Huu mwezi mahusiano mengi yanaenda kuvunjika

Huu mwezi mahusiano mengi yanaenda kuvunjika

Na sisi wapi mkuu?nasikia wanakuita "wakienyeji"
Wewe na nani ndugu yangu.

Wakienyeji T 1990 ELY baba njoo huku..kuna mtu anataka kubadilisha historia ya “wa kienyeji”

Ndugu yangu Zulu man with some power hili jina la wa kienyeji kipindi cha nyuma kidogo jukwaa na selfika..ndugu T 1990 ELY ndie (founder)ndie aliyelianzisha..ninaimani wapenzi wa selfika wengi wanakumbukumbu na vyakula alivyokuwa anapost Elly mjini selfika..so ikitokea nimeandika/Elly kaandika wa kienyeji basi mbele Yake kama sio T 1990 ELY atakuwa mentioned basi ni Chakorii.

Kwa kifupi nimekuelewesha.Kwa maelezo zaidi wakienyeji mwenyewe atakuja kulitolea ufafanuzi
 
Back
Top Bottom