LGE2024 Huu mpango RC Chalamila una lengo gani?, "Nipe Kura moja, nikupe siku tatu za Bata"

LGE2024 Huu mpango RC Chalamila una lengo gani?, "Nipe Kura moja, nikupe siku tatu za Bata"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Huu mpango wa Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam una lengo gani, kwani amezindua Tamasha la siku tatu "Bata la Disemba - End of the year Carnival" lakini ili utokee lazima umpe Kura Moja, kisha yeye akupe siku tatu za Bata.
 
Back
Top Bottom