Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
Mwenge wenyewe hauna maana yoyote, katika vitu vya kipuuzi nchi hii mwenge ni namba moja.

Mwaka jana nilikwama kwenye foleni hivyohivyo masaa mawili nilikasirika sana, poleni sana Mkuu.
 
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
Sio dar tu, uende makumbusho kbs
 
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
Unavyolalamika watafutaji unatuboa
 
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
Na hauna faida yoyote
 
Huu Mwenge Usiwe Unakimbizwa Dar es Salaam, Unatuchosha na Kutupotezea Muda
Mbio za mwenge ni kichaka cha ufisadi mkubwa wa kupiga pesa kwa sasa. Kukimbiza huo moto nchi nzima kunagharimu mabilioni ya shilingi za walipa kodi bila tija yoyote.

Ni wakati sasa wa kuhifadhi hilo dude kwenye Makumbusho ya Taifa ili kuokoa fedha za umma na kuondoa usumbufu kwa wananchi
 
Back
Top Bottom