Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Wewe ni muislamu na Imani yako imejengwa kwenye msingi wa kwamba Yesu sio mwana wa Mungu,Hakufa wala kufufuka. Mungu wako(Allah) hana mwana maana kama angehitaji mwana basi angehitaji mwanamke wa kuzaa nae.

The same way hata mimi naweza nipo very critical of Islam,naweza kuleta hoja za kutosha tu kwamba Mohamed hakuwa mtume kutokana naaoni ya upande ninaotokea.

Point zote ulizozitoa hapo ni sahihi kabisa kama wewe ni muislamu,uislamu ni mpinga kristo namba 1. Cheers to that🥂.

Tuambie wapi Bwana yesu alijiita yeye ni mwana wa Mungu au ni mungu
 
Tuambie wapi Bwana yesu alijiita yeye ni mwana wa Mungu au ni mungu
Quran 22:7
Na kwamba hakika Saa itakuja hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu atawafufua walio makaburini.

Allah atakuja kufufu waliokufa lakini pia kumbuka hii imekuja kuandikwa miaka 600 baada ya Yesu.

Tukienda kwenye Biblia yetu mnayosema ime chakachuliwa japo Quran haiwaungi mkono,tena ni mafundisho makongwe kuliko yenu.

Yohana 5:21
Kama vile Baba awafufuavyo wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo Mwana huwapa uzima wale awapendao.

Hapa Yesu anasema kama Mungu baba anavyo wafufua wafu basi hata mwana (Yesu) pia anawafufua wale anaowapenda.

Yohana 5:25
Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja, na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai.


Anaye fufua wafu siku ya mwisho ni nani? Yesu.
Atawaita na sauti yake wataisikia na kufufuka.

Haya ni maneno ya Yesu miaka 600 kabla ya Mohamed ambayo amekopi na kuyaweka kwenye Quran 22:7. Usirudie tena kuuliza kama Yesu ni Mungu chief.
 
Quran 22:7
Na kwamba hakika Saa itakuja hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu atawafufua walio makaburini.

Allah atakuja kufufu waliokufa lakini pia kumbuka hii imekuja kuandikwa miaka 600 baada ya Yesu.

Tukienda kwenye Biblia yetu mnayosema ime chakachuliwa japo Quran haiwaungi mkono,tena ni mafundisho makongwe kuliko yenu.

Yohana 5:21
Kama vile Baba awafufuavyo wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo Mwana huwapa uzima wale awapendao.

Hapa Yesu anasema kama Mungu baba anavyo wafufua wafu basi hata mwana (Yesu) pia anawafufua wale anaowapenda.

Yohana 5:25
Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja, na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai.


Anaye fufua wafu siku ya mwisho ni nani? Yesu.
Atawaita na sauti yake wataisikia na kufufuka.

Haya ni maneno ya Yesu miaka 600 kabla ya Mohamed ambayo amekopi na kuyaweka kwenye Quran 22:7. Usirudie tena kuuliza kama Yesu ni Mungu chief.

Kosa la Biblia kuhusu mwisho wa nyakati

Soma hii kutoka biblia

Mathayo 24

1Yesu akatoka Hekaluni, akaenda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya Hekalu.

2Yesu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambia, halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa.

3Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea kwa faragha, wakamwuliza, "Tuambie mambo haya yatatukia lini?" na ni nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia?

4Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni mtu asiwadanganye.

5Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye Kristo; na watawadanganya wengi.

6Mtasikia juu ya vita na fununu za vita, angalieni msifadhaike;

7Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme;

8Haya yote ndiyo mwanzo wa utungu.

9Ndipo watawasaliti ninyi mpate dhiki, na kuwaua, nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.

10Ndipo watu wengi watajikwaa na kusalitiana na kuchukiana.

11Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwapotosha wengi.

12Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa.

13Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka.

14Na hii Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

15Basi, mtakapoliona chukizo la uharibifu, lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu, (asomaye na afahamu).

16Wakati huo walioko Uyahudi na wakimbilie milimani.

17Yeye aliye juu ya paa asishuke kuchukua kitu katika nyumba yake.

18Wala aliye shambani asirudi nyuma kuchukua nguo zake.

19Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha siku hizo!

20Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya Sabato.

21Kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijatokea namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu hadi sasa, wala haitakuwapo kamwe.

22Na kama siku hizo zisingalifupizwa, asingeokoka mtu ye yote;

23Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule; usiamini.

24Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.

25Tazameni, nimekwisha kuwaambieni.

26Kwa hiyo wakiwaambia, Tazama, yuko nyikani; msitoke nje; tazama, yumo katika vyumba vya siri; usiamini.

27Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kumulika hata magharibi; ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.

28Kwa maana popote ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

29Mara baada ya dhiki ya siku hizo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbingu zitatikisika.

30Ndipo itakapotokea ishara ya Mwana wa Adamu mbinguni;

31Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya tarumbeta, nao watawakusanya wateule wake kutoka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu.

32Basi jifunzeni mfano kwa mtini; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.

33Vivyo hivyo nanyi, myaonapo hayo yote, tambueni kwamba yu karibu, milangoni.

34Amin, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita mpaka mambo haya yote yatimie.

35Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

36Lakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, hata Baba yangu peke yake.

Baada ya kusoma Mathayo sura ya 24 msomaji ataona jinsi biblia inavyosema: Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatimie.

Hii ingemaanisha kwamba unabii wa mwisho wa wakati (ujio wake wa pili wa Yesu na maangamizi ya kifo kuwa hai) unapaswa kutokea katika karne ya kwanza (wakati wa kizazi ambacho Yesu alizungumza nacho katika Biblia),
 
Kosa la Biblia kuhusu mwisho wa nyakati

Soma hii kutoka biblia

Mathayo 24

1Yesu akatoka Hekaluni, akaenda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya Hekalu.

2Yesu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambia, halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa.

3Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea kwa faragha, wakamwuliza, "Tuambie mambo haya yatatukia lini?" na ni nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia?

4Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni mtu asiwadanganye.

5Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye Kristo; na watawadanganya wengi.

6Mtasikia juu ya vita na fununu za vita, angalieni msifadhaike;

7Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme;

8Haya yote ndiyo mwanzo wa utungu.

9Ndipo watawasaliti ninyi mpate dhiki, na kuwaua, nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.

10Ndipo watu wengi watajikwaa na kusalitiana na kuchukiana.

11Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwapotosha wengi.

12Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa.

13Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka.

14Na hii Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

15Basi, mtakapoliona chukizo la uharibifu, lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu, (asomaye na afahamu).

16Wakati huo walioko Uyahudi na wakimbilie milimani.

17Yeye aliye juu ya paa asishuke kuchukua kitu katika nyumba yake.

18Wala aliye shambani asirudi nyuma kuchukua nguo zake.

19Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha siku hizo!

20Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya Sabato.

21Kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijatokea namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu hadi sasa, wala haitakuwapo kamwe.

22Na kama siku hizo zisingalifupizwa, asingeokoka mtu ye yote;

23Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule; usiamini.

24Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.

25Tazameni, nimekwisha kuwaambieni.

26Kwa hiyo wakiwaambia, Tazama, yuko nyikani; msitoke nje; tazama, yumo katika vyumba vya siri; usiamini.

27Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kumulika hata magharibi; ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.

28Kwa maana popote ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

29Mara baada ya dhiki ya siku hizo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbingu zitatikisika.

30Ndipo itakapotokea ishara ya Mwana wa Adamu mbinguni;

31Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya tarumbeta, nao watawakusanya wateule wake kutoka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu.

32Basi jifunzeni mfano kwa mtini; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.

33Vivyo hivyo nanyi, myaonapo hayo yote, tambueni kwamba yu karibu, milangoni.

34Amin, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita mpaka mambo haya yote yatimie.

35Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

36Lakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, hata Baba yangu peke yake.

Baada ya kusoma Mathayo sura ya 24 msomaji ataona jinsi biblia inavyosema: Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatimie.

Hii ingemaanisha kwamba unabii wa mwisho wa wakati (ujio wake wa pili wa Yesu na maangamizi ya kifo kuwa hai) unapaswa kutokea katika karne ya kwanza (wakati wa kizazi ambacho Yesu alizungumza nacho katika Biblia),
Kosa la Biblia ni lipi hapa? Yesu anaongelea matukio mawili hapa,anguko la Jerusalem lililotokea mwaka 70 AD (miaka 40 baada ya Yesu kuondoka). Jeshi la watumiaji walizingira mji wa Jerusalem na kuuharibu kabisa.

