Huu mtindo wa Vijana wa Sasa Kutumia Uzee kukashifu watu , Nini shida

Huu mtindo wa Vijana wa Sasa Kutumia Uzee kukashifu watu , Nini shida

We naye uache mambo ya watoto umeisha zeeka,hadi sasa unawajua wakina Abby chams sijui ndio nani kwanza
 
Mzee bila PE$A na MAFANIKIO yanayoonekana kwa macho, wewe ni MZEE_MZEMBE. dharau hazitaisha kwako kamwe.
 
Popote nilipo iwe kijiweni au kwenye nyumba ya ibada nimekataa kuitwa mzee. Unaniita mzee kwa mukhtadha upi, je ni kwa heshima au dharau? Hawa vijana huwa nawajibu kuwa wakati unazaliwa mi nilikuwa kinda, ziwezi kukuzaa kwa umri ulio nao. Bora uniite braza au anko inatosha
Mimi naona fahari mtu kuniita mzee! Nachukia kijana kuniita Bro
 
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hasa Hawa wa 2000, kinachonisikitisha ni namna vijana Hawa wanavyopromote na kupotray kuwa mtu kuwa Mzee ni kitu kibaya, tabia hii mostly imeanzia Kwa wasanii mfano,

1. Kuna msanii anaitwa Abby chams , alimrefer TID kama yule mbabu mwenye kipara Hana inshu.
2. Social lite karem Simba na rushaina wamesema diva kuwa yule ni mbibi Hana thamani.
3. zari wamemuita sana bibi. Tukinai.

Kwa kizazi Cha Sasa vijana wanaona kuwa Mzee ni jambo mbaya, lakini lazma waelewe kuwa hao wazee ndo Wana run dunia, na ndo hao wan run Tanzania.

Kinachotakiwa kufanywa wao wautumie ujana wao vizuri Ili wajenge maisha yao ya baadae, mana hawatakuwa vijana milele. Pia turudishe utamaduni mtu alikuzidi Umri hata kama ni miaka 5 muheshimu .

Serikali na TCRA waangalie sana hii sumu inasambazwa sana na wasanii, wa msigixo, video vixen, bongo fleva kuwa uzee ni kitu kibaya na hii husababisha wazee kutopata heshima.

According to gen Z uzee ni kuanzia miaka 35 kwenda mbele
Wee mzee mbona una paniki? Hata wao watazeeka na wataitwa hivohivo na watoto wa 2010. Hata kina diva na zari nao waliita wa nyuma yao wazee. Hakuna jipya.
 
Hata kama wajinga pia huzeeka, lakini sio jambo jema kuwakosea adabu wazee tafadhali...🤨
 
TID kuitwa babu na diva kuitwa bibi wameheshimishwa sijaona shida iko wapi

Ulitaka Abby amwite TID "bro"
 
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hasa Hawa wa 2000, kinachonisikitisha ni namna vijana Hawa wanavyopromote na kupotray kuwa mtu kuwa Mzee ni kitu kibaya, tabia hii mostly imeanzia Kwa wasanii mfano,

1. Kuna msanii anaitwa Abby chams , alimrefer TID kama yule mbabu mwenye kipara Hana inshu.
2. Social lite karem Simba na rushaina wamesema diva kuwa yule ni mbibi Hana thamani.
3. zari wamemuita sana bibi. Tukinai.

Kwa kizazi Cha Sasa vijana wanaona kuwa Mzee ni jambo mbaya, lakini lazma waelewe kuwa hao wazee ndo Wana run dunia, na ndo hao wan run Tanzania.

Kinachotakiwa kufanywa wao wautumie ujana wao vizuri Ili wajenge maisha yao ya baadae, mana hawatakuwa vijana milele. Pia turudishe utamaduni mtu alikuzidi Umri hata kama ni miaka 5 muheshimu .

Serikali na TCRA waangalie sana hii sumu inasambazwa sana na wasanii, wa msigixo, video vixen, bongo fleva kuwa uzee ni kitu kibaya na hii husababisha wazee kutopata heshima.

According to gen Z uzee ni kuanzia miaka 35 kwenda mbele
33+ ni mzee...
 
Hasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu
Wewe bata (lil duck) hicho hakitaniwi, unaweza kesho tu kuondoka, mara akaunti yako tunashangaa haiposti kumbe tayari safari ishaisha
 
Mimi naona fahari mtu kuniita mzee! Nachukia kijana kuniita Bro
inategemeana umeitwa hivyo kwa mukhtadha gani. Enzi nipo sekondari vijana tulikuwa tunaitana mzee, unasikia naitwa mzee loth mambo vipi?
 
Mh wanajiona kama vile wao hawatafika umri wa kuitwa mashangazi na kuitwa mubabaz..undhani ni mbali bassiiii soon 28 30 hii hapa unajishangaa uliyekuwa unaita wenzio wazee unaitwa ww ss..alafu wanamentallity za kibwege sana eti umezeeka subiri kufa sjui hawaoni vijana wanavyopukutika wanawaacha wazee..chui wanajikuta nani hawa..
 
Hakikisha kama umekuwa mzee
1. Uwe na kashi flow
Duka lolote nguo etc​
Wakala​
Hisa benki etc​
Hardware​
Halafu usipende kubet​
 
Back
Top Bottom