Huu mwaka tuliwaambia Wakenya

Hiyo second one ya Mombasa msije sahau kujenga wjth brt system , msije sema hatukuwaambia

Send by APOLO 1
We have our plans and as I told you, we don't eagerly need BRT.
 
Kuhusu project za TZ ubungo flyover na ubora wake tofauti na za Kenya zilizo jengwa kwa kupangwa matofari tena zikiwa zime pinda pinda.

😂😂😂😂 Kenya ya 80s ndio Tanzania ya 2025
 
U mean this one [emoji16][emoji16][emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
So utuelwekee hapa..navyowajua Wakenya hawawezi ficha picha kwenye Jambo Kama hili
Tumechoka kupost hizo picha na zaidi ya yote hizo barabara zetu tumeshazizoea Hadi kuchoka.
 
Kuhusu project za TZ ubungo flyover na ubora wake tofauti na za Kenya zilizo jengwa kwa kupangwa matofari tena zikiwa zime pinda pinda.

Nyie mumejenga fly over moja sasa sisi Wakenya hatuwezi pumua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…