Huu mwaka kweli wangu, maana majanga hayaishi

Huu mwaka kweli wangu, maana majanga hayaishi

You know nothing bout life
You has a broad range of application from being slow of mind indicating a lack of intelligence, care or reason dullness of feeling or sensation torpidity, senseless, insensitivity or lacking interest or point vexing, exasperating.
And good enough I am not perfect, but if I looked perfect to everyone I must have been rocking imperfect perfectly to a few imperfect souls that seek imperfection vs. perfection, in an imperfect world where God asks us to seek perfection for our imperfect souls.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Total rubbish, usiishi kwa kukariri
Let me gives you some little lesson...
No matter how talented you are or what you’ve accomplished, there are certain phrases that instantly change the way people see you and can forever cast you in a negative light. These phrases are so loaded with negative implications that they undermine careers in short order.
And by the way, this is ChitChat row.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, siku ya leo haikuwa mbaya sana. Wote tuliamka salama na baada ya wife kunichemshia maji ya kuoga kwenye kuni basi akawa pale uwani anafua vikanga vya mkojo alivyo tumia usiku uliopita.
Baada ya kunitia viungo kwenye maji ya kuoga, basi nika karibishwa nikaoge kama kawaida.
Mzee kama kawaida nikajifunga msuli na nikachukuwa mswaki wangu wa mti, huyoooo nikatoka nje ili nikakoge.

Nilipo toka nje pale uwani palikuwa na wamama kama wenne wengine wapangaji wenzetu, walikuwa wanafanya kazi za hapa na pale, kama kawaida nikawasabahi na kisha nikamchukuwa mtoto wetu mdogo aliekuwa anacheza pembeni ya mama yake na nikawa kidogo nacheza nae huku nikimrusha juu na tukifurahi kwa pamoja.

Lahaula....Mara paap, msuli ukadondoka chini na wakati huo mtoto alikuwa hewani nimemrusha juu. Wakuu hapa kidogo nilichanganyikiwa maana wale wamama nao walianza kupiga kelele na wengine wakakimbilia ndani na mmoja yeye naona alisimama na akawa ananiangalia zaidi kuanzia maeneo ya kiunoni kushuka chini.

Baada ya kelele ile, ndipo wife akakimbia chap kuja kuniokotea msuli na kunihifadhi wallah.
Dahhh.....

Leo nimeaibika sana, ingawa kuna huyu mama mpangaji mwenzetu ambae alikomaa kunitizama saizi naona kila tukikutana anatabasamu tu, sasa sijui bado ananicheka ama ananifurahia...!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mh mjumbe kwa kudondokewa na msuli, kila jambo lina faida yake, jiandae kuvuna matunda ya msuli kujibwaga chini
 
Pole sana mh mjumbe kwa kudondokewa na msuli, kila jambo lina faida yake, jiandae kuvuna matunda ya msuli kujibwaga chini
Ahsante kwa kunitia moyo mh mjumbe, hapa naona huyu mama ambae hakukimbia ndani akizidisha tu tabasamu kila tunapo pishana kwenye kikorido

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom