matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
1: Uyahudi (Judaism).
Hawa ndio wanaoongoza kwa utajiri kwani wao wanaamini torah (vitabu vitano vya Musa) vina sheria 613 ambazo ni code za utajiri ukizitumia maishani. Pia wanaamini TANAKH (Yoshua hadi malaki) pamoja na vitabu vyao vinavyotafsiri maandiko hayo kuna siri kubwa za utajiri. Waumini wanazitumia kutajirika. Wao mtu masikini ni sawa na mtu aliyekufa.
2: Mainstream Protestantism (Ulokole wa msimamo wa wastani).
Hawa pia kwa sababu wanahamasishana sana injili ya utajirisho. Wanaamini pamoja na yote Mungu kawabariki hapahapa duniani.
3: UKATORIKI
Hawa kwa sababu tayari wanabase ya miaka zaidi ya 2000. Na dini yao imejifungamanisha na kaisali hivyo ni rahisi kupata koneksheni. Lakini wanashika nafasi hii ya tatu kwa sababu bado wanaathiriwa na nadharia za Kigiriki ambazo ziliingizwa kanisani ambazo zinaamini vitu vinavyoonekana ni vya kuharibika. Wapo wanaoamini katika umasikini ndio ukiroho, ndio maana wengine wanatembea hadi peku wakati Yesu alivaa kobazi muda wote.
4: Wamwisho ni Waprotestant wa msimamo mkali ( wasabato, Jehovah witness na wababtist etc).
Hawa mambo yao mengi wameyahamishia katika ulimwengu ujao, chochote kuhusu huu ulimwengi wanaona kama ni anasa. Hakuna uhamaishwaji wa mistari ya biblia inayohusu uwekezaji, kufanya mambo makubwa kiuchumi maana hata hivyo Yesu alimjibu Petro atabarikiwa hapa duniani na mbinguni zaidi. Ujio wa Yesu haraka usiojulikana siku umewachanganya wasijue wafanye nini. Hii hali ya kusita imewarudisha nyuma. Pia wamehusisha utajiri wa mali na ufreemason au ushetani na ukosefu wa uadilifu bila kujua Mungu wao ni Mungu wa mabilionea Ibrahim, Isaka na Yakobo.
Kabla hujaanza harakati za kujikwamua kiuchumi, anza kuangalia mindset ulizowekewa kupitia dini na vifungu ulivyosomewa vya kukukatisha tamaa.
Karibu kwa maoni zaidi.
Ni mimi mzao wa Ibrahim
Mitale na midimu.
Hawa ndio wanaoongoza kwa utajiri kwani wao wanaamini torah (vitabu vitano vya Musa) vina sheria 613 ambazo ni code za utajiri ukizitumia maishani. Pia wanaamini TANAKH (Yoshua hadi malaki) pamoja na vitabu vyao vinavyotafsiri maandiko hayo kuna siri kubwa za utajiri. Waumini wanazitumia kutajirika. Wao mtu masikini ni sawa na mtu aliyekufa.
2: Mainstream Protestantism (Ulokole wa msimamo wa wastani).
Hawa pia kwa sababu wanahamasishana sana injili ya utajirisho. Wanaamini pamoja na yote Mungu kawabariki hapahapa duniani.
3: UKATORIKI
Hawa kwa sababu tayari wanabase ya miaka zaidi ya 2000. Na dini yao imejifungamanisha na kaisali hivyo ni rahisi kupata koneksheni. Lakini wanashika nafasi hii ya tatu kwa sababu bado wanaathiriwa na nadharia za Kigiriki ambazo ziliingizwa kanisani ambazo zinaamini vitu vinavyoonekana ni vya kuharibika. Wapo wanaoamini katika umasikini ndio ukiroho, ndio maana wengine wanatembea hadi peku wakati Yesu alivaa kobazi muda wote.
4: Wamwisho ni Waprotestant wa msimamo mkali ( wasabato, Jehovah witness na wababtist etc).
Hawa mambo yao mengi wameyahamishia katika ulimwengu ujao, chochote kuhusu huu ulimwengi wanaona kama ni anasa. Hakuna uhamaishwaji wa mistari ya biblia inayohusu uwekezaji, kufanya mambo makubwa kiuchumi maana hata hivyo Yesu alimjibu Petro atabarikiwa hapa duniani na mbinguni zaidi. Ujio wa Yesu haraka usiojulikana siku umewachanganya wasijue wafanye nini. Hii hali ya kusita imewarudisha nyuma. Pia wamehusisha utajiri wa mali na ufreemason au ushetani na ukosefu wa uadilifu bila kujua Mungu wao ni Mungu wa mabilionea Ibrahim, Isaka na Yakobo.
Kabla hujaanza harakati za kujikwamua kiuchumi, anza kuangalia mindset ulizowekewa kupitia dini na vifungu ulivyosomewa vya kukukatisha tamaa.
Karibu kwa maoni zaidi.
Ni mimi mzao wa Ibrahim
Mitale na midimu.