Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga kweli.Safiii mzeebaba....
Mimi huwa naanza kupika mboga,nikianza na wali hua naugonga hvyo hvyo kupika mboga napotezea[emoji3][emoji3]
Weeeeh! Huyu msukuma ukimpatia wala hawi mkali. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, usitafute visingizio hapa.Mtoa mada[emoji23].
Urudi sasa kwenye swali lako la awali.
Hahahahahah dar hauji dada utagongwa na magari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndivyo alivyosema, si unaona hata kuwaza mnawaza sawa!!! Hebu fanyeni namna nijepo na mimi Dar kula ubwabwa. Maana Dar napasikiaga tu[emoji134][emoji134][emoji134]
Ee ila watu walikula, kwa shingo upandeUlipika ugali mbichi eeeh?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fitna, mengine ngoja nianze uchunguzi
Duuuuuuuuhhhhhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kama mnafikiri tunawahitaji ili mje mpike mtasubiri sana
Kwani mwenza kuna siku uliwahi kupika ugali ukaiva?[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha ugali niliopika jana[emoji85][emoji85]
Lazima useme hivyo ili uendeleze ukaidi wakoHata sikumbuki mara ya mwisho kuharibu lini!
[emoji87][emoji87][emoji87] kumbe, mimi nazipenda sana mbona hazijawahi kuniletea hiyo shida