isiyoeleweka na retirement yake iliyo na jasho anakuacha anabeba na watoto unakua total losser...nguvu zote umezipotezea kwake...anakuja kwakoa akifikiria atapata watoto ambao watamsaidia uzeeni utakufa utamwachia nyumba aishi na wanae au mali ale na wanae na wanaumezake...

Ukweli mchungu
 
Ukweli mchungu
we huogopi unamfuata binti kumuoa anakuambia we mzee...unamuonyesha mengi na jack unamuuliza nani mzee anakuambia yule ni Mengi.......hahaha...yaani yupo full loaded..kuna mmoja hapa ana changamoto ya uzazi anakimbiza 40's yeye ni kuwarubuni vijana wa 30 to35 anawapa k anawazuzua wanajoin mtaji kwenye business yake wakauwa wafanyakazi..siku akimchoka anadai talaka na mahakamani anakushinda no mgao.... toka ahamie hili eneo ana ndoa kama 4 na ndani ya miaka 3..
 
we huogopi unamfuata binti kumuoa anakuambia we mzee...unamuonyesha mengi na jack unamuuliza nani mzee anakuambia yule ni Mengi.......hahaha...yaani yupo full loaded..kuna mmoja hapa ana changamoto ya uzazi anakimbiza 40's yeye ni kuwarubuni vijana wa 30 to35 anawapa k anawazuzua wanajoin mtaji kwenye business yake wakauwa wafanyakazi..siku akimchoka anadai talaka na mahakamani anakushinda no mgao.... toka ahamie hili eneo ana ndoa kama 4 na ndani ya miaka 3..

Hatari Sana hiyo
 
Na ukioa basi usithubutu kuchukua singo maza, hii clip nmeona jana nmecheka sana alaf nikasikitika mana ni ukweli hata kwa mzazi mwenzangu, ni paka na panya ila siku nikiamuaga kunyoosha kiswahili kwa ustaarabu utasikia "tatizo lako wewe mkorofi sana, nakuja"

 
Wazima wote!

Hukumkuta Bikra!
Huna uhakika watoto ni wako!
Unajua Kabisa Mfumo wa Sheria za sasa katika Masuala ya ndoa unamgeuza mwanaume Msukule wa kuzalisha Mali na kunyonywa.
Unajua Kabisa, hata mkiachana watoto wanaweza kuchukuliwa na Mkeo na hao watoto wakapewa mwanaume mwingine na usiwe na lakufanya.

Unajua Kabisa siku mkiachana, kwa vyovyote iwavyo mtagawana Mali ambazo wewe ndiye umezitolea jasho. Na wewe hautaki Jambo Hilo litokee. Hata kama ni asilimia 30 au 40 za Mali atakazopewa Mkeo. Unajua Kabisa itakuuma.

Sasa nini kinachokufanya UOE?

Vijana wangu, najua hamwezi kunielewa.
Zama zimebadilika Sana.
Siku hizi sio zamani kwamba watu Wana Ile kuoneana haya/aibu kwamba jamii itanionaje. Mambo yapo tofauti Sana.

Usijedanganywa na mtu yeyote. Kama hutaki jasho lako liende Bure. Kama hutaki kutapeliwa, kama hutaki kuingizwa mkenge. Na unajijua wewe ni mtafutaji ninkushauri USIOE.
NI Ushauri sio lazima maana najua wpo wenye Akili ndogo watasema nimewalazimisha.

Zaa watoto Basi! Hakikisha ni watoto wako. Achana na mambo ya kusema mtoto ni Mtoto. Wewe sio Serikali. Kwa serikali mtoto ni Mtoto. Ila kwenye mambo ya Vinasaba sio kila mtoto ni Mtoto wako.
Ndio maana wewe huwezi kuwa mchina, na mchina hawezi kuwa wewe. Ila kiserikali na kisiasa unaweza ukawa mchina na mchina anaweza kuwa Mtanzania.

Upo kwenye Zama ambazo wanawake wanatazama pesa kuliko kitu chochote. Na sio pesa walizozizalisha, nope! Pesa za wanaume, misukule Yao.

