Huu Moto wa Katiba Mpya naona umekolea sana nchi nzima

Huu Moto wa Katiba Mpya naona umekolea sana nchi nzima

Kwanza inabidi tukubali kuwa CCM walifanya kosa kubwa saana la kuiba uchaguzi kishamba last year. Kupitia wizi ule ndo maana wazo la katiba liliibuka na kwa hali ilivyo sioni wa kuuzima huu Moto .

Freeman Mbowe baada ya kuanza makongamano, serikali ikaona solution ni kumpa bogus terrorism charges, wakiamini watakuwa wamauzima Moto wa katiba, lakini toka Mbowe awekwe ndani naona hoja ya katiba ime-gain momentum, mfano sahivi haiwezi pita siku mbili bila magazeti makubwa kuandika Mambo ya katiba mpya Tena front page.

CCM na ACT wameamua wajikoshe kwa kuja na tume huru, unadhani ni kwanini? Ni kujaribu kuzima Moto wa katiba mpya, mitandaoni pote ni katiba,katiba,katiba.

Ujio wa Lissu mwaka huu nao utakoleza Moto kwenye madai ya katiba, Sasa ni serikali ijipange ama kumuacha Lissu aendelee na Moto wa katiba, au wamuweke ndani na kumpa kesi Kama Mbowe(hapa nadhani haiwezekani serikali haiwezi kufanya kosa Mara mbili).

Vyovyote itakavyo kuwa upuuzi wa Magufuli last year ndo umeibua huu Moto wa katiba, na huu Moto utasubiri ata miaka 2,4,10 Ila katiba itaandikwa tu.
Nilikuwa Sumbawanga wiki iliyopita kwa shughuli binafsi. Nilifika kijiweni kubrashi viatu na kukutana na kijana anawafafanulia wenzake umuhimu wa Katiba mpya kwa maneno machache na ya kueleweka alisema;
"Katiba mpya si muhimu kwa CCM na Wapinzani tu kwa sababu hata isipokuja wataendelea kubishana, lakini ni muhimu kwa Watanzania wote kwa sababu isipokuja tutaendelea kuumia".
 
Wapi CCM kasema anaogopa. Kwani katiba mpya Ni swala la katiba mpya au swala Ni content ya Katiba. Shida ya watu kama wewe Ni kuandika na kupiga kelele wakati hujui nini hasa unachohitaji katika maisha yako Siasa za Africa kutokana na kuendeshwa na mabeberu hasa kiuchumi hazijaweza kunufaisha mataifa moja moja. Ni pale tu Africa ingekubali kuteseka kwa muda na kuungana kibiashara nk. Ndo ukombozi wetu utapatikana. Otherwise ni katiba iwe mpya au ya zamani wananchi tunataka maendeleo na Sisi wenyewe tuna role kubwa sana ya kuplay.

Tz Sasa inahizaji kuangalia Elimu na mitaala na wanafunzi wanapaswa kufundishwa kuwa analytical sio kukariri tu kwa ajili ya mitihani.

Afya. Dawa zinanuniliwa Lakini Sisi madaktari na manurse wengine ccm au CHadema au Act kiitikadi wanaiba na tunawaona Mashujaa wakijenga majumba haraka kwa kuuza dawa na vifaa tiba. Hii hahitaji katiba mpya. Unahitaji wewe na mimi tubadilke. Rais hawezi Control mawazo yangu mimi kama daktari au nurse.

Kilimo Pia. Maamuzi magumu. Nk.

Process ya Katiba mpya Ni gharama sana. Mwaka huu kuna sensa. Hii ndo jambo MUHIMU. Ila ushamba na kutaka sifa kijinga ndo watu kama nyie mnatumika. Ukitaka kujua mwanasiasa Bora na kweli mwenye nia njema na Taifa Sio tumbo lake soma mahali kama ajenda ya sensa ya mwaka huu ameitaja na kuipongeza popote, ama kuongeza namna ya kuiboresha ili nasi Tuwe kama nchi za ulaya na marekani nk kuwa kila mtu anajulikana anakaa wapi, anafanya nini , nyumba nk. Hii ndo jambo muhimu sana Kwa mipango na maendeleo ya nchi hasa maskini.

Itaji Namba Moja La Tanzania Ni Katiba Mpya[emoji3577]
 
Kwanza inabidi tukubali kuwa CCM walifanya kosa kubwa saana la kuiba uchaguzi kishamba last year. Kupitia wizi ule ndo maana wazo la katiba liliibuka na kwa hali ilivyo sioni wa kuuzima huu Moto .

Freeman Mbowe baada ya kuanza makongamano, serikali ikaona solution ni kumpa bogus terrorism charges, wakiamini watakuwa wamauzima Moto wa katiba, lakini toka Mbowe awekwe ndani naona hoja ya katiba ime-gain momentum, mfano sahivi haiwezi pita siku mbili bila magazeti makubwa kuandika Mambo ya katiba mpya Tena front page.

