2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Juzi koo lilikereketa sana, kama kawaida kuchukua tahadhari nikasema wacha nikachanganye mavitu nijidunge pema.
Nikaoda kwa mke gengeni alete
1. Malimao
2. Tangawizi
3. Kitunguu saumu
4. Pilipili mbuzi
Nikaviandaa nikablend vyote, nikachukua maji ya moto nikatia chumvi kidogo nikazimua ule mchanganyiko. Baada ya kupoa kidogo nikanywa. Asee kama huna roh ngumu hunywi baada ya kunywa sasa. Jana yake nilitoka kugegeda ila matokea baada ya kuchwa usiku nalala nilisikia ugwadu kana kwamba nina mwez sijagegeda. Asumani anasimama kwa hasira kawa kama chuma.
Hali hii si ya kawaida kwangu nikajua tu itakuwa ule mchanganyiko,kwa sababu ngozi ninayo 24hrs nikajipigia zangu mpaka asumani akapoa.
Jaribuni hii kwa wale wenye matatizo ya kusimamisha uume, inasisimua misuli sana, bila shaka hii haitakuwa na madhara sababu ni vitu vya kiasili vimetumika.
Nikaoda kwa mke gengeni alete
1. Malimao
2. Tangawizi
3. Kitunguu saumu
4. Pilipili mbuzi
Nikaviandaa nikablend vyote, nikachukua maji ya moto nikatia chumvi kidogo nikazimua ule mchanganyiko. Baada ya kupoa kidogo nikanywa. Asee kama huna roh ngumu hunywi baada ya kunywa sasa. Jana yake nilitoka kugegeda ila matokea baada ya kuchwa usiku nalala nilisikia ugwadu kana kwamba nina mwez sijagegeda. Asumani anasimama kwa hasira kawa kama chuma.
Hali hii si ya kawaida kwangu nikajua tu itakuwa ule mchanganyiko,kwa sababu ngozi ninayo 24hrs nikajipigia zangu mpaka asumani akapoa.
Jaribuni hii kwa wale wenye matatizo ya kusimamisha uume, inasisimua misuli sana, bila shaka hii haitakuwa na madhara sababu ni vitu vya kiasili vimetumika.