antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Pesa ya mkopo itatumika Zanzibar ila mlipaji wa mkopo ni Tanganyika pekee yake, Zanzibar haihusiki kulipaZanzibar inapopokea sh. 400 b. Italipa yenyewe au TANGANYIKA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ya mkopo itatumika Zanzibar ila mlipaji wa mkopo ni Tanganyika pekee yake, Zanzibar haihusiki kulipaZanzibar inapopokea sh. 400 b. Italipa yenyewe au TANGANYIKA?
Ni matunda ya Muungano kwa Zanzibar inayopokea na kutumia tu, ila ni mzigo mzito sana kwa Tanganyika inayowajibika kulipaHizi ni Faida na matunda ya Muungano
Ni kweli.Matunda ya Muungano hayo Mkuu 🤗
Mkuu tutafanyaje wakati wakubwa ndiyo wameshaamua.Ni matunda ya Muungano kwa Zanzibar inayopokea na kutumia tu, ila ni mzigo mzito sana kwa Tanganyika inayowajibika kulipa
Atakayeleta fyoko fyoko kuhusu Muungano wetu kesho ataitwa Uhamiaji kuulizwa kuhusu Uraia wakeNi kweli.
P
Ni kweli na tumewashauri Chonde Chonde Ndugu zetu Wazanzibari, Msilete Fyoko Fyoko, Mtaumia bure!Atakayeleta fyokyo fokyo kuhusu Muungano wetu kesho ataitwa Uhamiaji kuulizwa kuhusu Uraia wake
Pamoja na Muungano kuwa favor zaidi wao, lakini bado hawamtaki Mzanzibar mwenzaoNi kweli na tumewashauri Chonde Chonde Ndugu zetu Wazanzibari, Msilete Fyoko Fyoko, Mtaumia bure!
P
Wanaweka sana rehani hiii haikubaliki...tangu mwinyi Hadi huyu bint yake mambo hayaendiSi tunawaita ndugu zetu wa damu acha twende tu.
Hiyo Government inatoa wapi fedha za kulipa??Unatisha Nini kwani wewe unalipa kwanza government ndo inadaiwa sio sisi watanzania
Ccm inawatu wajinga sana Aisee,uoga wako ndio unaskini wako,
Tanzania inakopa popote, na inakopesheka kokote duniani kiasi cha fedha kadiri inavyoona inafaa kwaajili ya miradi ya maendeleo kwa wanainchi wake, inaweza kukopa kwenye taasisi za fedha duniani au nchi mahalia, na inaaminika na kukopesheka kwasababu ina uwezo na uhakika wa kulipa au kurejesha kwa wakati madeni hayo 🐒
kwan kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango...
Kusema Zanzibar sawa ila kutamka tu Tanganyika ni nongwa!!! Kwani Tanganyika siyo nchi iliyopata uhuru wake 1961? Punguza nongwa ndugu.Nilipoona neno TANGANYIKA nikaona nikupuuze tu. Hii hoja ya kibaguzi iliyoasisiwa na CHADEMA haitakaa iwasaidie kuingia ikulu. Watanzania hawawezi kukubali kuwachagua watu watakaoleta ubaguzi. Mkipata madaraka mtasema mnataka jamhuri ya kaskazini kama ambavyo mmekuwa mkiota.
Inakuwaje zanzibar ikope je ni nchi ama vipi, maana rais wa zanzibar anatambulika kama rais ndabi ya mipaka ya tanzaniaJuzi hapa tumesikia kuwa Tanzania imekopa zaidi ya billion 400 Kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali Zanzibar, sawa.
Bajeti ya Zanzibar Kwa mwaka 24/25 ni trilion 2.6. maana yake ni kuwa sh. 2.6 trilion ni bajeti ya wizara zote Zanzibar.. sawa.
Je, billion 400 SI zaidi ya bajeti ya wizara moja Kwa upande wa Zanzibar?
Je, wizara ya afya Kwa upande wa Zanzibar ni kiasi Gani Kwa wajuvi wa mambo.?
Zanzibar inapopokea sh. 400 b. Italipa yenyewe au TANGANYIKA? NA KAMA NI KWELI NAOMBA KUELIMISHWA HAPA SIELEWI.
Hakuna tra zanzibar?..2011 kulikua na kampeni ya kutangaza utalii kule epl,ilikua visit tanzania,land of kilimanjaro, serengeti and zanzibarSheria inasema Zanzibar hairuhusiwi kukopa isipokuwa Kwa Koti la Muungano yaani Tanzania.
Hivyo anayeenda kukopa ni Tanzania Bara
Hela zinaenda kutumika Zanzibar
Ila zitalipwa na Mkopaji ambaye ni Tanzania Bara
Hizi ni Faida na matunda ya Muungano
mkopo unalipwa na znz au na wabara?Juzi hapa tumesikia kuwa Tanzania imekopa zaidi ya billion 400 Kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali Zanzibar, sawa.
Bajeti ya Zanzibar Kwa mwaka 24/25 ni trilion 2.6. maana yake ni kuwa sh. 2.6 trilion ni bajeti ya wizara zote Zanzibar.. sawa.
Je, billion 400 SI zaidi ya bajeti ya wizara moja Kwa upande wa Zanzibar?
Je, wizara ya afya Kwa upande wa Zanzibar ni kiasi Gani Kwa wajuvi wa mambo.?
Zanzibar inapopokea sh. 400 b. Italipa yenyewe au TANGANYIKA? NA KAMA NI KWELI NAOMBA KUELIMISHWA HAPA SIELEWI.
Wanayo mamlaka yao ya Mapato lakini Sheria haiwaruhusu wao kwenda kukopa Zanzibar as Zanzibar unless waombe kupitia Tanzania (URT).Hakuna tra zanzibar?..2011 kulikua na kampeni ya kutangaza utalii kule epl,ilikua visit tanzania,land of kilimanjaro, serengeti and zanzibar
Nimeuliza hakuna tra zanzibar?!Wanayo mamlaka yao ya Mapato lakini Sheria haiwaruhusu wao kwenda kukopa Zanzibar as Zanzibar unless waombe kupitia Tanzania (URT).
Hatari sana!!!Sheria inasema Zanzibar hairuhusiwi kukopa isipokuwa Kwa Koti la Muungano yaani Tanzania.
Hivyo anayeenda kukopa ni Tanzania Bara
Hela zinaenda kutumika Zanzibar
Ila zitalipwa na Mkopaji ambaye ni Tanzania Bara
Hizi ni Faida na matunda ya Muungano