Huu mradi ulikuwa wa nani ?

Mradi wa hivi kuuleta afrika ni kupoteza hela ustaraabu afrika ni zero sana
Mzumbe watu walikuwa wanaenda toilet anachukua viboksi vyote ukienda unakosa
Sasa na we uliyeelimika unachukua hizo pulizo hizo zinawafaa sana watu wa vilabuni
 
Mradi wa hivi kuuleta afrika ni kupoteza hela ustaraabu afrika ni zero sana
Mzumbe watu walikuwa wanaenda toilet anachukua viboksi vyote ukienda unakosa
Watu wabinafsi, Sasa box zima mtu anaenda kufanyia nini. mtu Kama huyo akipewa nafasi lazima awe fisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…