Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

Kwahiyo hawa majini wanajua tu,bila kupewa kibari na muumbaji(Mungu)
 
Kwahiyo majini wote wanaoshirikiana kutimiza task yao kutia ugonjwa au kuua ni wabaya?
 
Ni mwiko kutaja. Unatakiwa ufanye utafiti mwenyewe KWA kwenda KILA kitaa ya Dar usiku kufanya ulozi. Siku utakayo fika kwenye eneo husika utaona utofauti hata wa hicho ambacho una kifanyia ulozi
Kumbe ni mada nzito ya warozi
 
majini na malaika ni viumbe tofauti sana
 
Hii ni forum kama ulikua hujui sijamfuata private na ntaendelea kumjibu kama nimevunja sheria nireport kwa moderator
Kiranga is not that intelligent he is just good at cramming and that is what the hidden world wants, PUPPETS of Massive brainwashing system...

Wewe uko huru maana una analyse vitu unavyoona wewe,yeye anategemea mifumo ya logic ambayo watu wengine wali- invert na yeye ana apply.

Kuhusu mleta uzi nadhani analenga commercial na sio kutoa elimu.
 
Uzi mzuri sana,nimepata elimu kubwa ambayo haifundishwi vyuo vikuu.

Lakini kwa bahati mbaya kuna watu wana amini elimu waliyoipata vyuoni ndio sahihi na ya mwisho hawana nia ya kupata elimu mpya.


Hawa wapumbavu ndio wanabisha bisha kwa vilugha vya vya kingereza
 
Tuanzishie uzi wa mada hii endapo kama unaifahamu vyema mkuu ni mada nzuri kweli
 
VIJINI VINAKUWA VINGI MAHALA FULANI KUTOKANA NA WENYEJI WA ENEO HUSIKA KUWA WASHIRIKINA KUPITILIZA AU WALIOKUA WAKAZI WA HAPO AU ENEO HUSIKA WALIKUWA WASHIRIKINA KUPITILIZA TUKUMBUKE BINADAMU HUWEZA KUTENGENEZA JINN, KWA MITISHAMBA AU NUMERICAL CALCULATIONS, NAKATAA YA KWAMBA WAPO MAHALI KWA SABABU YA UKARIBU WAO NA KUZIMU, WENYEJI WASHIRIKINA NDIO CHANZO CHA VIUMBE HAO KUJAZANA PAHALA FULANI.
 
Saafi...
 
Afrika ushirikina tu na imani za ajabuajabu ndio zinatusumbua....mleta Uzi kaukimbia sababu hataki kuwa challenged hehehehe.....
 
Afrika ushirikina tu na imani za ajabuajabu ndio zinatusumbua....mleta Uzi kaukimbia sababu hataki kuwa challenged hehehehe.....
Hatuwezi kutoboa kwa mawazo haya ya kuendeleza ushirikina na uongouongo.
 
Sijaona haja kubwa ya kumchallenge mwenye uzi, kwasababu hii ni kama elimu tu kama elimu zingine kama unataka kufahamu soma kwa umakini,
Nitakushangaa wewe unaeamini mambo ya Mungu alafu haya mambo ya majini unayaponda bora Kiranga ambae haamini pande zote mbili.
Mtoa mada endelea kutupa elimu tupo sisi ambao yakiletwa mambo ya mungu tunasoma, kijini, mambo ya sayansi walete tunapenda kusoma kila kitu ambacho mtu ana utayari wa kutushirikisha tufahamu,
Mkuu LIKUD endelea kutupa madini.
 
LIKUD una lako jambo ndgu sio bure.

Malengo yako ya kuanzisha huu uzi yalikua ni yapi??
Challenges chache ndo zimekufanya usise au kuna mahali unatoa wamesitisha utoaji wa hii makala.
 
Na kuna binadam ambao ukiwaangalia unaona ni binadam timamu lakini ni jini. Ninao mfano halisi na ipo namna akizinduliwa binadam huyu unadhihurisha kuwa ni jini kweli. Kuna mganga handeni alituonesha maajabu ya binadam ambaye alipewa hadi uenyekiti wa kijiji lakini kumbe ni jini
 
Mkuu kama una mambo mengi namna hiyo, kwanini unatoa pages kwa kusua sua?

Si unaweza ukachuka mwaka mzima unaadikaga tu hadi watu wakasahau walipoanzia?

Jitahidi kuchapusha mkono basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…