Msigusane sasa nazani tamko la Ummy mmelisikia😃😃Sio mpenzi wa maji ila itabidi nianze sasa na ndimu na machungwa nimepitia na yeye nampeleka
Ntarudi tuombeane tu
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mi nishaenda korea mzee wala sigeuzi huoni kitu hicho hapo juu cheusi flani muonekano wa kikorea rangi mchanganyiko flani huvi yani huaribu kizaigot chenuMkuu kwa upande wa Asia mademu wakutoka nao ni Koreans na Philippines kidoogo, ila Koreans ni moto wa kuotea mbali, ila hawana Chris, kwa upande wa sura hutaisha hamu ya kumwangalia na muda wote kumwambia "I love you baby"[emoji846][emoji846][emoji846]
Wachina haha kwanza wachafu, naongea by experience (Sio ya kugegeda bali kuwa karibu nao)
ni toyota coronaMahari ndo corona au..?
Halafu jina corona limekaa Kama aina fulani ya gari nzuri nzuri hivi[emoji23][emoji23]
Roho mbaya at workNafikiri huu mwaka utakuwa wa kihistory huko kwao maana walikuwa wanalinga sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nishadate na Korean woman na alishakuja mpaka TZ, kilichozingua ni ulokole niliokuwa nao wakati anatua ( JKNIA kipindi hicho cha 2010) nipo mwaka wa pili UDSM.Mi nishaenda korea mzee wala sigeuzi huoni kitu hicho hapo juu cheusi flani muonekano wa kikorea rangi mchanganyiko flani huvi yani huaribu kizaigot chenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana Hips na makalio makubwa? Huo ndio ugonjwa wetu wababaa wa kiafrika.Waafrika waoao wachina ni ulimbukeni wa rangi nyeupe tu hawana uzuri wowote mkuu.Wanawake wanaofanana maumbile na waafrika ni warabu tu ndio walau hips na makalio makubwa utayaona.Ninahisi warabu wana damu ya waafrika kwa wing kuliko weupe wengine.Mkuu kwa upande wa Asia mademu wakutoka nao ni Koreans na Philippines kidoogo, ila Koreans ni moto wa kuotea mbali, ila hawana Chris, kwa upande wa sura hutaisha hamu ya kumwangalia na muda wote kumwambia "I love you baby"🙂🙂🙂
Wachina haha kwanza wachafu, naongea by experience (Sio ya kugegeda bali kuwa karibu nao)
Wanamapozi vilevile kama ya kwenye movie zao? Ile "Saarange"Mi nishadate na Korean woman na alishakuja mpaka TZ, kilichozingua ni ulokole niliokuwa nao wakati anatua ( JKNIA kipindi hicho cha 2010) nipo mwaka wa pili UDSM.
Tuliendelea na mahusiano yetu ila ilifikia kipindi akaona namzingua. Can't tell any more of it coz naumia whenever I remember of her... She real loved me
Hahahaha! Halafu kama wana utoto utoto hivi... Yaani huwa nawashangaa sana.Mkuu mavitu wanayo kula mavitunguu mabichi maviungo tofauti tofauti!
Watu wote wanaharufu.Hata Dada zetu kuna wakati akichojoa chumba chote hunuka yeye.Halafu wanawake wa ki-China wana harufu fulani hivi sijui ni mafuta wanayopakaa?
Hapana ni wewe tu utakavyojiexpose kwaoWanamapozi vilevile kama ya kwenye movie zao? Ile "Saarange"
Yani ukashindwa kumpa mimba aiseee umeyumba weweMi nishadate na Korean woman na alishakuja mpaka TZ, kilichozingua ni ulokole niliokuwa nao wakati anatua ( JKNIA kipindi hicho cha 2010) nipo mwaka wa pili UDSM.
Tuliendelea na mahusiano yetu ila ilifikia kipindi akaona namzingua. Can't tell any more of it coz naumia whenever I remember of her... She real loved me
Ni kweli kabisa mkuu!Hahahaha! Halafu kama wana utoto utoto hivi... Yaani huwa nawashangaa sana.
Haha hapana zile movie tu, ila wako vizuri sana and they know how to care their men😂😂Wanamapozi vilevile kama ya kwenye movie zao? Ile "Saarange"
[emoji1] [emoji1] [emoji1]ana chura ?
Daah bro umeweza kuwatofauti ila mimi huwa inaniwia vigumu sana kutofautisha.Huyu Sio Mchina bali ana asili ya South Korea.
Wachina wana macho ya kubana/kuwamba na wengi wao ni wafupi tofauti na Koreans and Japanese
Unaleta picha za vyombo vikali vikali to mkuu. 😋😋View attachment 1374209
Na huyu je ni mchina au mkorea?
Nipe namba yake nikusaidieKuna mmoja hapa ananiambia ooh, bla blaa Tanzania it's beautiful nataka kuja mkoa...... Unaweza ukanipa kampani... Hadi sasa najitafakari nimjibube... Mabaharia wenzangu nipeni ushauri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha!! We jamaa banaHii ndio combination ya africa na korea kitu kinatoa cha ukweli tu kumbe ngoja nijitoseage View attachment 1373924
Sent using Jamii Forums mobile app