complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 421
- 1,289
MANSOON WINDS zilileta Arabs na quran kwenye mashua.
Bila missionary huyo mungu mngemjulia wapi?
Mnauhakika gani bibilia na quran zilizoletwa na hao wageni hazikua edited kabla ya kusambazwa kwa kina juma mohamed na ezekiel?
China, Japan, Thailand hawakuruhusu “introduction of new religion” ndio maana wanasonga mbele kila kukicha
Bila missionary huyo mungu mngemjulia wapi?
Mnauhakika gani bibilia na quran zilizoletwa na hao wageni hazikua edited kabla ya kusambazwa kwa kina juma mohamed na ezekiel?
China, Japan, Thailand hawakuruhusu “introduction of new religion” ndio maana wanasonga mbele kila kukicha