Huu mtindo wa Vijana wa Sasa Kutumia Uzee kukashifu watu , Nini shida

Huu mtindo wa Vijana wa Sasa Kutumia Uzee kukashifu watu , Nini shida

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hasa Hawa wa 2000, kinachonisikitisha ni namna vijana Hawa wanavyopromote na kupotray kuwa mtu kuwa Mzee ni kitu kibaya, tabia hii mostly imeanzia Kwa wasanii mfano,

1. Kuna msanii anaitwa Abby chams , alimrefer TID kama yule mbabu mwenye kipara Hana inshu.
2. Social lite karem Simba na rushaina wamesema diva kuwa yule ni mbibi Hana thamani.
3. zari wamemuita sana bibi. Tukinai.

Kwa kizazi Cha Sasa vijana wanaona kuwa Mzee ni jambo mbaya, lakini lazma waelewe kuwa hao wazee ndo Wana run dunia, na ndo hao wan run Tanzania.

Kinachotakiwa kufanywa wao wautumie ujana wao vizuri Ili wajenge maisha yao ya baadae, mana hawatakuwa vijana milele. Pia turudishe utamaduni mtu alikuzidi Umri hata kama ni miaka 5 muheshimu .

Serikali na TCRA waangalie sana hii sumu inasambazwa sana na wasanii, wa msigixo, video vixen, bongo fleva kuwa uzee ni kitu kibaya na hii husababisha wazee kutopata heshima.

According to gen Z uzee ni kuanzia miaka 35 kwenda mbele
 
Hawa ni baadhi ya vijana wapuuzi, ambao ni malimbukeni wa maisha. Wakumbuke maisha ni hatua- mojawapo ya hatua ni kusogea kwa umri. Na wao walishaanza kupiga hizo hatua. Hawatakuwa vijana milele. Wakumbuke pia kuwa; "Chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna". Hayo matusi wanayotukana wanaowaita wazee, na wao wajiandae kuja kutukanwa matusi na dhihaka (endapo Mungu atawajalia kufikia huo uzee) huenda kubwa kuzidi za kwao.
 
Kutojielewa na kuongezeka miaka ila akili za kuku hao wanaojiita wadogo wako on their 20's na 30's ndio ujue kama taifa tuna hasara
 
Wazee waheshimiwe, maana si kila kijana wa sasa ataufikia uzee.
Kwa kawaida pilika pilika za ujana hufunga njia za kufikia uzee.
Hivyo tuwaheshimu wazee wetu kwakuwa jamii inawahitaji kuwapa miongozo.
 
kama ilivyo usela ni pesa na uzee ni pesa pia ukizeeka huna pesa utadharaulika sana.
 
wache wajizuzue tu kwani wao hawataishi kuwa vijana milele.

Pia wamwombe sana Mungu hata awafikishe huo umri wa kuitwa wazee
 
Hasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu
 
Popote nilipo iwe kijiweni au kwenye nyumba ya ibada nimekataa kuitwa mzee. Unaniita mzee kwa mukhtadha upi, je ni kwa heshima au dharau? Hawa vijana huwa nawajibu kuwa wakati unazaliwa mi nilikuwa kinda, ziwezi kukuzaa kwa umri ulio nao. Bora uniite braza au anko inatosha
 
Hana inshu ndio nn? Wewe ndiye unayefanya wazee tudharaulike kwa njia hii
 
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hasa Hawa wa 2000, kinachonisikitisha ni namna vijana Hawa wanavyopromote na kupotray kuwa mtu kuwa Mzee ni kitu kibaya, tabia hii mostly imeanzia Kwa wasanii mfano,

1. Kuna msanii anaitwa Abby chams , alimrefer TID kama yule mbabu mwenye kipara Hana inshu.
2. Social lite karem Simba na rushaina wamesema diva kuwa yule ni mbibi Hana thamani.
3. zari wamemuita sana bibi. Tukinai.

Kwa kizazi Cha Sasa vijana wanaona kuwa Mzee ni jambo mbaya, lakini lazma waelewe kuwa hao wazee ndo Wana run dunia, na ndo hao wan run Tanzania.

Kinachotakiwa kufanywa wao wautumie ujana wao vizuri Ili wajenge maisha yao ya baadae, mana hawatakuwa vijana milele. Pia turudishe utamaduni mtu alikuzidi Umri hata kama ni miaka 5 muheshimu .

Serikali na TCRA waangalie sana hii sumu inasambazwa sana na wasanii, wa msigixo, video vixen, bongo fleva kuwa uzee ni kitu kibaya na hii husababisha wazee kutopata heshima.

According to gen Z uzee ni kuanzia miaka 35 kwenda mbele
Wewe ulitakaje? Mbona mimi humu JF naambiwaGA na Wazee wa JF eti, "Mtoto wa Shule nenda kafanye homework ya shule. Mambo ya JF huyawezi". Na sijawahi kuona unanitetea? Ni sawa Wazee wa JF kutukana vijana?
 
Shida kuna baadhi ya wazee wetu wapumbavu wanataka kuuishi ujana matokeo yake kuna mahala wanakutana na hawa vijana, shida ndio hutokea sasa.

Sasa hao wazee wenzetu uliowataja kama sijui Diva, TID nk shida ni wao sio hao vijana.
Uzee unatukanwa pale Mzee unaposhindwa kuonyesha uzee wako, Kwa maana ya hekima na busara.
 
Ni jambo la hovyo sana ila wabongo hawajali, mtu timu yake ikishinda anweza kukuambia tume wa pdidy au tumewapiga cha nguruwe!
 
Back
Top Bottom