Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

Ukitaka uwakosoe Watanzania wanapofanya jambo jipya utachoka sana angalia border ya Tunduma ni ujenzi wa juzi harafu ukiweza angalia border ya Zimbabwe ambao tunasikia uchumi wao unayumba au Botswana na Zambia upande wa Kazungula utashangaa sana kuona sijui sisi tumejenfa nini kwa hiyo huko kwenye SGR hata sisumbuki kuwakosoa nishawazoea hao..
 
Halafu hizi siti za kuangaliana duh, unatoka dodoma mbaka Dar umeangaliana na mtu, ukifika sura yote umeshaiweka kichwani. Kama ni adui yako itabidi muombane tu msamaha, hakuna namna
Haahahahaha hahaha nilikuwa navumilia kusoma uzi kimya kimya ila mkuu hapa nimecheka sana.
 
Ipi Hiyo hahahah
Sasa kwenye swala la giants, biblia inasema giants ni uzao wa malaika na binadam yani hybrids, grigori, lakin same bible inasema malaika hawaowi wala hawailewi, hii inaleta mkanyiko hawa hybrid ni uzao wa nani,
Lakin biblia inaonesha malaika wanaweza kumanifest into physical kuna mahala walipewa chakula physical na wakala, kuna maana walioneka kipindi cha sodoma wakiwa ni kama wanadam wa kawaida, hii inaonesha baadhj ya malaika wana maumbo au muonekano kama wetu, lakin swala la kuzaliana au kungonoka kwao ni issue ambayo iko forbiden au ni hairuhusiwi sasa kitu ambacho hakiruhusiwi haina maana kwamba huwez kufanya, pia biblia inasema be kind to strangers because other are angles, hii ni koja kwamoja naweza sema zamiyaza na genge lake walikua mzigo wa vigoli hapo mjini tanga we unasemaje??
Mengineyo
Nimekuta kitu kikaona hii ndo sababu kubwa ya kitabu cha enoch kula ban maana kina sema alie mpotosha eva sio lucifer ni gadrael😄 karibu
 
Sasa kwenye swala la giants, biblia inasema giants ni uzao wa malaika na binadam yani hybrids, grigori, lakin same bible inasema malaika hawaowi wala hawailewi, hii inaleta mkanyiko hawa hybrid ni uzao wa nani,
Lakin biblia inaonesha malaika wanaweza kumanifest into physical kuna mahala walipewa chakula physical na wakala, kuna maana walioneka kipindi cha sodoma wakiwa ni kama wanadam wa kawaida, hii inaonesha baadhj ya malaika wana maumbo au muonekano kama wetu, lakin swala la kuzaliana au kungonoka kwao ni issue ambayo iko forbiden au ni hairuhusiwi sasa kitu ambacho hakiruhusiwi haina maana kwamba huwez kufanya, pia biblia inasema be kind to strangers because other are angles, hii ni koja kwamoja naweza sema zamiyaza na genge lake walikua mzigo wa vigoli hapo mjini tanga we unasemaje??
Mengineyo
Nimekuta kitu kikaona hii ndo sababu kubwa ya kitabu cha enoch kula ban maana kina sema alie mpotosha eva sio lucifer ni gadrael😄 karibu
Kuna Mengi ya Kuongea lakini Tatizo huu Ni uzi wa SGR tutamuahiribia Mdau na MADA Za kiimani na Philosophical Thought zetu..😂😅😅

Ila ningependa Kusema tu kuwa Kuna Vitu Vingi sana wachungaji Na mapadre na Maaskofu hawakisemi muhusu Angelology na kipo clear Kabisa na wanapozidi kuficha Ndo maswali yanazidi Kuibuka..

Kiufupi kuna Malaika wa aina nyingi sana Ukiacha unaowajua wa Maserafi na Makerubi..

UKianzisha Nyuzi nitag Nitaelezea..
 
Mabehewa yote 8 kwenye treni yamchongoko ni business class, nauli ya chini ni 120000, behewa moja ni royal class ndio hilo, Lina nauli ya 150,000.

Kwa akili ya Kiswahili watu wetu hawajui nini kinafanya daraja flani liitwe Royal au liitwe Business Class
Ndio sababu unaweza kusafiri na basi lilipo kama la daraja la tatu lakini linaitwa Royal eti kwa sababu ni mpya au pengine lina kachoo pale ndani wakati viti vimesongeshwa hata watu wanaumia magoti kwa kugonga kiti cha mbele yake....
 
Kuna Mengi ya Kuongea lakini Tatizo huu Ni uzi wa SGR tutamuahiribia Mdau na MADA Za kiimani na Philosophical Thought zetu..😂😅😅

Ila ningependa Kusema tu kuwa Kuna Vitu Vingi sana wachungaji Na mapadre na Maaskofu hawakisemi muhusu Angelology na kipo clear Kabisa na wanapozidi kuficha Ndo maswali yanazidi Kuibuka..

Kiufupi kuna Malaika wa aina nyingi sana Ukiacha unaowajua wa Maserafi na Makerubi..

UKianzisha Nyuzi nitag Nitaelezea..
Popote kambi mkubwa
 
Duh viongozi wa Tanzania! Wanahisi hii dunia ya 2024 ni sawa na dunia 1940 kwamba unadaganya kitu na wananchi wanakukubalia.
Huwa inatokea ukiwa na viongoz wenye umri mkubwa, their mindset bado iko stuck at 1970s , thats how watataku ku model everything beased of miaka hiyo, si kwa kasi ya kuendana na dunia
Si wote lakini
 
Treni unajaza jumamosi na jumapili tu , toka imeanza ilijaza jumamosi na jumapili tu kutoka Dom ila kwa Sasa hata 200 hawafiki
 
Back
Top Bottom