Mwanaume kuweka dawa kwenye nywele kama Wanawake utaonekana SHOGA kwa hapa bongo au Africa kwa ujumla.
Labda huko Ulaya ndio wataona kawaida.
Kama unakipilipili usijiangaisheHiyo style naipenda sana ila kufanya ikawa hivyo nimejaribu bila mafanikio
Hii style inawekwa kwa kuchana nywele na brash na kyna doc hii ndo style yake yani ni yeye na brush kama mwanafunzi wa sekondar
MchelemcheleMwanaume kuweka dawa kwenye nywele kama Wanawake utaonekana SHOGA kwa hapa bongo au Africa kwa ujumla.
Labda huko Ulaya ndio wataona kawaida.
Hahaha tumekutana aseeHiyo style naipenda sana ila kufanya ikawa hivyo nimejaribu bila mafanikio
Miss ya!
Toka moyoni sijaelewa umemaanisha nn..That's very thoughtful of you, drop by sometime....[emoji4][emoji4][emoji4]
Toka moyoni sijaelewa umemaanisha nn..
Hahahaaa sio mimi ni njaa tu!Naona leo huelewi vitu vingi....
Ukuje nyumbani nikueleweshe