Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakatishaji pesa hao wa join the Chain,pesa za kuwa.meya wa Dar nk.Siwezi kuliit kasri lakini kijana angalau kajenga nyumba nzuri.
Mayai naona ni zuga tu, watu kibao wa Mkoa wa Mara wanaoishi Dar wanapiga hii business ila wana maisha ya kawaida.
View attachment 2933671
View attachment 2933673
anauza mayai mangapi a day?Mayai naona ni zuga tu, watu kibao wa Mkoa wa Mara wanaoishi Dar wanapiga hii business ila wana maisha ya kawaida
View attachment 2933671
View attachment 2933673
Ulitakaje awe maskini kama wewe?Watakatishaji pesa hao wa join the Chain,pesa za kuwa.meya wa Dar nk.
Ndio maana wanajivuna Sasa asingethubutu awamu ya Jiwe.
Mwisho unakuta nyumbu wanasombwa kwenda kuandamana wenzao wanakula maisha [emoji16][emoji16]
Kawadanganyeni hao wapumbavu ambao Huwa mnawasomba kwenye maandamano na kuwafanya ngaziUlitakaje awe maskini kama wewe?