Huu hapa umri sahihi wa Shilole

Hivi huwa najiuliza kuwa umri wa mtu huwa unamkera nini mtu mwingine kiasi cha kuacha mambo yake na kuanza kuulizia......!!!?
kwanza jiulize hivi kwani mtu anaogopa nini hadi kushindwa kutaja umri wake wakati umri hakuna mtu anayeweza kuuiba hata ukiwa mkubwa kiasi gani na kama ukiwa mdogo hakuna anayeweza kukuongezea pia hata ukifa unabaki unasoma tu.
 
Mkuu kama The Bogaz Lemutuz aliwahi kupanga kwenu naomba unitajie umri wake maana maswali ni mengi kuliko majibu huku mtaani.
 
kwanza jiulize hivi kwani mtu anaogopa nini hadi kushindwa kutaja umri wake wakati umri hakuna mtu anayeweza kuuiba hata ukiwa mkubwa kiasi gani na kama ukiwa mdogo hakuna anayeweza kukuongezea pia hata ukifa unabaki unasoma tu.
Bado mtu anapata faida gani kwa kuujua umri wa mtu ambaye wala hamjui....??!!
 
Polepole nimesoma nae na ni age mate wangu ana 38

dah kumbe nilisoma na wazee bwana, dah kumbe zama zile nilikuwa dogo tu... 2000 O'level AZA BOY... Ila toka zama zile kajamaa kalikuwa kakuda kuda sana..
 

dah inaonekana we jamaa unawajua vizuri mno hawa jamaa, Shishi kumbe mambo yale ndio zake... ndio maana vijana wanalialia eeeeh..
 
 
dah kumbe nilisoma na wazee bwana, dah kumbe zama zile nilikuwa dogo tu... 2000 O'level AZA BOY... Ila toka zama zile kajamaa kalikuwa kakuda kuda sana..
...kujibebisha tabia za mademu!
..wewe ni choko???
 
Watu waliofanikiwa huwa hawasahau maisha ya upangajini hasa tabia chafu za watoto wa baba mwenye nyumba kuingia kwenye vyumba vya wapangaji na kuanza kudokoa
 
Sasa hii tukijua ndo inasaidia nini? Mh Hivyo viwanda anavyovisema magufuli, labda atafute nchi ya kwenda kujenga sio Tz, hajiulizi kwann Nyerere alishindwa! Mtu anafanya utafiti wa kitu ambacho hakimwingizii hata sh5. Mungu ibariki Tz
 
...[HASHTAG]#matola[/HASHTAG] hahahaha lemutuz classmate wa .....dah nmecheka sana

Ova
 
Nijue umri wa shilole so what?wabong bhn emb kuwez serious na mamb yenu bhn
 
Kumbe miaka 36 ni mama wa makamo!'......'oh.....nishajizeekea mimi!'
 
Ni vizuri umeiweka wazi tabia yako, ila fahamu tu si kila mtu ni mzibua mifereji...
...wewe choko tu!
..hiyo 2000 wote mlikuwa class moja;kuwaita wenzio 'wazee' walikuzalia mamaako?
....onesha sasa huo utofauti wa miaka unaokufanya wewe ujione dogo saaaaana,
.kama si usenge wako tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…