Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Nendeni KWENYE mitandao yaani wachinaa wamejazana kuomba urafiki kila sehemu

Huko kwa wakubwa ndio balaa wanaomba na namba za SIMU na jinsi ya kufika Tanzania

Watanzania msichezee opportunity ndio sasa tuoe Wachina kuongeza urafiki Mwemaa wa serikali zetu tukufuu Tanzania na China
 
Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.


我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
dd120651148556995c74b1c26167298b.jpg
 
Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.


我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
View attachment 1372730
Anaitwa Lie jueng anaomba urafiki na mtu toka East Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka link
Nendeni KWENYE mitandaa yaan wachinaa wamejazana kuomba urafiki kila sehemuu

Hukoo kwa wakubwaa ndioo balaaa wanaombaa na namba za SIMU na jinsi ya kufika Tanzania

Watanzania msichezee opportunity ndioo sasaa tuoe Wachinaa kuongeza urafiki Mwemaa wa serikali zetu tukufuu Tanzania na china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nendeni KWENYE mitandaa yaan wachinaa wamejazana kuomba urafiki kila sehemuu

Hukoo kwa wakubwaa ndioo balaaa wanaombaa na namba za SIMU na jinsi ya kufika Tanzania

Watanzania msichezee opportunity ndioo sasaa tuoe Wachinaa kuongeza urafiki Mwemaa wa serikali zetu tukufuu Tanzania na china
Mchina? Hata mvuto hana!
 
Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.


我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
View attachment 1372730
Wanawake wanaume mbona hawatuombi urafiki siee[emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi ona mchina mzuri wa kutisha.Wanatumwili tudogo,sura pana,wafupi,pasi na malienge.Watoto chotara wa kichina na waafrika huwa hata sio wazuri kama Afrika +Arabs,African +white, African+ Indian.Acheni kushoboka na vitu vibovu hata hela hawana kama mademu was kizungu au kiarabu.Bora ukaoe kwa bakhresa utapata chochote sio wachina pumbafu tu!!
 
Sijawahi ona mchina mzuri wa kutisha.Wanatumwili tudogo,sura pana,wafupi,pasi na malienge.Watoto chotara wa kichina na waafrika huwa hata sio wazuri kama Afrika +Arabs,African +white, African+ Indian.Acheni kushoboka na vitu vibovu hata hela hawana kama mademu was kizungu au kiarabu.Bora ukaoe kwa bakhresa utapata chochote sio wachina pumbafu tu!!
Acha watu wabadili ukoo bwashee,ukoo mzima ma black acha kidogo tuchanganye colour mzee baba,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemdukua huyu hapa, vijana kazi kwenu, ila lugha hapo chini sijajua maana yake mtatafasiri wenyewe.


我的名字叫lie jueng,住在廣州北面的瓦欣省,我正在尋找一個來自東部非洲的朋友,準備在+8624597088上看到我的WhatsApp編號。
View attachment 1372730
Ila wawe makini
My name is lie jueng and I live in Wahin Province, north of Guangzhou. I am looking for a friend from East Africa and am going to see my WhatsApp number on +8624597088
 
kwa mantiki hiyo serikali inabidi iongeze vipimo vya teknolojia ya hali ya juu airport na bandarini vya kutambua corona, maana wanavyomiminika kwa wingi huku e.africa
 
Back
Top Bottom