BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Nendeni KWENYE mitandao yaani wachinaa wamejazana kuomba urafiki kila sehemu
Huko kwa wakubwa ndio balaa wanaomba na namba za SIMU na jinsi ya kufika Tanzania
Watanzania msichezee opportunity ndio sasa tuoe Wachina kuongeza urafiki Mwemaa wa serikali zetu tukufuu Tanzania na China
Huko kwa wakubwa ndio balaa wanaomba na namba za SIMU na jinsi ya kufika Tanzania
Watanzania msichezee opportunity ndio sasa tuoe Wachina kuongeza urafiki Mwemaa wa serikali zetu tukufuu Tanzania na China