Emmanuel nemes
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 892
- 654
Hayo ya shilole sidhan kama yanakuhusu, ukizingatia ata kukujua hakujui, Pambana na hali yko, ya shilole muachie shilole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashasema yy ana 31 au sijamuelewa!.tupe umri wako pia
'A GENTLEMAN NEVER TALKS ABOUT LADY'S AGE'Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.
Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.
Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.
Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).
Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).
Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.
Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni
kingunge wa JF
Yuko sawa, Mwanamke hapendi kuulizwa umri!Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.
Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.
Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.
Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).
Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).
Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.
Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni
kingunge wa JF
Hahaaaaa. Umri wa polepole nao ni tata, ila ipo siku watajulikana.Mkuu bwana Polepole na ndg Baharia kama waliwahi kupanga kwenu naomba utuletee umri wao elekezi,maana sintofaham zimekuwa nyingine.
Hahahaaa! Utakuwa na wewe mficha umri tu. Kibabuuu cha miaka 50 ila ndo wajipaka piko ufanane na sisi.Hayo ya shilole sidhan kama yanakuhusu, ukizingatia ata kukujua hakujui, Pambana na hali yko, ya shilole muachie shilole.
Eti eeeh! BasiBado hajavuka ujana...45yrs
Ntajitahidi niwalete humu, by the way ni mabinti wakubwa kwa sasa..Hii ilitakiwa umtag Ubeche mme wake ili ajue jinsi ya kuishi na mama watoto wake!! Afu kitu kingine nasikia ana watoto wawili ila me huwa sijawahi kuwaona popote wakiwa na mama yao au huwa sio kweli mkuu hebu nijuze hili.
Uwe unasoma unaelewa!tupe umri wako pia
Kweny taarifa Wapi nmesema mimi mdogo?Miaka 38-39 ndio umri umeenda sana? Halafu we mwenye 31 unajiona dogo?
Sijui sasa maana sisi tupo Igunga tunatumia age category ya serikaliShishi baby bado mtoto bana kimjini mjiji kwanza ujana mwisho 65... Nyie hamuoni lile Babu Jinga bado lipo kwenye umoja wa vijana wa kile chama cha kizee ilihali ana 60's yrs
Polepole Mwaka 2000 alikuwa form iv Pale azania secondary,jaribu kukadilia umriMkuu bwana Polepole na ndg Baharia kama waliwahi kupanga kwenu naomba utuletee umri wao elekezi,maana sintofaham zimekuwa nyingine.