MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Mimi kesho nasafiri kwenda Zanzibar na Mchepuko Wangu. Kurudi Dar ni Mpaka Tarehe 30.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unajua tena mambo ya sikukuu kaka mkubwaNaona unapambania Nyuchi Mwanetu
Mimi bachelor bado sijaoa wala sina mchumba chiefKwanini usiende na familia yako, kwangu kuona familia inafurahi na mimi nikiwa miongoni mwao hua ni faraja sana.
Ndomu haraam mrembo. Wengine sijui MnawezajeUsisahau kutumia ndomu mkuu
Naishi jirani na muhimbili mkuuHongera kwa kupata UTI na gono
Kwahiyo utavunja/utajenga?Mimi kesho nasafiri kwenda Zanzibar na Mchepuko Wangu. Kurudi Dar ni Mpaka Tarehe 30.
View attachment 2455918
Na sisi wapi mkuu?nasikia wanakuita "wakienyeji"Usisahau kutumia ndomu mkuu
Sidhani kama atakuelewaUsisahau kutumia ndomu mkuu
Wanawake wenyewe sikuiz hawapendi izo vitu ukivaa wanakuvua wanasingizia wanaumia mara hawaenjoySidhani kama atakuelewa
Wenye vijisenti vyao wataanzishaNa mengine kuanzishwa
HayatuhusuMimi kesho nasafiri kwenda Zanzibar na Mchepuko Wangu. Kurudi Dar ni Mpaka Tarehe 30.
View attachment 2455918
[emoji28][emoji28][emoji28]Hongera kwa kupata UTI na gono
Hata mimi naonaHayatuhusu