Huu hapa ushahidi wa uchokozi wa Maaskofu kwa Rais Samia

Huu hapa ushahidi wa uchokozi wa Maaskofu kwa Rais Samia

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Our Enemies.

Naomba kunukuu; "Nchi hii tunajua kuna genge lipo linaongoza hii nchi, genge hilo lipo halifanyi kazi, halina shamba, halipandi wala halivuni, genge hilo ndilo linamuamrisha Rais hiki fanya, hiki usifanye, hilo genge liache mara moja." Mwisho wa kunuu, na hotuba iliendelea.

Hizo ndizo baadhi ya kauli za Maaskofu dhidi ya Rais wa nchi, na kauli hiyo aliitoa Askofu Mwamakula kwenye kongamano lake na CHADEMA wakiwa na Maaskofu wenzake kadhaa.

Hakuna kiongozi hata mmoja kutoka huko Parokiani alieona ubaya wa kauli kama hii na kukemea wala kuilaani.

Tunauliza, kwanini wanapenda kumdhihaki na kumkejeli kiongozi wa nchi kumweka majaribuni?

Vyombo vya dola vimekaa kimya inawezekana hawajaona matusi kama haya ya kwamba Rais wa nchi anaongozwa na genge? Wanataka kumaamisha nini, wakiambiwa waseme au wawataje hao watu, watakuwa tayari katika hilo?

Uhuru wa kuongea waliopewa wanasiasa na wananchi, baadhi yao wanataka kutumia vibaya kulivunja Taifa hili vipande vipande. Hali hii haivumiliki na tunawakemea vikali sana Maaskofu.

Taifa hili ni letu sote, tuilinde amani na tuheshimu mamlaka zinazoongoza Taifa letu.
 
Uchochezi??? Nani amechochewa? Amechochewa kufanya nini? Acha mambo ya hovyo na udini usio na maslahi.

Askofu ameeleza hali halisi ilivyo. SSH hakuwa na mizizi ndani ya chama, na mpaka sasa hivi hana mizizi. Anatembelea sapoti ya moja ya makundi yaliyopo ndani ya chama. And yes, wanayo influence kubwa kwake.
 
Hilo genge ametajwa nani hapo?

Haujiamini, unaendeshwa na hisia za hofu, uoga, hasira, chuki, kwa watu wasio hata na habari nawe.

Nakuhurumia, una shida sana, lakini tatizo lako ni lile lile - Upeo finyu.
 
Mkuu mkataba wa bandari ni miaka mingapi? Mkataba huu una thamani ya Tshilingi ngapi za kitanzania? Kwanini mkataba huu haujahusisha zanzibar ambayo ni part ya jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Kutuzuga kwamba faida wanayopata hao DP World wanagawana na Watanzania, wakafadhiri ubwabwa siku ya Idd huko Mbeya na kuahidi kujenga msikiti huko huko Mbeya. Aidha, wakasema watafanya hivyo hivyo Zanzibar. Jambo la kujiuliza ni kwamba kwa nini hicho kinachotolewa kiwe kwa Waislamu tu badala ya kunufaisha Watanzania kwa ujumla? Halafu, kwa nini ihusishwe Zanzibar pia wakati bandari zinazohusika ni za bara tu?
 
labda Wewe ndie umechelewa kumjua Mwamakula huyu askofu nimtetezi wataifa dhidi ya pumba zote huyu mwamba alimvaa Magufuli mchana kweupe bila kupepesa macho nasio mala moja
 
Amani labda hili neno amani lina maana nyingine
Kwenye uislamu hakuna amani
Ndiyo maana kwenye nchi zenye waislamu wengi kuna chokochoko za kila aina
Kwenye Ukristo kuna Upendo ukipigwa shavu hili unageuza kingine

Kwenye Uislam kuna Amani ya Ncha ya Upanga ambapo Uwongo umeruhusiwa katika kuepusha Shari
 
Shekhe Yahya aliyatabiri haya[emoji23][emoji91]
Anaonekana huyo shehe mtaalam wa kufanya promotion ya ushoga!
Wahenga wanasema Mhadithia mvua imemnyea!
Anafikiri kila Mtu yupo Kama yeye[emoji15][emoji12]
 
Nguvu ya Kanisa miaka 30 iliyopita sio sawa na Leo

miaka ya nyuma kanisa kama Katoliki likitoa Kauli kali Nchi nzima inaingia mafua lakini sasa hivi Pengo anazungumza Asubuhi na Mchana wake Josephan Gwajima anamshukia na maisha yanaendelea kama kawaida

sababu kubwa ni moja …watu wameamka na wanajua usimuamini mtu maana hata kwny Esrow ma Baba Askofu hawakubaki nyuma
 
Back
Top Bottom