Sehemu ya pili Yesu anaongelea mwisho wa dunia ambapo atarudi mara ya pili. Unasoma Biblia sio kwa kujifunza bali kutafuta makosa,pole sana. Usisahau Yesu ni Mungu.
 
Quran 22:7
Na kwamba hakika Saa itakuja hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu atawafufua walio makaburini.

Allah atakuja kufufu waliokufa lakini pia kumbuka hii imekuja kuandikwa miaka 600 baada ya Yesu.

Tukienda kwenye Biblia yetu mnayosema ime chakachuliwa japo Quran haiwaungi mkono,tena ni mafundisho makongwe kuliko yenu.

Yohana 5:21
Kama vile Baba awafufuavyo wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo Mwana huwapa uzima wale awapendao.

Hapa Yesu anasema kama Mungu baba anavyo wafufua wafu basi hata mwana (Yesu) pia anawafufua wale anaowapenda.

Yohana 5:25
Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja, na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai.


Anaye fufua wafu siku ya mwisho ni nani? Yesu.
Atawaita na sauti yake wataisikia na kufufuka.

Haya ni maneno ya Yesu miaka 600 kabla ya Mohamed ambayo amekopi na kuyaweka kwenye Quran 22:7. Usirudie tena kuuliza kama Yesu ni Mungu chief.

1. Mt 24:34 ( Marko 13:30 ) - Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hata hayo yote yatukie.” Ni wazi kwamba Yesu alijibu maswali ya wanafunzi wake akieleza matukio katika sura hii. kizazi chao. Soma baadhi ya mifano ya Yesu inayohusu kizazi hicho ambacho Yeye alikuwa akizungumza nacho ( Mt. 21:33-46; 22:1-14 na Luka 19:11-27 . 41-44).

2. Luka 11:29-32 - Sawa na katika Mt. 12:41, 42. Yesu alisema tena na tena “kizazi hiki” mara saba katika sura hii (tafsiri fulani hutumia neno hili.

3. Luka 11:50, 51 ( Mt. 23:36 ) - “Ili damu ya manabii wote iliyomwagwa tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, ipate kushtakiwa kwa kizazi hiki, tangu damu ya Habili hata damu. ya Zekaria, aliyeangamia kati ya madhabahu na nyumba ya Mungu; Yesu alikuwa akisema tangu mwanzo (tangu Abeli) hadi kizazi kile (kufikia 70 BK), watu hawa wote watasimama katika hukumu. Hukumu inaweza tu kurejelea mwisho wa nyakati na Yesu kuja kwake mara ya pili kulingana na bibilia.

4. Matendo 2:40 - "Na kwa maneno mengine mengi alishuhudia, akawahimiza, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi!" Soma Matendo 2:16-21 katika mahubiri ya Petro. Aliwaambia watu wa Kiyahudi walikuwa wakiishi katika siku za mwisho ( Ebr. 1:2 ) kabla ya siku kuu na tukufu ya Bwana katika kizazi chao.

5. Flp. 2:14-16 “Fanyeni mambo yote pasipo manung’uniko wala mashindano, ili mpate kuwa watoto wa Mungu wasio na lawama, wala lawama, wasio na lawama kati ya kizazi chenye ukaidi, chenye ukaidi; , mkilishika sana neno la uzima, ili katika siku ya Kristo nipate kujisifu, kwa sababu sikupiga mbio bure wala sikujitaabisha bure. Ni wazi kwamba Paulo alijua alikuwa katikati ya kizazi potovu kwa sababu siku ya Kristo kulingana na bibilia ilikuwa karibu (kuja kwake mara ya pili)

