Hii ni kama kutengeneza mwisho mzuri
Mfano , wewe mwanafunzi unasoma ILI baadae uwe pailot, unaanza kujiona mbele ukiwa pailot.
Sasa kama unajiona mbele lazima changamoto zozote utazokutana nazo utapambana ili ufike mwisho mzuri, yaani uwe pailoti
Sasa kwa ishu ya kula nyama mwishoni, hii itamfanya mlaji wa chakula amalize chakula kwa haraka ili afikie ile nyama .
Ndo maana asilimia kubwa wanaokula nyama mwishoni lazima wamalize chakula.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mfano , wewe mwanafunzi unasoma ILI baadae uwe pailot, unaanza kujiona mbele ukiwa pailot.
Sasa kama unajiona mbele lazima changamoto zozote utazokutana nazo utapambana ili ufike mwisho mzuri, yaani uwe pailoti
Sasa kwa ishu ya kula nyama mwishoni, hii itamfanya mlaji wa chakula amalize chakula kwa haraka ili afikie ile nyama .
Ndo maana asilimia kubwa wanaokula nyama mwishoni lazima wamalize chakula.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app