Huu mwaka 2023 nakubali nimekwama

Huu mwaka 2023 nakubali nimekwama

Wewe mzee mwenzangu acha huu ufala wa kuwaza uko mid 30. Kikubwa ni kupambana, haya masuala ya umri ni kujiondolea focus tu. Yaani unapambana na maisha huku unapambana na mshale wa saa!! Utachoka sana. Wanadamu tunapambana, tunarekebisha njia za mapambano, then tunamuachia Mungu apitishe hukumu yake.

ajabu ya mapambano, unaweza fanya makubwa ndani ya siku 7, yakazidi uliyoyafanya ndani ya miaka 20. Na unaweza fanya makubwa kwa miaka 20, na yote yakapotea ndani ya siku 7 tu.
Umenichana mkuu kwa point kuntu. Ahsante kwa kunikumbusha but kiukwel mimi bado niko Early 20🏃🏃🏃
 
Nilifanikiwa kufungua ofisi niliyokua naitamani kipindi chote cha maisha yangu. Ila ilikufa kiajabu sana mpaka sasa sina hamu[emoji17]
Success means failing many times..
 
Una akili mkuu, inaonyesha u mpambanaji
Ukiwa mwanaume duniani hapa unategemewa kuhudumia tu. Ndio maana tunapaswa tulinde sana afya zetu. Ogopa sana una mambo unapaswa kufanya, halafu mwili unagoma. Chanzo?, ulikuwa tungi ukapata ajali. Kama vikwazo, acha Mungu mwenyewe avilete, na si vya kutafuta.
 
Ukiwa mwanaume duniani hapa unategemewa kuhudumia tu. Ndio maana tunapaswa tulinde sana afya zetu. Ogopa sana una mambo unapaswa kufanya, halafu mwili unagoma. Chanzo?, ulikuwa tungi ukapata ajali. Kama vikwazo, acha Mungu mwenyewe avilete, na si vya kutafuta.
Kweli bro
 
Back
Top Bottom