Huu Mjengo wa Boniface Jacob ni kwa kuuza mayai? Mbona watu kibao wa mkoa wa Mara ni wakongwe tunasikia wana maisha ya kawaida?

Huu Mjengo wa Boniface Jacob ni kwa kuuza mayai? Mbona watu kibao wa mkoa wa Mara ni wakongwe tunasikia wana maisha ya kawaida?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Siwezi kuliita kasri lakini itoshe kusema kijana angalau kajenga nyumba nzuri.

Mayai naona ni zuga tu, watu kibao wa Mkoa wa Mara wanaoishi Dar wanapiga hii business ila wana maisha ya kawaida.

1710346342171.png



1710346586303.png


GIUyJ_bWIAA_D7n.jpeg




GIVadf0W4AA7iRg.jpeg
 
Siwezi kuliit kasri lakini kijana angalau kajenga nyumba nzuri.

Mayai naona ni zuga tu, watu kibao wa Mkoa wa Mara wanaoishi Dar wanapiga hii business ila wana maisha ya kawaida.

View attachment 2933671

View attachment 2933673
Watakatishaji pesa hao wa join the Chain,pesa za kuwa.meya wa Dar nk.

Ndio maana wanajivuna Sasa asingethubutu awamu ya Jiwe.

Mwisho unakuta nyumbu wanasombwa kwenda kuandamana wenzao wanakula maisha 😁😁
 
Back
Top Bottom