CCM na ACT wameamua wajikoshe kwa kuja na tume huru, unadhani ni kwanini? Ni kujaribu kuzima Moto wa katiba mpya, mitandaoni pote ni katiba,katiba,katiba.

Ujio wa Lissu mwaka huu nao utakoleza Moto kwenye madai ya katiba, Sasa ni serikali ijipange ama kumuacha Lissu aendelee na Moto wa katiba, au wamuweke ndani na kumpa kesi Kama Mbowe(hapa nadhani haiwezekani serikali haiwezi kufanya kosa Mara mbili).

Vyovyote itakavyo kuwa upuuzi wa Magufuli last year ndo umeibua huu Moto wa katiba, na huu Moto utasubiri ata miaka 2,4,10 Ila katiba itaandikwa tu.
Ila magufuli alikuwa na nguvu hakuna wanainch wakawaida alikuwa upande wa UPINZANI ISIPOKUWA NUSU KUNDI YA WATUMISHI WA CHINI

WAFANYA BIASHARA WAKUBWA

NA GENGE LA SIASA AMBALO LILIACHWA

NADHANI HILI TUKUBALIANE NALO MPAKA SASA WANAINCHI WENGI WENYE KIPATO CHA CHINI BADO WANAAMINI KUWA MAGUFULI ALIKUWA BORA MAANA ALIKUWA UPANDE WAO MUDA WOTE

hivyo ili ongoze nchi lazima uwe upande wa wanainchi walio wengi mfano , mfanyakazi ni mtu uliyemwajiri , lazima upange wewe atakavyoishi mfano , kwenye makampuni wafanyakazi sio kwamba wanalipwa vizuri ila wanatumilishwa kuliko kawaida


Matajiri ndio huwa wanaamua nani awe kiongozi , hivyo nchi nyingi za africa zinaviongozi ambao sio chagua la wanainchi ila matajiri mfano ccm kipindi cha nyuma ilikuwa inaitisha mkutano wa Matajiri , ili kuwasadia fedha za kuendeshea uchaguzi tuliona hasa awamu ya nne

Magufuli kama binadamu alikuwa na mapungufu yake lakini alijaribu kuirudisha serikali kwa wanainchi na kuitoa mikononi wa wazawa wa viongozi , hii nchi saivi iko kama ya kikuhani
Angalia kijana wa pinda ,kijana wa makamba , kijana wa mwinyi kijana wa kikwete , kinachana wa bigedia nawiye,akina kijazi , akina masauni

Akina mchengerwa

Nadhani watu kama hawa hawawezi kutumikia wanainchi ila wanarinda cv zao na za wazazi wao

Mwanzoni tuliona SUKUMA GANG

SASA TUTAKUWA NA PEMBA GANG AU UGUNJA GANG hii kazi yake ni kuhakikisha NCHI inatimiza matakwa ya MWENYEKITI anayetambuliwa kuwa HAJIRIBIWI
 
Ni kelele tuu mnapiga ila hakuna mnachoweza kufanya Ili mpate ni utashi wa Rais na ccm,kwani wapi umesikia wanazungumzia Katiba?

Hiyo kitu haipo, swallow this.
Siku zaja, Moto unakolea, tutapata KATIBA MPYA iliyobora kwa ajili ya manufaa ya kila mtanzania,,,
 
Kwanza inabidi tukubali kuwa CCM walifanya kosa kubwa saana la kuiba uchaguzi kishamba last year. Kupitia wizi ule ndo maana wazo la katiba liliibuka na kwa hali ilivyo sioni wa kuuzima huu Moto .

Freeman Mbowe baada ya kuanza makongamano, serikali ikaona solution ni kumpa bogus terrorism charges, wakiamini watakuwa wamauzima Moto wa katiba, lakini toka Mbowe awekwe ndani naona hoja ya katiba ime-gain momentum, mfano sahivi haiwezi pita siku mbili bila magazeti makubwa kuandika Mambo ya katiba mpya Tena front page.

CCM na ACT wameamua wajikoshe kwa kuja na tume huru, unadhani ni kwanini? Ni kujaribu kuzima Moto wa katiba mpya, mitandaoni pote ni katiba,katiba,katiba.

Ujio wa Lissu mwaka huu nao utakoleza Moto kwenye madai ya katiba, Sasa ni serikali ijipange ama kumuacha Lissu aendelee na Moto wa katiba, au wamuweke ndani na kumpa kesi Kama Mbowe(hapa nadhani haiwezekani serikali haiwezi kufanya kosa Mara mbili).

Vyovyote itakavyo kuwa upuuzi wa Magufuli last year ndo umeibua huu Moto wa katiba, na huu Moto utasubiri ata miaka 2,4,10 Ila katiba itaandikwa tu.
YAANI UKIWA MPUMBAVU SIYO LAZIMA UJE HUMU JF KUONYESHA UPUMBAVU WAKO KATIBA UTAISIKIA TU KWA SASA HAYO NI MAONI YAKO KAKOJOE UKALAE USUBIRI MMEO AJE UMPIKIE KISHA UKAMPANULIE BASI MENGINE TUACHIE WANAUME
 
Back
Top Bottom