6. Ebr. 3:9-11 SUV; ambapo baba zenu walinijaribu kwa kunijaribu, wakayaona matendo yangu muda wa miaka arobaini. Kwa hiyo nalikasirikia kizazi hiki, nikasema, Sikuzote wamepotoka mioyoni mwao, wala hawakuijua njia yangu. kama nilivyoapa katika ghadhabu yangu, Hawataingia katika raha YANGU. Mwandishi alionya Wakristo wa Kiyahudi wasirudi tena katika Uyahudi kama Waisraeli walivyofanya jangwani kwa miaka 40 na Musa, nadhani kwa sababu biblia inafundisha kwamba ujio wa Yesu wa pili ulikuwa karibu na ungetokea katika kizazi chao (karne ya kwanza)

7. Marko 8:38-9:1 - "Kwa maana yeyote atakayenionea haya mimi na maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi, Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na watakatifu. malaika." Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, wako baadhi ya watu wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kabisa mpaka watakapouona ufalme wa Mungu ukishakuja kwa nguvu."

Huu ni ujumbe ulio wazi na wenye nguvu zaidi kwa kinywa cha Yesu. Hatuwezi kulizunguka hili tukiwa na maoni ya baadaye kwa sababu Bwana Yesu alikuwa akizungumza na wanafunzi Wake, na si watu wengine wasiokuwepo na wajao.

Kesi imefungwa!
 
Kosa la Biblia ni lipi hapa? Yesu anaongelea matukio mawili hapa,anguko la Jerusalem lililotokea mwaka 70 AD (miaka 40 baada ya Yesu kuondoka). Jeshi la watumiaji walizingira mji wa Jerusalem na kuuharibu kabisa.

Sehemu ya pili Yesu anaongelea mwisho wa dunia ambapo atarudi mara ya pili. Unasoma Biblia sio kwa kujifunza bali kutafuta makosa,pole sana. Usisahau Yesu ni Mungu.


View: https://www.youtube.com/shorts/EOswYK9q948?t=21&feature=share
 
1. Mt 24:34 ( Marko 13:30 ) - Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hata hayo yote yatukie.” Ni wazi kwamba Yesu alijibu maswali ya wanafunzi wake akieleza matukio katika sura hii. kizazi chao. Soma baadhi ya mifano ya Yesu inayohusu kizazi hicho ambacho Yeye alikuwa akizungumza nacho ( Mt. 21:33-46; 22:1-14 na Luka 19:11-27 . 41-44).

2. Luka 11:29-32 - Sawa na katika Mt. 12:41, 42. Yesu alisema tena na tena “kizazi hiki” mara saba katika sura hii (tafsiri fulani hutumia neno hili.

3. Luka 11:50, 51 ( Mt. 23:36 ) - “Ili damu ya manabii wote iliyomwagwa tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, ipate kushtakiwa kwa kizazi hiki, tangu damu ya Habili hata damu. ya Zekaria, aliyeangamia kati ya madhabahu na nyumba ya Mungu; Yesu alikuwa akisema tangu mwanzo (tangu Abeli) hadi kizazi kile (kufikia 70 BK), watu hawa wote watasimama katika hukumu. Hukumu inaweza tu kurejelea mwisho wa nyakati na Yesu kuja kwake mara ya pili kulingana na bibilia.

4. Matendo 2:40 - "Na kwa maneno mengine mengi alishuhudia, akawahimiza, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi!" Soma Matendo 2:16-21 katika mahubiri ya Petro. Aliwaambia watu wa Kiyahudi walikuwa wakiishi katika siku za mwisho ( Ebr. 1:2 ) kabla ya siku kuu na tukufu ya Bwana katika kizazi chao.

5. Flp. 2:14-16 “Fanyeni mambo yote pasipo manung’uniko wala mashindano, ili mpate kuwa watoto wa Mungu wasio na lawama, wala lawama, wasio na lawama kati ya kizazi chenye ukaidi, chenye ukaidi; , mkilishika sana neno la uzima, ili katika siku ya Kristo nipate kujisifu, kwa sababu sikupiga mbio bure wala sikujitaabisha bure. Ni wazi kwamba Paulo alijua alikuwa katikati ya kizazi potovu kwa sababu siku ya Kristo kulingana na bibilia ilikuwa karibu (kuja kwake mara ya pili)

