Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

Sio mpenzi wa maji ila itabidi nianze sasa na ndimu na machungwa nimepitia na yeye nampeleka
Ntarudi tuombeane tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Msigusane sasa nazani tamko la Ummy mmelisikia😃😃
 

Attachments

  • IMG-20200229-WA0021.jpg
    IMG-20200229-WA0021.jpg
    22.8 KB · Views: 4
Mkuu kwa upande wa Asia mademu wakutoka nao ni Koreans na Philippines kidoogo, ila Koreans ni moto wa kuotea mbali, ila hawana Chris, kwa upande wa sura hutaisha hamu ya kumwangalia na muda wote kumwambia "I love you baby"[emoji846][emoji846][emoji846]
Wachina haha kwanza wachafu, naongea by experience (Sio ya kugegeda bali kuwa karibu nao)
Mi nishaenda korea mzee wala sigeuzi huoni kitu hicho hapo juu cheusi flani muonekano wa kikorea rangi mchanganyiko flani huvi yani huaribu kizaigot chenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nishaenda korea mzee wala sigeuzi huoni kitu hicho hapo juu cheusi flani muonekano wa kikorea rangi mchanganyiko flani huvi yani huaribu kizaigot chenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nishadate na Korean woman na alishakuja mpaka TZ, kilichozingua ni ulokole niliokuwa nao wakati anatua ( JKNIA kipindi hicho cha 2010) nipo mwaka wa pili UDSM.
Tuliendelea na mahusiano yetu ila ilifikia kipindi akaona namzingua. Can't tell any more of it coz naumia whenever I remember of her... She real loved me
 
Mkuu kwa upande wa Asia mademu wakutoka nao ni Koreans na Philippines kidoogo, ila Koreans ni moto wa kuotea mbali, ila hawana Chris, kwa upande wa sura hutaisha hamu ya kumwangalia na muda wote kumwambia "I love you baby"🙂🙂🙂
Wachina haha kwanza wachafu, naongea by experience (Sio ya kugegeda bali kuwa karibu nao)
Wana Hips na makalio makubwa? Huo ndio ugonjwa wetu wababaa wa kiafrika.Waafrika waoao wachina ni ulimbukeni wa rangi nyeupe tu hawana uzuri wowote mkuu.Wanawake wanaofanana maumbile na waafrika ni warabu tu ndio walau hips na makalio makubwa utayaona.Ninahisi warabu wana damu ya waafrika kwa wing kuliko weupe wengine.
 
Mi nishadate na Korean woman na alishakuja mpaka TZ, kilichozingua ni ulokole niliokuwa nao wakati anatua ( JKNIA kipindi hicho cha 2010) nipo mwaka wa pili UDSM.
Tuliendelea na mahusiano yetu ila ilifikia kipindi akaona namzingua. Can't tell any more of it coz naumia whenever I remember of her... She real loved me
Wanamapozi vilevile kama ya kwenye movie zao? Ile "Saarange"
 
Mi nishadate na Korean woman na alishakuja mpaka TZ, kilichozingua ni ulokole niliokuwa nao wakati anatua ( JKNIA kipindi hicho cha 2010) nipo mwaka wa pili UDSM.
Tuliendelea na mahusiano yetu ila ilifikia kipindi akaona namzingua. Can't tell any more of it coz naumia whenever I remember of her... She real loved me
Yani ukashindwa kumpa mimba aiseee umeyumba wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Sio Mchina bali ana asili ya South Korea.
Wachina wana macho ya kubana/kuwamba na wengi wao ni wafupi tofauti na Koreans and Japanese
Daah bro umeweza kuwatofauti ila mimi huwa inaniwia vigumu sana kutofautisha.
 
Back
Top Bottom