Huu ndio mda muafaka kuoa wachinaa

Daah pole sana bro
 
😂😂😂😂 Mkuu ungejuwa 🙆 dah adi kutoka North Korea nshafanikisha!! Pigu za maisha tu ndio imekuwa taabu!
Oh kumbe ulikuwa huko huko, nazani utakuwa umezichezea Sana. Tupe ma experience mkuu
 

Attachments

  • IMG-20200302-WA0057.jpg
    112.4 KB · Views: 2
  • IMG-20200302-WA0055.jpg
    26.8 KB · Views: 2
  • IMG-20200302-WA0053.jpg
    75.8 KB · Views: 2
  • IMG-20200302-WA0049.jpg
    86.1 KB · Views: 1
  • IMG-20200302-WA0043.jpg
    74.8 KB · Views: 2
Ulisemalo nakukubali asilimia mia moja. Yule mkorea wangu alikuwa anafunga safari kunifuata Dar. Ningekuwa niko matured as now hakika ningekuwa nishamzalisha watoto kama wawili tunaishi pamoja by now.
Wana mapenzi ya kweli haswa
Mapenzi yapo huko mkuu!
Sio huku mbona hujatuma na yakutolea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana mkuu huku tuna wezi wa mapenzi na pesa!
Ukitumiwa msg 4 moja ya kuomba pesa!
 
Pole Sana mkuu huku tuna wezi wa mapenzi na pesa!
Ukitumiwa msg 4 moja ya kuomba pesa!
Hawa mademu wa kibongo sijui wakoje, Yaani kuomba hela imekuwa kama fashion. Jana nimechukua Namba sehemu, jioni ananitext kuwa anaumwa anaomba hela aend hospitali 😀
Nikamdadisi anachoumwa nikajiridhisha kuwa haumwi wala nini, ilikuwa ni gia tu ya kunichomoa hela haha
 
Utasikia tu baby nikuambie kitu dah.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…