Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kuna kitu nilisikia Rais akikitamka kwenye hotuna yake ya mapokezi ya ripoti ya TCD, anataka kuwepo na code of conduct ya vyama vya siasa. Alienda mbali na kusema amechoka kisikia Tanzania kwenye vyombo vya nje vya habari kama CNN, Al-Jazeera na BBC kila siku.
Huko tunakokwenda kutakua na umnywaji wa vyama vya siasa kutoa malalamiko na mawazo yao kwenye vyombo vya habari vya nje kwani hivi vya kwetu vinajua kutoa propaganda za CCM tu.
Huko tunakokwenda kutakua na umnywaji wa vyama vya siasa kutoa malalamiko na mawazo yao kwenye vyombo vya habari vya nje kwani hivi vya kwetu vinajua kutoa propaganda za CCM tu.