Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Tafakari Kwa makini Mkuu, mwisho wa sakata hili utakuwa ni nini ???Ndugai anatumiwa na kundi linalotaka uras,ambalo halitaki mama ila sio kwamba eti wanataka Katiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafakari Kwa makini Mkuu, mwisho wa sakata hili utakuwa ni nini ???Ndugai anatumiwa na kundi linalotaka uras,ambalo halitaki mama ila sio kwamba eti wanataka Katiba.
Ndo vizuriMkuu hebu jiulize awali dogo tu: Ni nini kilichomuibua Ndugai huko aliko na kuanzia harakati za kutaka kutenganisha Mhimili wa Bunge na ule Uliojichimbia chini zaidi??? Ukipata jibu jiulize tena, je hatima ya sakata lile ni nn kitatokea??
Haiwezekani mtu akope trillion 8 halafu anajiamulia tu kuzipeleka Zanzibar bila ruhusa ya bunge na hakuna wa kumuuliza wala kumfanya kitu chochote ili kumuwajibisha, sasa ni katiba gani hiyo?!
Haiwezekani mtu akope trillion 8 halafu anajiamulia tu kuzipeleka Zanzibar bila ruhusa ya bunge na hakuna wa kumuuliza wala kumfanya kitu chochote ili kumuwajibisha, sasa ni katiba gani hiyo?!
Mwenye nguvu ndio atapeta,kiroboto ataufyataTafakari Kwa makini Mkuu, mwisho wa sakata hili utakuwa ni nini ???
Mwenye nguvu ndio atapeta,kiroboto ataufyata
Huna unachokijua,Rais ndio kila kitu Tzn hapa,Tunisia Rais alifutilia mbali Bunge na Waziri Mkuu Kisha anaongoza Nchi Kwa executive order shida ni spika na pm walikuwa hawaelewani.Bunge linanguvu kuliko rais, lilipiga kura imeisha hiyo
Ivi Ni Kwanini Ccm Wanaogopa Katiba Mpya Ilihari Wao Ni Viongozi Pendwa Wa Wanyonge[emoji848]
Uwoga wa watanzania ndo unafanya watawala waamue watakaloKosa lilianza 2014 baada ya 'wajanja' kumpanga JK na kuvuruga ule mchakato kupitia lile Bunge la Katiba.
Nakumbuka kuna siku nilishindaa njaa ili kuwasubiri wajumbe wa Tume ya Katiba ili nitoe maoni.
Huu upuuzi wa kudharau maoni ya wananchi umekuwa kansa, ndio maana hata sanduku la kura haliheshmiki.
Katiba yenye kulinda haki na mali za raia, udhibiti thabiti wa viongozi na vyombo kama polisi, serikali tatu, n.k
Maana ya katiba nzuri ni kuzuia uharibifu wa nchi kwa kiwango kikubwa inapotekea watu wabaya wamekalia viti vya mamlaka.Katiba mpya ndio inahitajika lakini ndugu zangu hakikisheni hiyo katiba inakaliwa na watu wazuri alasivyo hutatatoka kwenye hili Lindi
Hakuna cha Katiba mpya itakayopatikana.
Ivi Ni Kwanini Ccm Wanaogopa Katiba Mpya Ilihari Wao Ni Viongozi Pendwa Wa Wanyonge[emoji848]
Mtu anayezungumzia katiba mpya namuona ana utoto tu! Hii inatokana na ukweli kuwa hii iliyopo inavunjwa kila mara, je hiyo mpya nani ataisimamia? Aidha kumbuka hakuna binadamu ambaye anaweza kuingiza kichwa chake katika mdomo wa mamba mwenye njaa. Samia leo hii asaini katiba itakayompeleka mahakamani kwa matendo yake baada ya kung’atuka? Mpuuzi kama Tundu Lissu ndiye ataamini katika katiba mpyaKwanza inabidi tukubali kuwa CCM walifanya kosa kubwa saana la kuiba uchaguzi kishamba last year. Kupitia wizi ule ndo maana wazo la katiba liliibuka na kwa hali ilivyo sioni wa kuuzima huu Moto .
Freeman Mbowe baada ya kuanza makongamano, serikali ikaona solution ni kumpa bogus terrorism charges, wakiamini watakuwa wamauzima Moto wa katiba, lakini toka Mbowe awekwe ndani naona hoja ya katiba ime-gain momentum, mfano sahivi haiwezi pita siku mbili bila magazeti makubwa kuandika Mambo ya katiba mpya Tena front page.
CCM na ACT wameamua wajikoshe kwa kuja na tume huru, unadhani ni kwanini? Ni kujaribu kuzima Moto wa katiba mpya, mitandaoni pote ni katiba,katiba,katiba.
Ujio wa Lissu mwaka huu nao utakoleza Moto kwenye madai ya katiba, Sasa ni serikali ijipange ama kumuacha Lissu aendelee na Moto wa katiba, au wamuweke ndani na kumpa kesi Kama Mbowe(hapa nadhani haiwezekani serikali haiwezi kufanya kosa Mara mbili).
Vyovyote itakavyo kuwa upuuzi wa Magufuli last year ndo umeibua huu Moto wa katiba, na huu Moto utasubiri ata miaka 2,4,10 Ila katiba itaandikwa tu.
PoleeeeKosa lilianza 2014 baada ya 'wajanja' kumpanga JK na kuvuruga ule mchakato kupitia lile Bunge la Katiba.
Nakumbuka kuna siku nilishindaa njaa ili kuwasubiri wajumbe wa Tume ya Katiba ili nitoe maoni.
Huu upuuzi wa kudharau maoni ya wananchi umekuwa kansa, ndio maana hata sanduku la kura haliheshmiki.
Katiba yenye kulinda haki na mali za raia, udhibiti thabiti wa viongozi na vyombo kama polisi, serikali tatu, n.k