Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia hizo nembo hapo...
Ulikuwa wa ccm huu.. Watu walikula mpaka wakavimbiwa
Sasa na we uliyeelimika unachukua hizo pulizo hizo zinawafaa sana watu wa vilabuniMradi wa hivi kuuleta afrika ni kupoteza hela ustaraabu afrika ni zero sana
Mzumbe watu walikuwa wanaenda toilet anachukua viboksi vyote ukienda unakosa
Watu wabinafsi, Sasa box zima mtu anaenda kufanyia nini. mtu Kama huyo akipewa nafasi lazima awe fisadiMradi wa hivi kuuleta afrika ni kupoteza hela ustaraabu afrika ni zero sana
Mzumbe watu walikuwa wanaenda toilet anachukua viboksi vyote ukienda unakosa
Ustaraabu zero huwa hatuwazi kabisa kuhusu wengineWatu wabinafsi, Sasa box zima mtu anaenda kufanyia nini. mtu Kama huyo akipewa nafasi lazima awe fisadi
Hata sijaelimika ndugu yangu!na hapo mzumbe sikuwa kusoma na hapa dume IPO for emergencySasa na we uliyeelimika unachukua hizo pulizo hizo zinawafaa sana watu wa vilabuni
Basi jua tu Cha bure ni gharamaHata sijaelimika ndugu yangu!na hapo mzumbe sikuwa kusoma na hapa dume IPO for emergency
YahBasi jua tu Cha bure ni gharama
Ulikuwa mradi wa CHADEMA kutunisha mfuko wa kujenga ofisi!