Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,995
Kwanza inabidi tukubali kuwa CCM walifanya kosa kubwa saana la kuiba uchaguzi kishamba last year. Kupitia wizi ule ndo maana wazo la katiba liliibuka na kwa hali ilivyo sioni wa kuuzima huu Moto .
Freeman Mbowe baada ya kuanza makongamano, serikali ikaona solution ni kumpa bogus terrorism charges, wakiamini watakuwa wamauzima Moto wa katiba, lakini toka Mbowe awekwe ndani naona hoja ya katiba ime-gain momentum, mfano sahivi haiwezi pita siku mbili bila magazeti makubwa kuandika Mambo ya katiba mpya Tena front page.
CCM na ACT wameamua wajikoshe kwa kuja na tume huru, unadhani ni kwanini? Ni kujaribu kuzima Moto wa katiba mpya, mitandaoni pote ni katiba,katiba,katiba.
Ujio wa Lissu mwaka huu nao utakoleza Moto kwenye madai ya katiba, Sasa ni serikali ijipange ama kumuacha Lissu aendelee na Moto wa katiba, au wamuweke ndani na kumpa kesi Kama Mbowe(hapa nadhani haiwezekani serikali haiwezi kufanya kosa Mara mbili).
Vyovyote itakavyo kuwa upuuzi wa Magufuli last year ndo umeibua huu Moto wa katiba, na huu Moto utasubiri ata miaka 2,4,10 Ila katiba itaandikwa tu.
Freeman Mbowe baada ya kuanza makongamano, serikali ikaona solution ni kumpa bogus terrorism charges, wakiamini watakuwa wamauzima Moto wa katiba, lakini toka Mbowe awekwe ndani naona hoja ya katiba ime-gain momentum, mfano sahivi haiwezi pita siku mbili bila magazeti makubwa kuandika Mambo ya katiba mpya Tena front page.
CCM na ACT wameamua wajikoshe kwa kuja na tume huru, unadhani ni kwanini? Ni kujaribu kuzima Moto wa katiba mpya, mitandaoni pote ni katiba,katiba,katiba.
Ujio wa Lissu mwaka huu nao utakoleza Moto kwenye madai ya katiba, Sasa ni serikali ijipange ama kumuacha Lissu aendelee na Moto wa katiba, au wamuweke ndani na kumpa kesi Kama Mbowe(hapa nadhani haiwezekani serikali haiwezi kufanya kosa Mara mbili).
Vyovyote itakavyo kuwa upuuzi wa Magufuli last year ndo umeibua huu Moto wa katiba, na huu Moto utasubiri ata miaka 2,4,10 Ila katiba itaandikwa tu.