Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wahamie huko pwani kupunguza jam darNdo maana tuli suggest Mkoa wa Pwani uvunjwe uwe Dar ili hao wanajidai wapo Dar wapunguze malingo na nyodo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahamie huko pwani kupunguza jam darNdo maana tuli suggest Mkoa wa Pwani uvunjwe uwe Dar ili hao wanajidai wapo Dar wapunguze malingo na nyodo
Mwenge wenyewe hauna maana yoyote, katika vitu vya kipuuzi nchi hii mwenge ni namba moja.Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse
Basi jua napo ni mkoaniKabisa yani!
Nchi hii ni kubwa sana
Pita ferryTatizo nini kwani?
Sio dar tu, uende makumbusho kbsImagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse
Utani wa ngumi, huuNipo naye kumbe ndo wife wako. Mashaalah
Ndio ujiongezeWangetutangazia jana.
Tusingejileta huku.
Huwezi kuipangia serikali nini cha kufanya mkuu.Movement ya Dar es Salaam ni kubwa sana.
Dar es Salaam inaingiza pesa nyingi kuliko mikoa yote.
Unapitisha Mwenge eneo ambalo lina magari mengi sana unategemea nini?
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Watu wa dasalama bhana kwa kujipa umuhimu, kwahyo mwenge uwe unakimbizwaga tu huku mikoani?
Unavyolalamika watafutaji unatuboaImagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse
Na hauna faida yoyoteImagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.
Bora ukapange foleni kwenye kivuko.
Its worse
Ufungiwe makumbusho hauna maana yoyoteWatu wa dasalama bhana kwa kujipa umuhimu, kwahyo mwenge uwe unakimbizwaga tu huku mikoani?
Mbio za mwenge ni kichaka cha ufisadi mkubwa wa kupiga pesa kwa sasa. Kukimbiza huo moto nchi nzima kunagharimu mabilioni ya shilingi za walipa kodi bila tija yoyote.Huu Mwenge Usiwe Unakimbizwa Dar es Salaam, Unatuchosha na Kutupotezea Muda