Wanapokuambia utafute pesa wanamaanisha wewe ni Msukule wa kuhangaika kwaajili Yao na huwezi Kupata malipo yoyote zaidi ya kukudharau ukishaishiwa nguvu.

Mtu yeyote ambaye yupo after money huyo usitafute upendo Wala heshima yake. Hawezi kukupenda Wala kukuheshimu.

Wanawake wengi Sana ni material orientated, huelewi nini kujua watu wa aina hiyo hupaswi kuwazingatia Wala kuwapa umuhimu Mkubwa katika maisha yako. Tena kuwa muhimu kwa kiwango cha juu kabisa cha kuwa MKE wako.

Tafuta pesa ndio lakini sio kwaajili ya wanawake. Tafuta pesa kwaajili yako MWENYEWE na watoto uliowathibitisha ni wako.

Mtu yeyote anayetafuta pesa kwaajili ya wanawake wa zama hizi ni Msukule Fulani hivi. Mtumwa Fulani hivi.

Alafu ulivyomjinga mwisho wa siku unapiga kelele oooh wanawake hawana Shukrani, oooh! Nimemfanyia ABC, ulifanya kwa Usukule wako. Hukujua unayemfanyia ni nani.

Kama utapata mwanamke ambaye sio materialistic ambao ni Wachache Sana, Watibeli huyo Muoe.
Mwanamke ambaye mtakuwa mwili Mmoja. Mtakayeunda familia Moja.
Mwanamke ambaye akitoa anafurahi na sio hayo majizi mnayookota huko barabarani, ambayo akitoa kidogo analalamika ana anataka umrudishie.

Mimi nimeshamaliza.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa Tz bado sheria zetu zina uafadhali mkubwa sana ukilinganisha na nchi nyingine hasa za Ulaya.
Tatizo wanaume wengi wa kibongo hatuna elimu hasa linapo kuja suala la sheria za nchi hii.
Kiufupi %95 ya watz ya walioko kwenye ndoa na ambao hawajaingia kwenye ndoa hawana uelewa wowote wa sheria za ndoa na ndio maana kuna hata wanawake wanao poteza pia haki zao baada ya ndoa zao kuvunjika na kuna wanaume wanatapeliwa kipuuzi na wanawake kwa kutumia cheti cha ndoa.
Mfano kwa mujibu wa sheria ya taraka ya Tz ,mali zilizo patikana kabla ya ndoa huwa hazihusishwi katika mgawanyo wa mali baada ya ndoa kuvunjika, lakini mpaka sasa tunavyo ongea ni wanaume kibao wamesha lizwa na wanawake kwa kugawana mali wamekutwa nazo.

Kiufupi sheria ya ndoa ya Tz ikikuta mwanaume ambaye ni mjanja wa sheria au ukipata wakili mzuri mwana mke hawezi kukutapeli kipuuzi kupitia makaratasi ya ndoa na wanawake kibao walio jaribu kufanya utapeli kwa njia hiyo wengi wameangukia pua.

Pia kenya 🇰🇪 wana sheria nzuri sana ya ndoa mfano mkipeana taraka kwenye mgawanyo wa mali ni lazima mwana mke aoneshe ushahidi na uthibitisho jinsi gani alivyo husika kutafuta hizo mali hata kama zimepatikana ndani ya ndoa.
 
Mapaka shume yanavyoruka na kukanyagana...
Yanaupita huu uzi mithiri ya mgoni aliyenusurika kubambwa...
 
Nisingekuwaga mjanja na kufungua kampuni kabla sijaoa, basi 2018 ningepoteza mali zote walah.

Zilipigwa pasu mali ambazo hazikuwa chini ya kampuni. Na mimi sikuwa nafanya biashara kwa jina langu ila la kampuni, kampuni ambayo bibie alinikuta na mdogo wangu na mshua yumo humo.

Bila hii akili ningepoteza mali wazee.
Mkazo: Sitooa tena kwa kweli. Watoto tayari ninao. Napiga, nakuhudumia ila kuoa tena kanisani, never again.
 
Wazima wote!

