Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

Hao viumbe wana sura/umbo gani??

Kama wana sayari yao kwanini waingilia sayari ya viumbe wengine?

Wao wanakula nini hadi wanaishi miaka kibao namna hiyo?

Wanazaa au wao wanaongezana kwa namna gani??

Wana familia? Viongozi wao, maana hapo umetaja classes zao tu na sio kama nao wana uongozi kama sie huku!?

Vita na maafa mengine navyo wao huvipitia? Adui wa jini ni nani??

Hao wanaoswali, wanaswali ili iwe nini ikiwa hawatoiona pepo, na je shetani nae ni adui yao kwa hao wanaosali? Kwamba nao wanasali kujiepusha na mwovu shetani??
 
Mtu anapataje hao majini kwaajili ya kufanya shughuli za uganga au uchawi?
 
Mtu anapataje hao majini kwaajili ya kufanya shughuli za uganga au uchawi?
 
Kulikuwa na mtaalamu mmoja wa kuitwa Mtu mzito alikuwa anaelezea vizuri haya mambo ila watu wakaleta ujuaji akaacha.
Hata mimi nimeacha. Watu wajinga sana humu. Badala watulie wajifunze yale wasivyo yajua wao wanaleta ujuaji kwa kuelezea yale ambayo KILA mtu anayajua.


Ukristo unasema majini walikuwa malaika mbinguni wakamuasi Mungu wakiwa na SHETANI Mungu akawafukuza mbinguni kisha akawa rename ( kuwait's devils)

Waislamu wanasema majini waliumbwa na Mungu ili wamuabudu na kwamba wapo majini waliomuasi Mungu na wapo ambao wanamtii Mungu.


Mimi sijaja kuelezea hicho ambacho wakristo na waislamu Wana kifahamu.

Nimekuja kuelezea kile ambacho hawakifahamu.

Ila wao wanataka waendelee kufahamu vile wanafahamu.
 
Mkuu endelea kutupa hayo madini achana na hao wajuaji kuna watu wamesha weka mipaka ya kuelewa wamebaki na walivyo kariri na kuna ambao bado tuna room za kuendelea kujua yanayo sibu hii dunia na ulimwengu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nadra sana kuwaona paka wakifanya mapenzi kama mbwa, hivyo watu wanasema siku ukifanikiwa kuwaona ni kama mkosi hii ina ukweli gani?
 
Endelea mkuu...
Watu wanasoma uzi..
 
Mwanaume wa kwl hasusi mku liquid jibu maswali endeleza elimu wapo wanaofaidika usitegemee kila mtu atakuunga mkono au kukuskiliza kuna watu wa aina tofauti humu
 
Mkuu wewe ni mkongwe hapa, inakuaje unakua bored na hawa watu.

Kwanini usipuuze hao wabishani badala yake weka nondo tu halafu acha watu wahangaike wenyewe, wale unaona ni unaweza kuwajibu unawajibu, wanaokuboa unapuuza tu.
 
Mwanaume wa kwl hasusi mku liquid jibu maswali endeleza elimu wapo wanaofaidika usitegemee kila mtu atakuunga mkono au kukuskiliza kuna watu wa aina tofauti humu
Inashangaza sana, mtu una maarifa fulani unasusa kutoa kisa fulani na fulani wamekuchallenge, hii sio sawa kwa home of GT.
 
Kibugumo,geza ulole,mwanadilatu,,,,,,,umenikumbusha Urafiki jazz band.
 
Umekosa. Si bora hata ungesema pwani ya mikocheni wanakuwagepo siku kadha wa kadha nyakati za usiku
kubali kataa sikulazimishi ila nimeelezea wap wanapatkana anaetaka kuprove ajipigie tour yake to mbutu bandarini au kimbiji mpka pemba mnazi asipoona maajabu aje aniseme humu kwamba naongopa
 
Mzee wa propaganda wa majini
 
Sasa mkuu wewe si mgeni hapa jf na unaelewa challenges zilizopo hapa jf iweje ususe uzi kwan nasoma huyo challenger pekee.
 
We umevumbua nin kwenye world of technologies
First off, this is a logical non sequitur.

But to answer your question.

Among other things.

Nime patent software for simple, low cost, low energy, container based for NAS served electronic library consolidation system for offline school / document management systems.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…