Huu Mwaka umefika mwisho Naomba atokee mtu atuwekee Nywira za kuishi Maisha ya Mazuri

Huu Mwaka umefika mwisho Naomba atokee mtu atuwekee Nywira za kuishi Maisha ya Mazuri

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hapa namaanisha Maisha Mazuri
Kula uhakika
Kulala uhakika
Kuvaa uhakika

Unaishi Nyumba nzuri yenye hadhi ya kukaa Binadamu

Unaendesha kipandio chochote chenye Muonekano

Una Biashara au Kazi iliyo-simama

Unasaidia Masikini , wazazi, majirani na Yatima nk.

Huna stress za Mapenzi

Account 🏦 bank balance inasoma vizuri .

Upo karibu na Mungu na unaishi Katika Utakatifu

Naomba Mtu anayeishi hizi moment atupatie Njia za kuzingatia. Mimi binafsi Naamini Mungu ndo kila kitu ukiishi Katika yeye Mafanikio unagusa tu.
 
Ushapiga stori na Ally Choki wa Twanga Pepeta kuhusu password ya maisha?
 
Mstari wa mwisho ndio umemaliza kila kitu! Ni kumtegemea Mungu kisha pambana, kikubwa zaidi ni kuacha zile njia mbaya zinazokupeleka kwenye mashaka, kwa mfano uzinifu nk.
 
Fungu la 10.
Japo mimi nilishindwa kuwa mwaminifu kwa hicho nilichokuwa napata
 
Nilitaka nikupe nywila ambayo inaanzia 0713
Ila haya maneno
"Mimi binafsi Naamini Mungu ndo kila kitu ukiishi Katika yeye Mafanikio unagusa tu."
YAMENIKATA NGEBE
 
Back
Top Bottom