Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

Punguza ujuaji bro.

Najua umekaririshwa sana shuleni, lakini punguza munkari kidogo.
 
Acha ujuaji basi, kaah unaboa bwana mkuu
 
Punguza ujuaji bro.

Najua umekaririshwa sana shuleni, lakini punguza munkari kidogo.
Kati yangu mimi na wewe nani anajifanya mjuaji ?

Sio wewe ambaye unatuelezea kuhusu na kuwajua majini ? (Sasa hapo Mjuaji nani)?

Mbaya zaidi unalazimisha watu wakuamini / waamini vitu abstract...., In my book that is not Kosher
 
Acha ujuaji basi, kaah unaboa bwana mkuu
Kwani umeambiwa kusoma ninachoandika ni lazima?

Mimi watu wanaoni boa nimewaweka ignore list, unakaribishwa kuniweka ignore list usione chochote ninachoandika.

Mimi ushaniboa na nishakuweka ignore list, kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 


Hii ni sawa na hadithi ya Abunuwas tu.

Umeshindwa hata kutoa definition ya neno "Jinn" (Genie), sasa utawezaje kumuelezea Jini?!!
 
Very true...wazungu washenzi sana aisee hivi vitu wanavijua sana aisee na vilishawekwa kwenye movie. Juzi nimegundua hilo baada ya kusoma ule uzi wa 'sasa nipo huru '.
Ngoja nianze kuzitafuta hizo movie zinazotoa ufunuo wa hiyo miji ya kijini. Kama unajua majina nitajie maana nimeziona zamani nikawaga nazipuuzia
 
Mkuu acha wanaotaka kujifunza wajifunze...we know some fools never learn,usiwe mmoja wao
 
Mkuu, fools never learn. Usiwajali,tupe madini
 
Unaweza kuwa mganga wa kienyeji ndio maana huyajui maandiko, hapa kwenye majini sikupingi.
 
Kiranga ni miongoni mwa wajinga wasiotaka kujifunza...na watu wa hivi huwa wanauelewa mdogo sana
 
Kiranga ni wale wapumbafu wasiotakaga wengine wajifunze tofauti na wanachokiamini wao. Sababu haimpunguzii kitu akikaa kimya kwa faida ya wengine,ndio maana nimediriki kumuita mpumbav
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…