Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

Huu Mwenge usiwe unakimbizwa Dar es Salaam, unatuchosha na kutupotezea muda

Leo unakuja bunju yani hii nchi haki Afrika **** shida. Barabra ya mabwepande mbovu kwa miaka mingi. Ila kisa leo mwenge unapita wamepitisha grader wakamwaga na kokoto hapo ili mwenge upite vzuri na baada ya siku kadhaa itarudi kuwa vile vile. Mimi leo nilikuwa nna safari ya kwenda down town ila siendi maana najua nitakuwa stcuk kwenye folen kuanzia bunju hadi mwenge huko.
Mimi sielewi haya masuala ya kutengeneza barabara kiongozi akiwa anapita. Kuna siku rais nadhani ilikuwa feb alienda mtembelea mzee Makamba. Ile barabara ya kuelekea mtaani kwake mbovu sana miaka na miaka. Ila siki 2 kabla likapitishwa gereda ikachongwa na kumwaga kifusi. Mabanda ya wauza mboga mboga yakaondolewa. Boda bida wakaambiwa waondoke pale kituoni wakae mbali. Lakini hawakusema kuwa atapita rais. Ila mimi nikabaki najiuliza baada ya kupita rais wanajaribu kumficha umasikini walionao anaowatawala hadi wanabomoa mabanda yao au maana sielewi. Barabara yenyewe baada ya mwez ikarudi katika hali yake na kwa makamba hata hakukaa zaidi ya dakika 30
Sio mchezo jana tumekaa Darajani Masaa mawili na Dakika 25.

Unafika kwa muhindi analeta shida balaa wakati yeye anaishi nyumba hiyo hiyo
 
Mtanzania na muda wapi na wapi bana. Mambo chungu nzima ya kipuuzi wabongo wanafanya ya kupoteza muda ije kuwa hii ya mwenge wa masaa mawili.
 
Mtanzania na muda wapi na wapi bana. Mambo chungu nzima ya kipuuzi wabongo wanafanya ya kupoteza muda ije kuwa hii ya mwenge wa masaa mawili.
Siku ukifanya kazi na muhindi utanielewa mkuu. Kwenye ishu ya muda.
 
Mwaka aliokufa Mwenge haukukimbizwa sababu ya covid...mwaka aliokufa na mwaka WA nyuma yake na kweli hakutoboa
Hauna manufaa yeyote zaidi ya hasara
Watoto wa zinaa tu ndio wanajaa mitaani na uvujishaji wa hela, ndio watu wanapopiga hapo
Baada ya covid wangeachana nao tu
 

Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
Tafuta nchi ya kuhamia, mwenge ni tunu ya Taifa. Nna wasiwasi na uraia wako
 

Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.

In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!

Disappointment ya hali ya juu.

Wakazi wa Kigamboni tunaotumia daraja kwenda mjini, Muda huu usijaribu.

Bora ukapange foleni kwenye kivuko.

Its worse
We mshamba umetoka mkoani kwako leo unaiona Dsm ni kwenu na minyodo ya kipuuzi. Dar ina wenyewe we wakuja tu. Rudi kwenu we bwege
 
Ila Njerere au basi!
Enzi hizo primary tunaimba mwenge ooooh mwenge!!! Mbioo mbiooo mwenge tunaukimbiza!!! Mbio mbio hadi makao makuu mbio mbiooo!!
 
Mwenge wa uhuru ni kielelezo cha uhuru wa Tanzania, ni taa yenye kumulika nchi na miradi yake.

Ni nyota inayotukumbusha kwamba uhuru ni jambo muhimu na la kipekee kwa binadamu aliye kamili.

Hivyo basi hata hapo kwenye foleni yakupasa uwe na fikra chanya ya kutafakuri uzuri na ubora wa Mwenge na siyo kwamba unapoteza muda.

Ni muhimu kila Mtanzania akaguswa na Mbio za Mwenge, ukiwemo wewe uliyeguswa ukiwa kwenye foleni.

Usijinunishe bali furahi na tafakari huu utamaduni wetu adhimu wa kuukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Sema Mwenge oyeeeeee
Hakuna kitu kama hiki. Mnaoshiriki na kuamini haya mambo ni mnaamini katika ushirikina na ibada za wengine msizozijua.

Kwa hiyo tusipokimbiza mwenge ndio uhuru utaondoka tutarudi kutawaliwa? Ni uhuru gani ambao tunao ikiwa bajeti yetu tu ni tegemezi kwa kiwango kikubwa kwa hao waliowahi kututawala?
 
Mwenge bdo upo sana tu hata miaka 100 ijayo
 
Back
Top Bottom