Ni upumbavu hakika
Yeye yuko wapiDuh me wife kanipigia hapa, nimepita Njia ya KIJICHI nimenusurika
Bado tumekwama barabaraniMwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.
Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.
Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.
Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.
Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.
Sema Mwenge oyeeeeee
Mwenge ni bora kuliko wewe fahamu hivyoImagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa
Tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse
Duh..... I smell blood here!Yeye yuko wapi
Nipo naye kumbe ndo wife wako. MashaalahDuh me wife kanipigia hapa, nimepita Njia ya KIJICHI nimenusurika
Haha jamaa kazugwaDuh..... I smell blood here!
Si ndo hapo sasaWatu wa dasalama bhana kwa kujipa umuhimu, kwahyo mwenge uwe unakimbizwaga tu huku mikoani?
😄😄Duh..... I smell blood here!
Kwani unakimbizwa ndani kwako?Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa
Tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse
Nmesikitika sanaSi ndo hapo sasa
Ndo maana tuli suggest Mkoa wa Pwani uvunjwe uwe Dar ili hao wanajidai wapo Dar wapunguze malingo na nyodoWatu wa dasalama bhana kwa kujipa umuhimu, kwahyo mwenge uwe unakimbizwaga tu huku mikoani?