Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Endeleeni kufanya matangazo.Hizo Bible mnazisoma Kinyume nyume au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kufanya matangazo.Hizo Bible mnazisoma Kinyume nyume au?
Ndio upake matope usoni?Unakumbushwa tu ya kuwa baada ya maisha yako hapa duniani, huo mwili wako utageuka na kuwa udongo wa kurutubisha mazao ya chakula ulichokula.
Kwa hiyo ujitahidi kuishi maisha ya kumpendeza Mungu ili roho yako ipate makazi ya kudumu mbinguni, badala ya kuishia motoni/ahera/jehanamu.
Ndiyo!Ndio upake matope usoni?
OtatenaneeeeeNdiyo!
Kit u kama hukijui ni bora ukae kimya kuliko kujiongelesha unajiona mjanja kumbe unachekwa kwa dharau🙄🙄🙄 fata ya kwako ya kubusu jiwe maka eti unampiga shetan huku umevaa nepi😂😂😁😁😁Hao ndo binadamu pekee wamaosema wanafunga ila wanakula kama mchwa masaa 24 ukimuuliza kafunga nini anasema kafunga kula makande siku 40, mwingine kafunga kula dagaa mchele siku 40.
Katika imani kuna mambo yanafanyika sana. Na leo hii naona msalaba kwa baadhi yenu kwenye paji la uso.
Waislam wanagunga tu kwankunuia hii kupakana matope usoni hii ni ishara gani.?
Kwanin kama ni kufunga isiwe kiifikra zaidi kuliko kupakaa matope, huu sio ushirikina kweli?
Pili, hii tabia kila mwewa Kufunga kwa waislam ukifika, kuna watu wanasogeza spika zao karib na nyumban kupiga kelele eti ni mahubiri kwa nini iwe wakati huu kama sio kutafutana ubaya
Mtu akikuona anaweza kudhani una akili kumbe jumapili unaenda kaomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement kama huyu mwenzakoKit u kama hukijui ni bora ukae kimya kuliko kujiongelesha unajiona mjanja kumbe unachekwa kwa dharau🙄🙄🙄 fata ya kwako ya kubusu jiwe maka eti unampiga shetan huku umevaa nepi😂😂😁😁😁
Kinakuuma mini nenda kabusu jiwe kule maka lenye kilo 1000 za cement,eti linapiga shetani na kuhu limevaa nepi😁😁😂😂🤣🤣🤣Mtu akikuona anaweza kudhani una akili kumbe jumapili unaenda kaomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement kama huyu mwenzakoView attachment 3266147
Sawa tumekusikia pumzika jumapili ukaliombe toba sanamu ulilolitengeneza kwa mikono yakoKinakuuma mini nenda kabusu jiwe kule maka lenye kilo 1000 za cement,eti linapiga shetani na kuhu limevaa nepi😁😁😂😂🤣🤣🤣