MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #41
Kwanini mkuu😄😄Siku zote mahusiano yakivunjika mwenye makosa ni yule anayetumia GBWhatsApp au anaekaa Dar au single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu😄😄Siku zote mahusiano yakivunjika mwenye makosa ni yule anayetumia GBWhatsApp au anaekaa Dar au single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini bwana? Wee mkule mrembo bwana vizuri kabisa tena kojolea ndani ndani kabisaaaaaIyo komenti natamani mods waifute mkuu imeniumiza sana🥲
Ushauri muhimu sana huuUsisahau kutumia ndomu mkuu
Daaah haya magonjwa aise hapa kiuno kimaniuma kama nimegongelewa na msumari kiunoniHongera kwa kupata UTI na gono
If you are a fool at 20, chances are you'll still be a fool at 50.Mimi kesho nasafiri kwenda Zanzibar na Mchepuko Wangu. Kurudi Dar ni Mpaka Tarehe 30.
View attachment 2455918
And you comment foolsIf you are a fool at 20, chances are you'll still be a fool at 50.
Most people are born fools, they live fools, and they die fools.
Aisee fanya uoe tu ili lengo lakuwa na michepuko wengi litimie .Nilio nao wote ni michepuko
YOU ARE A FOOL.And you comment fools
Huna hela ya vacation nini mkuu mbona makasiriko[emoji28][emoji28]YOU ARE A FOOL.
Muda ukifika nitaoaAisee fanya uoe tu ili lengo lakuwa na michepuko wengi litimie .
Wenye hela hawajitangazi.Huna hela ya vacation nini mkuu mbona makasiriko[emoji28][emoji28]
Kauli za wasiokua nazoWenye hela hawajitangazi.
Wewe unazo ?Kauli za wasiokua nazo
Apana mkuu bado nazitafuta.Wewe unazo ?
Mwanaume haachwi chiefNa mengi yanaenda kuzaliwa,
Linapokufa penzi, basi penzi jipya huzaliwa [emoji23]
Inapunguza utamUsisahau kutumia ndomu mkuu