Huu msalaba kwenye paji la uso ni nini

Ndio upake matope usoni?
 
Hao ndo binadamu pekee wamaosema wanafunga ila wanakula kama mchwa masaa 24 ukimuuliza kafunga nini anasema kafunga kula makande siku 40, mwingine kafunga kula dagaa mchele siku 40.
Kit u kama hukijui ni bora ukae kimya kuliko kujiongelesha unajiona mjanja kumbe unachekwa kwa dharauπŸ™„πŸ™„πŸ™„ fata ya kwako ya kubusu jiwe maka eti unampiga shetan huku umevaa nepiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 

Pambana na imani yako nenda kabinue matako kawaoneshe ulivyojaliwa wowowo msikitini,mengine hayakuhusu
 
Kit u kama hukijui ni bora ukae kimya kuliko kujiongelesha unajiona mjanja kumbe unachekwa kwa dharauπŸ™„πŸ™„πŸ™„ fata ya kwako ya kubusu jiwe maka eti unampiga shetan huku umevaa nepiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜
Mtu akikuona anaweza kudhani una akili kumbe jumapili unaenda kaomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement kama huyu mwenzako
 
Mtu akikuona anaweza kudhani una akili kumbe jumapili unaenda kaomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement kama huyu mwenzakoView attachment 3266147
Kinakuuma mini nenda kabusu jiwe kule maka lenye kilo 1000 za cement,eti linapiga shetani na kuhu limevaa nepiπŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Kinakuuma mini nenda kabusu jiwe kule maka lenye kilo 1000 za cement,eti linapiga shetani na kuhu limevaa nepiπŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Sawa tumekusikia pumzika jumapili ukaliombe toba sanamu ulilolitengeneza kwa mikono yako
 
Tsk, agenda za aina hii malengo huwa ni nini haswa?

Wao kutakasika au kupotoka hakukuongezei wala kukupunguzia chochote ndugu, chokochoko, dhihaka na kebehi dhidi ya imani yoyote hazitakufaa wala kukunufaisha kwa chochote

Wao wana dini yao na wewe una dini yako, jikite kwenye lane yako, achana na hizo mbanga haijalishi wao hufanya hivyo au la
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…