Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Matunda ya Muungano hayo 🙌Hatari sana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matunda ya Muungano hayo 🙌Hatari sana!!!
Unaonekana unaedea kuwa kichaa kutokana na viwu uliona kiufupi wenzako wa Zanzibar WAMEBARIKIWA sio kama wewe CHOGOMbona nyie mnajiita wazanzibar Kwa kuwa mpo Zanzibar, Sisi watanganyika tuna kosa kujiita watanganyika? Je, ni kosa kuuliza Tanganyika italipa huu MKOPO au Zanzibar ilikojengwa hospital? Ninachojua Zanzibar Haina UWEZO WA kulipa MKOPO huo..kama Ina UWEZO nitajie ni kias gan imekopa na inalipa.
Pili utawala wa majoka ya kijani FISIEM ( EEE FISI MTU) HAWATAKI kusikia Tanganyika ikitajwa Kwa kuwa ndiye mlishi wa machotara wavuvi na walima karafuu ..vibarua wa waarabu na washirazi bahati ya Hindi... Sasa kama mnakiri hamna kilimo zaidi ya kilimo Cha mizizi ya majini mnaachaje kuwa tegemezi Tanganyika?
Kwa mujibu wa Kanisa la mashogerAcha upumbavu Zanzibar ni nchi ya kiarabu kwa mujibu wa Vyanzo vya masjid ama?
Huyu jamaaa hataki kusikia Tanganyika inatamkwa.... Aache ufwalaKusema Zanzibar sawa ila kutamka tu Tanganyika ni nongwa!!! Kwani Tanganyika siyo nchi iliyopata uhuru wake 1961? Punguza nongwa ndugu.
Kitaeleweka tu...Kak hyo ishapita ww utabak kulaumu t
Hutoi hata mia lkn huku tunatozwa fedha hatr... HAPANA KWA KWELIHizo hospital Zanzibar hazitibu wazazibar tu Bali Kuna watanganyika tele tunatibiwa huko tena Bure kabisa hutoi hata mia mbovu.
Kaharibu kinyama yaaaanamkopo unalipwa na znz au na wabara?
huyu demu nilikua namheshimu ila kwa yanayoendelea mhhh
Huyu katuzarau watanganyikaJmn ingekuwa wewe nyumbani ungepatelekeza?
SIKU mkinipa hapa Kakonko na Kigoma nafanya vitu balaa
Kutozwa kwenu fedha hizo ni shida zenu na viongozi wenu wa CCM haiwahusu wazazibarHutoi hata mia lkn huku tunatozwa fedha hatr... HAPANA KWA KWELI
Population kidogo, kama mnakopewa billion 400...wakti idadi ya watu ni sawa na MKOA mmoja wa singida kuna Nini zaidi ya kubweteka tu.. nimesoma na wazanzibar nilikuwa kugundua mbastahili kupewa Bure, Kuna kipindi nilidate mzanzibar..nilipata taabu sana hawajui hata kwenda sokoni..kula ugali hawezi ,yeye wali , nikamwambia nenda Zanzibar Kwa Wala birian na utorojo..nimekaa Zanzibar mwaka wengi wa wazanzibar wanategemea kilimo Cha mwani, wanategemea misaada Kwa ndugu mahauseboy na mahouse girl Oman na Dubai, Kwa Hali hii ni ngumu sana kutumia jasho kupata huduma hata chakula tunawalisha na kila KITU...na viongoz unaowasema ndo HUYU CHURA KIZIWI ALIYEINGIA KWA KUSUBIRI KIFO CHA MZEEEKutozwa kwenu fedha hizo ni shida zenu na viongozi wenu wa CCM haiwahusu wazazibar
unalipwa kwa kodi za kina??? nani au serikali inatoa wapi pesa ???Unatisha Nini kwani wewe unalipa kwanza government ndo inadaiwa sio sisi watanzania
Huyu katuzarau watanganyika
Tanganyika inajitosheleza Kwa rasilimali zake.. chato ziwa tu linatosha tena sehemu ya chato ingetosha kulipa...magufuli pia hakujenga CHATO TU, angalia stand ya nyegezi, nyamahongolo, angalia mji wa serikali Dodoma, barabara za ubungo na stand ya magufuli, BWAWA LA MWL NYERERE, angalia SGR, angalia shule zote za kitaifa za advance Tanzania.BIHAWANA, NYAKATO, BWIRU, TOSAMAGANGA, TABORAS, ZOTE ZILIKARABATIWA WAKATI WA MAGUFULI..SASA MAMA Mpaka anamaliza hamna barabara mpya aliyoijenga tunaona mikataba na mawe ya msingi yanawekwa tu hna kilichoanza,.. mfano barabara ya njia nne jiji la mbeya tangu tarehe 14/2/2023 mkataba ulisainiwa lkn Leo hii mwaka umeisha barabara haijaanza kujengwa, angalia barabara ya sengerema, nyehunge , nkome mpaka Leo haijajengwa wakti tayr mktaba ulishasainiwa ... Ameshindwa hata kuendeleza miradi aliyoikuta .
- JPM mbn aliijenga chato
- Mbn kuna mikoa ilitoa mawaziri hadi 4
- Subra ni ibada Mkuu
Ni jambo la uelewa tuu linakusumbua.Mkopo wa Zanzibar unachukuliwa Kwa mgongo wa Tanzania na ndio maana ikilazimi Mkopo uliochukuliwa na Tanzania kugawanywa inafanyika hivyo kama hakuna huo ulazima basi zitaishia Bara au zitaishia Zanzibar.Juzi hapa tumesikia kuwa Tanzania imekopa zaidi ya billion 400 Kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali Zanzibar, sawa.
Bajeti ya Zanzibar Kwa mwaka 24/25 ni trilion 2.6. maana yake ni kuwa sh. 2.6 trilion ni bajeti ya wizara zote Zanzibar.. sawa.
Je, billion 400 SI zaidi ya bajeti ya wizara moja Kwa upande wa Zanzibar?
Je, wizara ya afya Kwa upande wa Zanzibar ni kiasi Gani Kwa wajuvi wa mambo.?
Zanzibar inapopokea sh. 400 b. Italipa yenyewe au TANGANYIKA? NA KAMA NI KWELI NAOMBA KUELIMISHWA HAPA SIELEWI.