MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Msiba wa mwisho uliohudhuria ulikuwa wa kijana mwenzio.Hasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu
Jiandae!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiba wa mwisho uliohudhuria ulikuwa wa kijana mwenzio.Hasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu
UmenifurahishaKuna mibabu inajua kutomba balaa.
Unakuta pumbu lina makunyanzi lakini linapeleka moto mpaka papuchi inasawajika.
Cc: Mwachiluwi Poor Brain
Mimi naona fahari mtu kuniita mzee! Nachukia kijana kuniita BroPopote nilipo iwe kijiweni au kwenye nyumba ya ibada nimekataa kuitwa mzee. Unaniita mzee kwa mukhtadha upi, je ni kwa heshima au dharau? Hawa vijana huwa nawajibu kuwa wakati unazaliwa mi nilikuwa kinda, ziwezi kukuzaa kwa umri ulio nao. Bora uniite braza au anko inatosha
We naye uache mambo ya watoto umeisha zeeka,hadi sasa unawajua wakina Abby chams sijui ndio nani kwanz
Hata wewe utakufaHasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu
Wee mzee mbona una paniki? Hata wao watazeeka na wataitwa hivohivo na watoto wa 2010. Hata kina diva na zari nao waliita wa nyuma yao wazee. Hakuna jipya.Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hasa Hawa wa 2000, kinachonisikitisha ni namna vijana Hawa wanavyopromote na kupotray kuwa mtu kuwa Mzee ni kitu kibaya, tabia hii mostly imeanzia Kwa wasanii mfano,
1. Kuna msanii anaitwa Abby chams , alimrefer TID kama yule mbabu mwenye kipara Hana inshu.
2. Social lite karem Simba na rushaina wamesema diva kuwa yule ni mbibi Hana thamani.
3. zari wamemuita sana bibi. Tukinai.
Kwa kizazi Cha Sasa vijana wanaona kuwa Mzee ni jambo mbaya, lakini lazma waelewe kuwa hao wazee ndo Wana run dunia, na ndo hao wan run Tanzania.
Kinachotakiwa kufanywa wao wautumie ujana wao vizuri Ili wajenge maisha yao ya baadae, mana hawatakuwa vijana milele. Pia turudishe utamaduni mtu alikuzidi Umri hata kama ni miaka 5 muheshimu .
Serikali na TCRA waangalie sana hii sumu inasambazwa sana na wasanii, wa msigixo, video vixen, bongo fleva kuwa uzee ni kitu kibaya na hii husababisha wazee kutopata heshima.
According to gen Z uzee ni kuanzia miaka 35 kwenda mbele
33+ ni mzee...Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hasa Hawa wa 2000, kinachonisikitisha ni namna vijana Hawa wanavyopromote na kupotray kuwa mtu kuwa Mzee ni kitu kibaya, tabia hii mostly imeanzia Kwa wasanii mfano,
1. Kuna msanii anaitwa Abby chams , alimrefer TID kama yule mbabu mwenye kipara Hana inshu.
2. Social lite karem Simba na rushaina wamesema diva kuwa yule ni mbibi Hana thamani.
3. zari wamemuita sana bibi. Tukinai.
Kwa kizazi Cha Sasa vijana wanaona kuwa Mzee ni jambo mbaya, lakini lazma waelewe kuwa hao wazee ndo Wana run dunia, na ndo hao wan run Tanzania.
Kinachotakiwa kufanywa wao wautumie ujana wao vizuri Ili wajenge maisha yao ya baadae, mana hawatakuwa vijana milele. Pia turudishe utamaduni mtu alikuzidi Umri hata kama ni miaka 5 muheshimu .
Serikali na TCRA waangalie sana hii sumu inasambazwa sana na wasanii, wa msigixo, video vixen, bongo fleva kuwa uzee ni kitu kibaya na hii husababisha wazee kutopata heshima.
According to gen Z uzee ni kuanzia miaka 35 kwenda mbele
Au kama Uzee linasound vibaya basi tuitwe Senior Citizen kama wa majuu.Hata kama wajinga pia huzeeka, lakini sio jambo jema kuwakosea adabu wazee tafadhali...🤨
Wewe bata (lil duck) hicho hakitaniwi, unaweza kesho tu kuondoka, mara akaunti yako tunashangaa haiposti kumbe tayari safari ishaishaHasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu
Uzee ni baraka napia jambo jema sana mkuu...😊Au kama Uzee linasound vibaya basi tuitwe Senior Citizen kama wa majuu.
inategemeana umeitwa hivyo kwa mukhtadha gani. Enzi nipo sekondari vijana tulikuwa tunaitana mzee, unasikia naitwa mzee loth mambo vipi?Mimi naona fahari mtu kuniita mzee! Nachukia kijana kuniita Bro
Umewaona vijana wenzio wanavyokufa lakini?Hasira za nini nyie wazee mmeshazeeka subirini kifo pumbavu zenu