Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Mitume, manabii na waganga wanategemea wanawake Ili waishi maana ndio wateja wao wakuu.
Ukitaka kukosana na mwanamke mseme vibaya mwamposa
 
Wachaga wanapenda kukaa sehemu yenye mzunguko mkubwa wa pesa. Kinachofuata ni namna gani wanaweza kuitega na kuipata kwa wingi tena kwa kasi ya ajabu.
Hawa ndugu zangu wachaga watakuwa wanafuata miujiza ya pesa ha!ha!
 
Lazima uliwe kwanza ndo ule, sasa wewe unataka kula tu bila kuliwa, haiwezekani. in JK voice.
 
Mambo haya utayakuta KANISANI tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Weee sema kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sitaki kucheka bana
 
Haaahaa na unawakuta wafuasi wakipiga makofi na kusherekea kwa mapambio na vigeregere eti bwana ametenda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Kuamini hizi imani na hao wachungaji inakubidi uwe kipofu wa akili na ujifanye chizi ilihali ukweli upo wazi.

Endeleeni kupoteza muda humo makanisani.
Mnaibiwaa
 
kwenye biblia imeandikwa tutawapata kwa hira ,
haya makambi ya maombezi yapigwe makaufuri
mbona mzee wa upako hayupo kama hao
 
wakristo mazuzu,acha wapigwe Sana tu, ukiwazindua wanakuambia uislam dini ya majini sijui Nini na Nini, wenzao Waislamu hakuna uho upuuzi, Kuna tapeli mmoja nae anajiita eti nabii shillah, Cha ajabu eti pia ana waumini na wanamuamini haswaa,

yaani wanatapeli kindezi Sana aisee
 
Weee mimi nina ndugu yangu kaokoka yani kila mtu kwake mwanga, kila jirani yake mwanga, anaua mijusi kuwa inatumwaga na wachawi, paka yeyote akikatiza anasema ni mwanga, yani yeye kila kitu hivyo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Anakwambia anavunja roho za uchawi na mizimu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ upumbavu kabisa huu.

Hawa watu hiv hakunaga njia mbadara ya kuwatibu kisaikolojia ama kuwapa ushauri nasaha ili waache kuamini ujinga
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Anakwambia anavunja roho za uchawi na mizimu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ upumbavu kabisa huu.

Hawa watu hiv hakunaga njia mbadara ya kuwatibu kisaikolojia ama kuwapa ushauri nasaha ili waache kuamini ujinga
Kwakweli ni kuwaacha mpaka waachike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