5 Ebr. 3:9-11 SUV; ambapo baba zenu walinijaribu kwa kunijaribu, wakayaona matendo yangu muda wa miaka arobaini. Kwa hiyo nalikasirikia kizazi hiki, nikasema, Sikuzote wamepotoka mioyoni mwao, wala hawakuijua njia yangu. kama nilivyoapa katika ghadhabu yangu, Hawataingia katika raha YANGU. Mwandishi alionya Wakristo wa Kiyahudi wasirudi tena katika Uyahudi kama Waisraeli walivyofanya jangwani kwa miaka 40 na Musa, nadhani kwa sababu biblia inafundisha kwamba ujio wa Yesu wa pili ulikuwa karibu na ungetokea katika kizazi chao (karne ya kwanza)

5. Marko 8:38-9:1 - "Kwa maana yeyote atakayenionea haya mimi na maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi, Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na watakatifu. malaika." Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, wako baadhi ya watu wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kabisa mpaka watakapouona ufalme wa Mungu ukishakuja kwa nguvu."

Huu ni ujumbe ulio wazi na wenye nguvu zaidi kwa kinywa cha Yesu. Hatuwezi kulizunguka hili tukiwa na maoni ya baadaye kwa sababu Bwana Yesu alikuwa akizungumza na wanafunzi Wake, na si watu wengine wasiokuwepo na wajao.

Kesi imefungwa.

Tatizo unahama kutoka hoja moja kwenda nyingine, Hoja ya yesu sio Mungu imeishia wapi? Kwanini Quran imekopi kutoka kwenye Biblia kuhusu ufufuo wa wafu?

Leta hapa injili mnayosema kashushiwa Issa,ambayo ni kamili wala haina contradictions.
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Christmass inaenda na neno "Merry "!
 
Sana wao wanatembeaga na madaftari kuomba mchango wa kujenga madrasa msikiti tunawapa kwa upendo hawatangazi mazuri ila mabaya tu
Hii Mkuu uliwapa wenzako pesa ya ubwabwa. Viongozi wao na bakwata walishasema hawajatuma watu kufanya hivyo, hata wale wa kwenye mabasi ni wapigaji tu.
 
Tatizo unahama kutoka hoja moja kwenda nyingine, Hoja ya yesu sio Mungu imeishia wapi? Kwanini Quran imekopi kutoka kwenye Biblia kuhusu ufufuo wa wafu?

Leta hapa injili mnayosema kashushiwa Issa,ambayo ni kamili wala haina contradictions.


YESU SI MUNGU:

KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesu hanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiye muumba wetu ambaye ni mmoja. Anajulikana na anatambulikana kwa sifa zake. Biblia inatuelezea sifa hizo.

Hapa chini nitaeleza baadhi ya sifa za Mwenyezi Mungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawa na Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI

Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo, asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,” (Yakobo 1:13).

Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristo kwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Biblia inasema kwamba:

“ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1).

Mungu hajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyo hawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hii ya Mungu.

2. MUNGU ANAJUA KILA KITU

Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu cha dhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichika kwake.

Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kila mtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote.” (1Wafalme 8:39).

Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujua mambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.” (Mathayo 21:18-19).

Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulani haupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajua nmisimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu.

Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwamba mwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtini na kisha akaulaani mti bure.

Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajui chochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).

3. MUNGU HACHOKI

Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote. Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasema kwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinzii wala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28).

Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii ya Mungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Biblia inasema:

“Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana 4:6).

Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.
 
YESU SI MUNGU:

KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesu hanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiye muumba wetu ambaye ni mmoja. Anajulikana na anatambulikana kwa sifa zake. Biblia inatuelezea sifa hizo.

Hapa chini nitaeleza baadhi ya sifa za Mwenyezi Mungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawa na Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI

Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo, asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,” (Yakobo 1:13).

Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristo kwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Biblia inasema kwamba:

“ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1).

Mungu hajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyo hawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hii ya Mungu.

2. MUNGU ANAJUA KILA KITU

Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu cha dhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichika kwake.

Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kila mtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote.” (1Wafalme 8:39).

Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujua mambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.” (Mathayo 21:18-19).

Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulani haupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajua nmisimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu.

Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwamba mwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtini na kisha akaulaani mti bure.

Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajui chochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).

3. MUNGU HACHOKI

Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote. Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasema kwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinzii wala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28).

Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii ya Mungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Biblia inas
“Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana 4:6).

Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.
Tuna imani tofauti kwa hiyo tukubaliane kwa kutokukubaliana. Sisi wakristo hatuitafuti Imani yetu kwenye vitabu vya watu wengine,ila waislam hamchoki kutusakama wakati mnaishi kwenye nyumba ya vioo kiimani .

Nimekuwekea verse kutoka kwenye Quran 22:7 inayosema saa yaja siku ya mwisho ambapo Allah ataiwata wafu nao wataisikia sauti yake na kufufuka.

Kisha nikaleta verse ya Yohana 5:25 ambapo Yesu anasema maneno yale yale,saa yaja ambapo mwana wa Mungu atawaita wafu waliopo makaburini nao wataisikia sauti yake na kufufuka.

Nikauliza Yesu ni Allah? Kwanini Quran ime copy kutoka kwenye injili ya Yohana 5:25? Akakimbia na kuja na hoja zingine.

Shida yako ni moja tu,hujui sisi wakristo tunavyo mtambua Yesu kama Mungu. Pia kwa sababu hutaki kujua kwa nia njema basi hakuna haja ya kujadiliana.

Chukua hiyo Quran 22:7 na Yohana 5:25 jaribu kutafakari ili upate majibu.Allah au Mohamed ndiye aliyekopi kwa Yohana?
 
Tuna imani tofauti kwa hiyo tukubaliane kwa kutokukubaliana. Sisi wakristo hatuitafuti Imani yetu kwenye vitabu vya watu wengine,ila waislam hamchoki kutusakama wakati mnaishi kwenye nyumba ya vioo kiimani .

Nimekuwekea verse kutoka kwenye Quran 22:7 inayosema saa yaja siku ya mwisho ambapo Allah ataiwata wafu nao wataisikia sauti yake na kufufuka.

Kisha nikaleta verse ya Yohana 5:25 ambapo Yesu anasema maneno yale yale,saa yaja ambapo mwana wa Mungu atawaita wafu waliopo makaburini nao wataisikia sauti yake na kufufuka.

Nikauliza Yesu ni Allah? Kwanini Quran ime copy kutoka kwenye injili ya Yohana 5:25? Akakimbia na kuja na hoja zingine.

Shida yako ni moja tu,hujui sisi wakristo tunavyo mtambua Yesu kama Mungu. Pia kwa sababu hutaki kujua kwa nia njema basi hakuna haja ya kujadiliana.

Chukua hiyo Quran 22:7 na Yohana 5:25 jaribu kutafakari ili upate majibu.Allah au Mohamed ndiye aliyekopi kwa Yohana?

Hiyo yohana 5 .25 ni maneno ya yohana si ya yesu


View: https://youtu.be/AJMd5UiTeys
 
Tuna imani tofauti kwa hiyo tukubaliane kwa kutokukubaliana. Sisi wakristo hatuitafuti Imani yetu kwenye vitabu vya watu wengine,ila waislam hamchoki kutusakama wakati mnaishi kwenye nyumba ya vioo kiimani .

Nimekuwekea verse kutoka kwenye Quran 22:7 inayosema saa yaja siku ya mwisho ambapo Allah ataiwata wafu nao wataisikia sauti yake na kufufuka.

Kisha nikaleta verse ya Yohana 5:25 ambapo Yesu anasema maneno yale yale,saa yaja ambapo mwana wa Mungu atawaita wafu waliopo makaburini nao wataisikia sauti yake na kufufuka.

Nikauliza Yesu ni Allah? Kwanini Quran ime copy kutoka kwenye injili ya Yohana 5:25? Akakimbia na kuja na hoja zingine.

Shida yako ni moja tu,hujui sisi wakristo tunavyo mtambua Yesu kama Mungu. Pia kwa sababu hutaki kujua kwa nia njema basi hakuna haja ya kujadiliana.

Chukua hiyo Quran 22:7 na Yohana 5:25 jaribu kutafakari ili upate majibu.Allah au Mohamed ndiye aliyekopi kwa Yohana?


View: https://www.youtube.com/watch?v=yogeSF3QK00&t=190s&pp=ygUUc2hlaWtoIGlicmFoaW0ga2VueWE%3D
 
Back
Top Bottom