Hukumkuta Bikra!
Huna uhakika watoto ni wako!
Unajua Kabisa Mfumo wa Sheria za sasa katika Masuala ya ndoa unamgeuza mwanaume Msukule wa kuzalisha Mali na kunyonywa.
Unajua Kabisa, hata mkiachana watoto wanaweza kuchukuliwa na Mkeo na hao watoto wakapewa mwanaume mwingine na usiwe na lakufanya.

Unajua Kabisa siku mkiachana, kwa vyovyote iwavyo mtagawana Mali ambazo wewe ndiye umezitolea jasho. Na wewe hautaki Jambo Hilo litokee. Hata kama ni asilimia 30 au 40 za Mali atakazopewa Mkeo. Unajua Kabisa itakuuma.

Sasa nini kinachokufanya UOE?

Vijana wangu, najua hamwezi kunielewa.
Zama zimebadilika Sana.
Siku hizi sio zamani kwamba watu Wana Ile kuoneana haya/aibu kwamba jamii itanionaje. Mambo yapo tofauti Sana.

Usijedanganywa na mtu yeyote. Kama hutaki jasho lako liende Bure. Kama hutaki kutapeliwa, kama hutaki kuingizwa mkenge. Na unajijua wewe ni mtafutaji ninkushauri USIOE.
NI Ushauri sio lazima maana najua wpo wenye Akili ndogo watasema nimewalazimisha.

Zaa watoto Basi! Hakikisha ni watoto wako. Achana na mambo ya kusema mtoto ni Mtoto. Wewe sio Serikali. Kwa serikali mtoto ni Mtoto. Ila kwenye mambo ya Vinasaba sio kila mtoto ni Mtoto wako.
Ndio maana wewe huwezi kuwa mchina, na mchina hawezi kuwa wewe. Ila kiserikali na kisiasa unaweza ukawa mchina na mchina anaweza kuwa Mtanzania.

Upo kwenye Zama ambazo wanawake wanatazama pesa kuliko kitu chochote. Na sio pesa walizozizalisha, nope! Pesa za wanaume, misukule Yao.

Wanapokuambia utafute pesa wanamaanisha wewe ni Msukule wa kuhangaika kwaajili Yao na huwezi Kupata malipo yoyote zaidi ya kukudharau ukishaishiwa nguvu.

Mtu yeyote ambaye yupo after money huyo usitafute upendo Wala heshima yake. Hawezi kukupenda Wala kukuheshimu.

Wanawake wengi Sana ni material orientated, huelewi nini kujua watu wa aina hiyo hupaswi kuwazingatia Wala kuwapa umuhimu Mkubwa katika maisha yako. Tena kuwa muhimu kwa kiwango cha juu kabisa cha kuwa MKE wako.

Tafuta pesa ndio lakini sio kwaajili ya wanawake. Tafuta pesa kwaajili yako MWENYEWE na watoto uliowathibitisha ni wako.

Mtu yeyote anayetafuta pesa kwaajili ya wanawake wa zama hizi ni Msukule Fulani hivi. Mtumwa Fulani hivi.

Alafu ulivyomjinga mwisho wa siku unapiga kelele oooh wanawake hawana Shukrani, oooh! Nimemfanyia ABC, ulifanya kwa Usukule wako. Hukujua unayemfanyia ni nani.

Kama utapata mwanamke ambaye sio materialistic ambao ni Wachache Sana, Watibeli huyo Muoe.
Mwanamke ambaye mtakuwa mwili Mmoja. Mtakayeunda familia Moja.
Mwanamke ambaye akitoa anafurahi na sio hayo majizi mnayookota huko barabarani, ambayo akitoa kidogo analalamika ana anataka umrudishie.

Mimi nimeshamaliza.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mwanangubuna pwenti. Muhimu pia mstari wasioe wachaga au wapare na warangi
 
Nisingekuwaga mjanja na kufungua kampuni kabla sijaoa, basi 2018 ningepoteza mali zote walah.

Zilipigwa pasu mali ambazo hazikuwa chini ya kampuni. Na mimi sikuwa nafanya biashara kwa jina langu ila la kampuni, kampuni ambayo bibie alinikuta na mdogo wangu na mshua yumo humo.

Bila hii akili ningepoteza mali wazee.
Mkazo: Sitooa tena kwa kweli. Watoto tayari ninao. Napiga, nakuhudumia ila kuoa tena kanisani, never again.

Davis mosha hii ndio ilimuokoa pia
 
Wazima wote!

Hukumkuta Bikra!
Huna uhakika watoto ni wako!
Unajua Kabisa Mfumo wa Sheria za sasa katika Masuala ya ndoa unamgeuza mwanaume Msukule wa kuzalisha Mali na kunyonywa.
Unajua Kabisa, hata mkiachana watoto wanaweza kuchukuliwa na Mkeo na hao watoto wakapewa mwanaume mwingine na usiwe na lakufanya.

Unajua Kabisa siku mkiachana, kwa vyovyote iwavyo mtagawana Mali ambazo wewe ndiye umezitolea jasho. Na wewe hautaki Jambo Hilo litokee. Hata kama ni asilimia 30 au 40 za Mali atakazopewa Mkeo. Unajua Kabisa itakuuma.

Sasa nini kinachokufanya UOE?

Vijana wangu, najua hamwezi kunielewa.
Zama zimebadilika Sana.
Siku hizi sio zamani kwamba watu Wana Ile kuoneana haya/aibu kwamba jamii itanionaje. Mambo yapo tofauti Sana.

Usijedanganywa na mtu yeyote. Kama hutaki jasho lako liende Bure. Kama hutaki kutapeliwa, kama hutaki kuingizwa mkenge. Na unajijua wewe ni mtafutaji ninkushauri USIOE.
NI Ushauri sio lazima maana najua wpo wenye Akili ndogo watasema nimewalazimisha.

Zaa watoto Basi! Hakikisha ni watoto wako. Achana na mambo ya kusema mtoto ni Mtoto. Wewe sio Serikali. Kwa serikali mtoto ni Mtoto. Ila kwenye mambo ya Vinasaba sio kila mtoto ni Mtoto wako.
Ndio maana wewe huwezi kuwa mchina, na mchina hawezi kuwa wewe. Ila kiserikali na kisiasa unaweza ukawa mchina na mchina anaweza kuwa Mtanzania.

Upo kwenye Zama ambazo wanawake wanatazama pesa kuliko kitu chochote. Na sio pesa walizozizalisha, nope! Pesa za wanaume, misukule Yao.

Wanapokuambia utafute pesa wanamaanisha wewe ni Msukule wa kuhangaika kwaajili Yao na huwezi Kupata malipo yoyote zaidi ya kukudharau ukishaishiwa nguvu.

Mtu yeyote ambaye yupo after money huyo usitafute upendo Wala heshima yake. Hawezi kukupenda Wala kukuheshimu.

Wanawake wengi Sana ni material orientated, huelewi nini kujua watu wa aina hiyo hupaswi kuwazingatia Wala kuwapa umuhimu Mkubwa katika maisha yako. Tena kuwa muhimu kwa kiwango cha juu kabisa cha kuwa MKE wako.

Tafuta pesa ndio lakini sio kwaajili ya wanawake. Tafuta pesa kwaajili yako MWENYEWE na watoto uliowathibitisha ni wako.

Mtu yeyote anayetafuta pesa kwaajili ya wanawake wa zama hizi ni Msukule Fulani hivi. Mtumwa Fulani hivi.

Alafu ulivyomjinga mwisho wa siku unapiga kelele oooh wanawake hawana Shukrani, oooh! Nimemfanyia ABC, ulifanya kwa Usukule wako. Hukujua unayemfanyia ni nani.

Kama utapata mwanamke ambaye sio materialistic ambao ni Wachache Sana, Watibeli huyo Muoe.
Mwanamke ambaye mtakuwa mwili Mmoja. Mtakayeunda familia Moja.
Mwanamke ambaye akitoa anafurahi na sio hayo majizi mnayookota huko barabarani, ambayo akitoa kidogo analalamika ana anataka umrudishie.

Mimi nimeshamaliza.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Umepiga kwenye mshono Taikon Mtibeli ,Ukweli Mchungu ,The Naked Truth.
 
Back
Top Bottom